Wanaume, kuombwa pesa ni jambo kubwa kiasi hiki au mnakuza tu mambo?

Baby i love you kiiila siku bila viambatanisho inachosha jamani. Hata genye haikuji kwakweli, hebu acheni umama bwana!!
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… bby i love u so so! Much!
 
Umemwaga nondo kama β€œPro” i like this article with full of message!
 
Mi naona suluhu kila mtu aishi kimpango wake tu! Mapenzi yameshageuka biashara ya kulipishana kama tozo!

Yani unapomtongoza mwanamke rest assured kwamba kuna operational cost za mahusiano yenu na gharama hizo zinakuhusu mwanaume kwamba lazma umpe hela mwanamke kila akitaka!

Personally, its a form of slavery of exploiting a man for a womans comfort! Hii imeasisiwa na wazungu na wameimpose kwenye jamii zetu na matokeo yake imefikia stage mbaya sana.
 
Haahaaaha

Janaume linaloomba hela aseee huwa ni aibu kwake sema hawajui..[emoji16][emoji16]
Yaan ukitaka mwanamke akudharau kupindukia we muombe hela[emoji848]
 
Haahaahaa

Naona wajina kakomaa mpaka kieleweke[emoji16][emoji16]
 
Wanaume wengi hawalijui hili asee!

Usiombee ukumbane na limwanaume lichoyo [emoji134] bora ubaki hata peke yako ujue moja

Yaan hata genye hupati
 
We ni mwanaume wavulana hawajui haya!
 
Mimi kwakweli mzito kuomba omba sijui kwa ajili ya mazingira niliolelewa, Familia yetu imejijenga katika kujitegemea sana. Hata nikwame kiasi gani huwa sifikirii kusaidiwa yani mara 100 nimkope Bi mkubwa kama anacho wallah... kuomba wakati mwingine ni kujitafutia disappointment tu.
Hakuna kitu kizuri kama kupewa tu bila kuomba tena inakua furaha maana hukutegemea, Bro/Baby akinipa nasema Insha Allah Mungu amzidishie 7 mara 70 .. na uzuri Mungu anaona B huwa anajua jukumu lake kwangu kwa uwezo wake, na mpaka nimuombe mtu kitu nmejikana mara 3 kama petro HakyaMungu
 
Kwa kweliii, Mimi pia huwa najifikiria kuomba hela, Bora ulibahatika kumpata anayejiongeza
 
Kwa kweliii, Mimi pia huwa najifikiria kuomba hela, Bora ulibahatika kumpata anayejiongeza
Huyo wa kujiongeza sio kwamba ndo kila siku unakaa unapewa, yani inatokea tu sometimes [emoji23][emoji23], kikubwa kutambua responsibility yake basi....
Kuomba omba ni utumwa, kuna watu unawaomba mchongo tu anakuzungusha wakati huo mchongo ukiupata unapambana mwenyewe kwa nguvu zako ila mtu anakukunjia hapo hapo.. fikiria inavyouma!
Hapo hujamuomba mtoto wa mama mkwe kitu, oh mara sijui nani anakudai mwisho wa siku stress zinakuua! Bora useme tu bwana weeh nikikwama basi Mungu niongoze nijalie mkate wangu wa kila siku! Mambo mengine yakija basi Insha allah
 
Nilimdharau saana na nilikuwa napenda ,ndo maana nilikuwa namvumilia japo hanipi ata sent, nilivoona anaomba na zawadi nikamuacha,
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]

"Bby naomba uninulie pafyumu "

Hii kali asee

Kuna dubwasha moja na mimi liliishawahi kuniomba zawadi, ukikaa kidogo mara Wity naomba uninunulie kitu fulani, yaan linaomba omba ovyoo

Siku nikaliweka kitimoto nikaliambia " we mwanaume unajidhalilisha kuomba omba vitu wanawake, huoni hata aibuu toto la kiume kujiliza liza kwa mwanamke"!? Haahaa asee aliona aibu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…