[emoji848] balaaJuzi tu hapo demu nimepanda nae bajaji...haooo, nikaona hebu ngoja nione kama atajaa nikaomba namba, akanipa, akaniambia nilipie nauli, nikalipa,akashuka, dakika chache tunachati akaomba "tembo"...duh...akaanza kutuma mameseji shazi...View attachment 1964731
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha pole sana kweli kwa hali hiyo lazima mtafute kwa bidiiHakuna namna maana tukiomba unapigwa biti hatari
Hamna kitu Cha namna hiyo, Mimi binafsi siwezi kumuomba pesa mwanaume, but mwanaume usipomuomba pesa anachukulia kama unajimudu so kapata ganda la ndiziSisi wanaume, mkitaka kutupatia tukiomba namba hata msiwe na haraka yakuomba pesa we kausha tuu Kama hupendi vile Yani huwa tukiona mwanamke huyu sio mwombaji tunajiongezaga fastaa unakuta na naanza kuwaza na ndoa kabisa nikijua huyu ndio wife material hana tamaa na pesa, najikuta tuu nimekupa laki 5 kwa furaha yakutoombwa mara kwa mara nasema bby kahela ka saloon hako
Vipi wale wanapewa mbususus zaidi ya Mara tatu na pes ahawatoi?Sisi sio wachoyo naongelea majority ya majita kuwa sisi sio wachoyo shida ni pale hamtoe vikojoleo vyenu mnatanguliza kuomba hela kwanza sisi msimamo wetu ni toa mbususu hela inafuata na matunzo kibao na vimtoko,
Nilikuaga mwanaume wakutoa sana yani ukiomba hela ya salon nakutumia, ukiomba hela ya shoping nataoa mbaya zaidi walaji ni wengine yani siku zote mtoaji anaonekana bewge nikaona kumbe mimi ndiyo fala
Mimi pia nishawahi kuwanae dizain hii, pesa anayo,na anajua kipato chake ni kikubwa kushinda mm , hajawahi KUNIPA ZAWADI yoyote Wala pesa, na mm sikuwahi kumuomba pesa , Ila ukienda kwake au mkikutana anafiriki kukwambua baby unanukia na mm naomba uninunulue zawadi ya pafyum kama yako maana hujawah ninunulia zawadi.Shawahi Kuna na mwanaume wa hivi haoni aibu yeye kila siku shida na asivo haya anaomba Hadi hela ya msosi, na alisahau kuwa sio wanawake wote wameumbiwa kuomba ila haimaanishi usihudumie baby wako, maana mtu ka huyo nilimkimbia nikawaza huyu ni mchoyo hata mkiwa na familia hawezi kuhudumia na anakuachia mzigo wote nikasema Cha kufia nini mwanaume mtaka vya bure tena ana kazi nzuri masafari ka yote ila mchoyo wa hatari wallah.
Kuna wanawake hatuombi hela ila tunapenda responsible man anayejiongeza wallah, mikono mitupu hailambwi, na ndio maana watoaji wengi hupendwa na kusamehewa mapungufu mengine
Sio kitoto ona sasa , hata kumgusa matiti sijawahi....[emoji848] balaa
Pole sana KiongoziSio kitoto ona sasa , hata kumgusa matiti sijawahi....View attachment 1965234
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana mimi napenda demu anielewe namimi nimuelewe hapo ntatoa pesa....sio eti nishoboke kisa ni pisi kali alafu nianze kuwaza nikiombwa mpunga...na kuna mademu kama hawampendi mwanaume kuomba hela ndio kigezo cha kumkataaKuna wanaume wanapitia magumu sana [emoji23] poleni
MiaNdio maana mimi napenda demu anielewe namimi nimuelewe hapo ntatoa pesa....sio eti nishoboke kisa ni pisi kali alafu nianze kuwaza nikiombwa mpunga...na kuna mademu kama hawampendi mwanaume kuomba hela ndio kigezo cha kumkataa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume wa siku hizi hawana hiyariii usipowaomba na wao wanakaa kimyaaKwangu mm kuombwa ela n moja ya kero nayochukia ata awe mpenz Wang mnatakiwa msubir mpewe wenyew boro mtu utoe kwa hiar yako
Mzee baba wewe ndio yule ambaye ushauri wako huwa'ga' unafanana na avatar yako na jina. Yaani huwa unatoa uahauri wa ki-boss boss[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijasoma michango ya wengine but binafsi naona kero kubwa kuombwa hela na mwanamke ambae sio mpenzi wako au hajawa mpenzi bado...
Kuna wanawake akikupa namba ya simu
Next ni kuombwa hela tu..hata hamjawi kufahamiana kabisa..no outing ..
Wala Kula na kunywa pamoja...
Hii naona ni kero sana...
Sioni kero kwa wapenzi tayari ..
HahahahahaHahahaha halafu kituo mtwara huko nasikia wamakonde sio wachoyo kbs
Malizia hela ya kamati ukale mzigo weekendMwingine huyu hapa,hata sijawahi kula papuchi yake,just rafiki yake ambaye analiwa na rafiki yangu,ndiyo alinitambulisha kwake! Hata mwezi haukuisha,nikapigwa kirungu cha kwenye ugoko! Ni mwanaume mjinga ndiyo anaweza fanya hivi,mke wangu mwenyewe namkazia! Kwa nini ufanye jambo kabla hujaniambia kwanza?? View attachment 1964982
Tozo nyingine hii ya simu😅Sio kitoto ona sasa , hata kumgusa matiti sijawahi....View attachment 1965234
Sent using Jamii Forums mobile app
Tayari wakulu wameshasema, mimi nani nipinge??Sasa kwa nini mnanuna tukiwanyima kama vile zenu. Ila hasikwambie mtu pesa inaongeza nguvu za kiume na mwanaume ukamii shoo
Mwanamke muuombaji sana hela hapaswi kuandaliwa. Huyo aingiliwe hivyo hivyo
Hapo kwenye “walaji ni wengi” ila mhudumiaji uko mwenyewe 😅😅😅 mzee wa depreciation cost!Sisi sio wachoyo naongelea majority ya majita kuwa sisi sio wachoyo shida ni pale hamtoe vikojoleo vyenu mnatanguliza kuomba hela kwanza sisi msimamo wetu ni toa mbususu hela inafuata na matunzo kibao na vimtoko,
Nilikuaga mwanaume wakutoa sana yani ukiomba hela ya salon nakutumia, ukiomba hela ya shoping nataoa mbaya zaidi walaji ni wengine yani siku zote mtoaji anaonekana bewge nikaona kumbe mimi ndiyo fala