howardlite
JF-Expert Member
- Jul 16, 2016
- 242
- 392
Nimemsikia raisi wetu SSH jana akiwa hospital ya CCBRT akisema kuna vyumba ambavyo vitatumika wakati wa mke akiwa kwenye kujifungua mume awe hapo akimtia moyo,akiona shughuli wanawake wanapitia😀😀 ili wapange uzazi,atoe mahitaji na vinavyofanana na hivyo.
Mimi sipingi ni jambo zuri lakini tuwe makini wajameni, haya mambo yana athari gani chanya na hasi.
Nimewahi kuwa karibu na labour siku nilimpeleka mke wa rafikiyangu hospital moja Mwanza kujifungua nikasikia kinachoendelea kule ndani, mwingine alikuwa anatukana mfululizo, anataja jina la mwanamme na kushushia na tusi, mara sikupi tena, nimekoma mimi, mara nesi nataka kunya. Jamani jamani leo ndio mwanaume uwe hapo pembeni na mke awe wale wanachukia mwanaume wake hataki hata kumuona kipindi cha ujauzito si itakuwa Ukraine ndogo?
Lakini kuna point nyingine nimewahi kuisikia kwenye dini ya ndugu zangu kuwa mume hupaswi kuutazama utupu wa mke wako😀😀. Sasa tufikiri kweli mume uko hapo unaona lile tukio mwanzo mwisho kweli mh?
Nauliza kwa ambao wamewahi kuwa na wake zao kwa kipindi hicho mpaka wanajifungua,ivi baada ya hapo inatokea nini? Kumbukumbu inakuwa vizuri kabisa na hamna shida? Wanawake wa JF mnaonaje hili lilivyokaa?
Naamini ni kipindi ambacho wanaume tunapaswa sana kuombea wake kipindi choche cha ujauzito kwa kuzidi sana kipindi hiki, kuwatia moyo, kuwajali na kuonyesha upendo mara dufu na staha ya hali ya juu.
Lakini pale ndani kuwepo kwakweli usisikie sio mchezo. Mtakaokuwa mnaenda kila la kheri lakini mkumbuke kuleta mrejesho pia na wanawake mlete ushauri mapema tujue la kufanya kwa hekima.
Mimi sipingi ni jambo zuri lakini tuwe makini wajameni, haya mambo yana athari gani chanya na hasi.
Nimewahi kuwa karibu na labour siku nilimpeleka mke wa rafikiyangu hospital moja Mwanza kujifungua nikasikia kinachoendelea kule ndani, mwingine alikuwa anatukana mfululizo, anataja jina la mwanamme na kushushia na tusi, mara sikupi tena, nimekoma mimi, mara nesi nataka kunya. Jamani jamani leo ndio mwanaume uwe hapo pembeni na mke awe wale wanachukia mwanaume wake hataki hata kumuona kipindi cha ujauzito si itakuwa Ukraine ndogo?
Lakini kuna point nyingine nimewahi kuisikia kwenye dini ya ndugu zangu kuwa mume hupaswi kuutazama utupu wa mke wako😀😀. Sasa tufikiri kweli mume uko hapo unaona lile tukio mwanzo mwisho kweli mh?
Nauliza kwa ambao wamewahi kuwa na wake zao kwa kipindi hicho mpaka wanajifungua,ivi baada ya hapo inatokea nini? Kumbukumbu inakuwa vizuri kabisa na hamna shida? Wanawake wa JF mnaonaje hili lilivyokaa?
Naamini ni kipindi ambacho wanaume tunapaswa sana kuombea wake kipindi choche cha ujauzito kwa kuzidi sana kipindi hiki, kuwatia moyo, kuwajali na kuonyesha upendo mara dufu na staha ya hali ya juu.
Lakini pale ndani kuwepo kwakweli usisikie sio mchezo. Mtakaokuwa mnaenda kila la kheri lakini mkumbuke kuleta mrejesho pia na wanawake mlete ushauri mapema tujue la kufanya kwa hekima.