sio wote wanaoweza kujiongeza my friend,,, ukute kashazoea keletewa tu kila kitu nyumbani yuko tu kulea watoto atanzia wapi kupambanaππAjiongeze asipende kuwa tegemezi nyakati hizi maisha ni mapambano na kusaidiana wote....Atafute hata shughuli ndogo ndogo atafanikiwa kupata hayo maendeleo anayotaka aache kukaza fuvu shenzi type kabisa.....
Mi ngoja nicheke sana....ππππNa akimaliza kupeleka maji avue chupi mpuuzi huyu anataka kulala na chupi hajui yuko utumwan kwa mahari aliyopokea babake
Sawasawa ππππππΌπΌπΌAtanitoa Rohoo,!!πΌπΌπΌ
Ngoja nitulieUtukanwe useme wanandoa wakorofiππ
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Tulosoma cuba tushajua!!!, unataka afanye maendeleo afu umuue, umiliki kaya.
Kwa nini kila siku mnawaza sisi ndio tunatangulia kufa nyie viumbe msio na shukraniHawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa!
Heee! π€£π€£π€£Badala ya ku deal na zuzu lako, umekuja kutushambulia jf. Unatujua sisi ni akina Nani? Una uhakika sisi ni wapumbavu Kama mumeo? Acha kutujumuisha
Ila ππππSawa tuache π π π€π
enhe ndoa hizi zimefanyaje...πππIla ππππ
NdiyoHeee! π€£π€£π€£
Apambane na zigo lake sio
JingaNa akimaliza kupeleka maji avue chupi mpuuzi huyu anataka kulala na chupi hajui yuko utumwan kwa mahari aliyopokea babake
Waacha waolewe me bado nipo nipo kwanzaenhe ndoa hizi zimefanyaje...πππ
Shauri yako ππ,, mwenzio nataka nikajiunge usista sijui watanikubaliaπ€£π€£Waacha waolewe me bado nipo nipo kwanza
Una uhakika uliusoma vizuri mkasa wa Achraf Hakimi na mtalaka wake ukauelewa?Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika!
Kazi kulalamika mpelekewe maji bafuni kwenye ndoo hebu jengeni maji yatiririke kutoka juu au muoge mmelala! Kutwa pombe na mahawara , swaini nyie. Hawa watoto mnaotuzalisha wataenda wapi mkifa! Hebu badilikeni vitambi na kulipa Kodi sio maendeleo