Wanaume badilikeni fanyeni maendeleo, umri haurudi nyuma!

Ajiongeze asipende kuwa tegemezi nyakati hizi maisha ni mapambano na kusaidiana wote....Atafute hata shughuli ndogo ndogo atafanikiwa kupata hayo maendeleo anayotaka aache kukaza fuvu shenzi type kabisa.....
sio wote wanaoweza kujiongeza my friend,,, ukute kashazoea keletewa tu kila kitu nyumbani yuko tu kulea watoto atanzia wapi kupambana😌😌
 
Una uhakika uliusoma vizuri mkasa wa Achraf Hakimi na mtalaka wake ukauelewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…