Wanaume, kuombwa pesa ni jambo kubwa kiasi hiki au mnakuza tu mambo?

Wanaume, kuombwa pesa ni jambo kubwa kiasi hiki au mnakuza tu mambo?

Kwa anayehitaji mzigo huo dawa za ajili kutoka China, unaweza kwenda Game hadi dakika 60 bila kumwaga wazungu.
2954502_Screenshot_20211005-205912.jpg
 
Sisi wanaume, mkitaka kutupatia tukiomba namba hata msiwe na haraka yakuomba pesa we kausha tuu Kama hupendi vile Yani huwa tukiona mwanamke huyu sio mwombaji tunajiongezaga fastaa unakuta na naanza kuwaza na ndoa kabisa nikijua huyu ndio wife material hana tamaa na pesa, najikuta tuu nimekupa laki 5 kwa furaha yakutoombwa mara kwa mara nasema bby kahela ka saloon hako
Hamna kitu Cha namna hiyo, Mimi binafsi siwezi kumuomba pesa mwanaume, but mwanaume usipomuomba pesa anachukulia kama unajimudu so kapata ganda la ndizi
 
Vip
Sisi sio wachoyo naongelea majority ya majita kuwa sisi sio wachoyo shida ni pale hamtoe vikojoleo vyenu mnatanguliza kuomba hela kwanza sisi msimamo wetu ni toa mbususu hela inafuata na matunzo kibao na vimtoko,

Nilikuaga mwanaume wakutoa sana yani ukiomba hela ya salon nakutumia, ukiomba hela ya shoping nataoa mbaya zaidi walaji ni wengine yani siku zote mtoaji anaonekana bewge nikaona kumbe mimi ndiyo fala
Vipi wale wanapewa mbususus zaidi ya Mara tatu na pes ahawatoi?
 
Shawahi Kuna na mwanaume wa hivi haoni aibu yeye kila siku shida na asivo haya anaomba Hadi hela ya msosi, na alisahau kuwa sio wanawake wote wameumbiwa kuomba ila haimaanishi usihudumie baby wako, maana mtu ka huyo nilimkimbia nikawaza huyu ni mchoyo hata mkiwa na familia hawezi kuhudumia na anakuachia mzigo wote nikasema Cha kufia nini mwanaume mtaka vya bure tena ana kazi nzuri masafari ka yote ila mchoyo wa hatari wallah.

Kuna wanawake hatuombi hela ila tunapenda responsible man anayejiongeza wallah, mikono mitupu hailambwi, na ndio maana watoaji wengi hupendwa na kusamehewa mapungufu mengine
Mimi pia nishawahi kuwanae dizain hii, pesa anayo,na anajua kipato chake ni kikubwa kushinda mm , hajawahi KUNIPA ZAWADI yoyote Wala pesa, na mm sikuwahi kumuomba pesa , Ila ukienda kwake au mkikutana anafiriki kukwambua baby unanukia na mm naomba uninunulue zawadi ya pafyum kama yako maana hujawah ninunulia zawadi.

Yaani nikaona huyu amezoea kupata wanawake wa kumpa hela na mm siyo type hiyo nikampa kibuti
 
Sijasoma michango ya wengine but binafsi naona kero kubwa kuombwa hela na mwanamke ambae sio mpenzi wako au hajawa mpenzi bado...

Kuna wanawake akikupa namba ya simu
Next ni kuombwa hela tu..hata hamjawi kufahamiana kabisa..no outing ..
Wala Kula na kunywa pamoja...

Hii naona ni kero sana...
Sioni kero kwa wapenzi tayari ..
Mzee baba wewe ndio yule ambaye ushauri wako huwa'ga' unafanana na avatar yako na jina. Yaani huwa unatoa uahauri wa ki-boss boss[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwingine huyu hapa,hata sijawahi kula papuchi yake,just rafiki yake ambaye analiwa na rafiki yangu,ndiyo alinitambulisha kwake! Hata mwezi haukuisha,nikapigwa kirungu cha kwenye ugoko! Ni mwanaume mjinga ndiyo anaweza fanya hivi,mke wangu mwenyewe namkazia! Kwa nini ufanye jambo kabla hujaniambia kwanza?? View attachment 1964982
Malizia hela ya kamati ukale mzigo weekend
 
Sisi sio wachoyo naongelea majority ya majita kuwa sisi sio wachoyo shida ni pale hamtoe vikojoleo vyenu mnatanguliza kuomba hela kwanza sisi msimamo wetu ni toa mbususu hela inafuata na matunzo kibao na vimtoko,

Nilikuaga mwanaume wakutoa sana yani ukiomba hela ya salon nakutumia, ukiomba hela ya shoping nataoa mbaya zaidi walaji ni wengine yani siku zote mtoaji anaonekana bewge nikaona kumbe mimi ndiyo fala
Hapo kwenye “walaji ni wengi” ila mhudumiaji uko mwenyewe 😅😅😅 mzee wa depreciation cost!
 
Back
Top Bottom