Magdalene_joseph
JF-Expert Member
- Jun 26, 2023
- 231
- 617
- Thread starter
- #461
Naipata wapi kanipiga pini kazi yake kunibadilishia style ya kunitafunaMwanamke kama huyu akipata kazi umeisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naipata wapi kanipiga pini kazi yake kunibadilishia style ya kunitafunaMwanamke kama huyu akipata kazi umeisha
Ndo nishaolewa Babu upo?Wewe uliolewa kwa bahati mbaya maana huna sifa za kuwa mke. Mke gani badala ya kumrekebisha mtu wako unaanika udhaifu wake hadharani? Halafu unasema mume akifa hao watoto wataenda wapi? Unajuaje hutaanza wewe kufa? Ovyoooooo.....
Utajuaje nimetunza uaminifu wangu miaka yote akiwa na mpango wa kando nokajua nitafanya vitu atajitundikaau ana mpango kando wake na wameshajenga kimya kimya
Sorry.. alinioa akiwa flat. Sasa hivi amejiachia sana kitambi mpaka basi sipendi piaMbona,unatusema sisi wenye vitambi sasa?.Sijapenda kwakweli.
Ubarikiwe.Mara nyingi sishobokei wanawake ila kwa andiko hili umesema ukweli kabisa! Wanaume wengine mnatuangusha ukishaota kakitambi ukalipa Kodi baaasiii!!!
Ubarikiwe.Wanaume wa hivi wapo wengi sana.
Ni wabinafsi pesa wanapat wazifaidi wao wenyewe tu na sio na Familia zao.
Wakizeeka ndio watakuwa mbele kulaum watoto hawawasaidii.
Babu ninachotaka nyumba kuchakazwa raha . Upo?Huyu amechakazwa kama pipa 🤣🤣🤣.
Pole yake
UbarikiweMaisha ni nyumba
Yes. Au nilipe mshahara Kwa kukuzalia kinachobaki kwako ni juu yako. Kwa mfano nilipe laki Tano tu kwa mwezi. Chakula na matumizi mengine ni juu yako. Nyie hamjui kubeba mimba, uchungu wa leba na kunyonyesha daily vinafananajeHela zangu Hadi matumizi uniapngie.
1.We unajua uchungu wa kutafuta kama kidume?Yes. Au nilipe mshahara Kwa kukuzalia kinachobaki kwako ni juu yako. Kwa mfano nilipe laki Tano tu kwa mwezi. Chakula na matumizi mengine ni juu yako. Nyie hamjui kubeba mimba, uchungu wa leba na kunyonyesha daily vinafananaje
Huna akili unasomaje A level ukiwa na miaka 21 huo si umri wa chuo... No wonder akili zilianza kupungua.Nilikuwa nae nikiwa na miaka 21. Ulitegemea nipate division one? Mbona form four nilipata division two. Aliniharibia maisha Sasa ajenge nyumba roho yangu itulie
Endelea kuitafuta JF, utaipata usikonde 😆😆😆Babu ninachotaka nyumba kuchakazwa raha . Upo?
Fafanua
Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.
Kazi kulalamika apelekewe maji bafuni kwenye ndoo badali ajenge maji yatiririke kutoka juu au aoge amelala!
Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto anaonizalisha wataenda wapi akifa. Vitambi na kulipa kodi sio maendeleo.
N.b: Nimedit. Ila wenye hivyo vitabia acheni mpo humo humo msinitolee mapovu! Unaoa mwembamba kama fimbo halafu mnakuja kurelax na kusahau ahadi zote!
Hahaha sawa, Sasa kama alinioa ulitaka nifunge mapaja? Watoto ni haki yake ila naona nimeingia choo Cha kiume na kutoka siwezi[emoji23][emoji23][emoji23]hii inaitwa nitakufa na vyangu, nawe baki na vyako(watoto)[emoji23][emoji23]
Kwani yeye hapo alipo baba yake kamwachia nini?
Mzee katafuta vyake na anakula vyake hana huoga wa maisha hana haraka sa we unamletea habari za kufa we unajua kifo wewe[emoji16]
Usilete kisingizio cha watoto watoto niwewe ulifungua mapaja na unajua upo danger so ulitaka mwenyewe, ukweli ni kwamba unaona mkeka unaelekea kuchanika alafu zimebaki dakika chache[emoji16]
Ayo matoto yenyewe yakishakua hua yanatutenga wazee yanajali mama zao sa yaninj kujipa jaka la moyo kisa mitoto iyo, itakua kama sisi baba zao tulivyokua[emoji41]
Mzee yupo sawa as long as we unakula unavaa na wanao na mkiumwa wanatibiwa we shida yako nini? Maendeleo kila mtu anatafsiri yake kama unaona hawezi kukupa unachohitaji omba taraka ondoka alafu uje ukute kavuta kadada kengine kakidigo kanampelekea maji ya moto bafuni ndo anakuja kujenga nako bonge la jumba na vinapenda kumassage ivo[emoji23][emoji23]
Maybe. Silalamiki kuzaa nasema tu hali halisi naona hatuna security ya maishaHuwezi OA au olewa na MTU ambaye hamjafanana. Hiyo haijawahi kutokea.
Ndoa ni mchakato.
Labda iwe ilikuwa Forced marriage. Lakini kama mlikubaliana basi ni wazi ninyi ni pipa na mfuniko.
Wote Akili zenu ni zilezile. Sio wewe wala huyo Mumeo wote ni hamnazo.
Kwa mfano, ili wewe tujue ni kichwa Bomu, kagarasa, cherema n.k. unasema anakubebesha Watoto utadhani wewe ni mbumbumbu, usiyejua chakufanya.
Unazalishwaje Watoto pasipo wewe kuamua?
Nilitaka na Mimi niyaone naona ushayatoa hahaaaNdo meno yangu yalivyo mkuu..ipotezee tu
Maybe. Silalamiki kuzaa nasema tu hali halisi naona hatuna security ya maisha
Mbona maneno haya yana ukweli mkavu namna hii?Maisha hayanaga security.
Uliyempata ndio type yako. Tafuta namna ya kuifanya familia yako iishi vizuri Wewe kama Mama. Na sio ujitoe na kuona Mumeo hawajibiki
Nilitaka na Mimi niyaone naona ushayatoa hahaaa