Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
π π π π π π π π bby i love u so so! Much!Baby i love you kiiila siku bila viambatanisho inachosha jamani. Hata genye haikuji kwakweli, hebu acheni umama bwana!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π π π π π π π π bby i love u so so! Much!Baby i love you kiiila siku bila viambatanisho inachosha jamani. Hata genye haikuji kwakweli, hebu acheni umama bwana!!
Umemwaga nondo kama βProβ i like this article with full of message!Hata Kama unahela kiasi gan,, mwanaume anampa hela yule mwanamke ambaye tayari ana uhakika wa Umiliki juu yake.( She is mine)
Ndio maana kuna mwanaume anayeweza kukushawishi kwa pesa umpe mbususu kama lengo lake ni mbususu.
Mwingine anaihitaji muestablish relationship kwanza ndio awe responsible kwako .
Mlivyo sasa,,,,Mtu atakutongoza, unakua sitaki nataka, Unamlia pesa yake wee, alafu ndio unajilopokesha, " Nina bwana wangu, ananipenda sanaa na mimi nampenda ,sifikirii kumsaliti".
Mnakula nauli za watu. Hamtokeiii....nyie ni watu[emoji23][emoji23].
WANAUME WENZANGU, HUSUSANI VIJANA, MSIOGOPWE KUITWA MABAHIRI ,SIJUI HAUNA HELA SIJUI MASIKINI, NAJUA UNAJIJUA ULIVYO HIVO[emoji116]
[emoji117]Heshimu sana Pesa yako.
[emoji117]Kua na nidhamu na pesa yako.
[emoji117]Iombee Mungu Pesa yako ailinde.
[emoji117]Toa sadaka na zaka.
[emoji117]Saidia wahitaji hata watoto wa mitaani, siku moja moja nunua nguo hata zamitumba ,viatu katoe.
[emoji117]Fanya mamb yako ya msingi
LAKINI USIKAE KUITUMIA PESA YAKO KAMA SEHEM YA KUMFANYA MWANAMKE AKUPENDE, AKUONE KIDUME N.K .....
PENZI ITS AN EMOTIONAL DECISION AND NOT Financial decision na KUTOA PESA ni financial decision na sio Emotional.
huhitaji kutumia Pesa yako Kumfanya akutake, kufanya hivo ni kumfanya ajiaminishe yakua " She is in control ".[emoji777].
[emoji117]GUYS JIKITENI KUITAFUTA PESA NA KUITUMIA KUJIPA THAMANI, KUBORESHA MAISHA YAKO. JIPENI THAMANI , YAAN HATA AINA YA WANAWAKE WATAKAOKUJA KWAKO NI WALE WAPIGANAJI, WANAOHITAJI UWAFUNDISHE JINSI YA KUVUNA PESA ZAO, WANAOHITAJI UWASAPOTI KWENYE JUHUDI ZAO ZA UTAFUTAJ, WANAWAKE AMBAO NI "VERY BRIGHT VICHWANI , WANAOHITAJI KUA HURU KIUCHUMI...
Usipojipa thaman we mwenyewe, maana yake ILI UMPATE MWANAMKE ,UTAHITAJIKA KUA MTUMWA ,UTUMIE NGUVU NA PESA ULONAYO KUMSHAWISHI Ili tu akukubalie.
Nahawa ndio kila siku hahishi kukupiga mizinga ile mikubwa yaan (INTERCONTINENTAL BALLISTIC MISSILES) alafu ya mara Kwa mara.
[emoji117]Jipeni thamani , thamani inakupa nafasi ya machaguzi, thaman inakufanya, USIHANGAIKE KWA WANAWAKE...BALI WANAWAKE WAHANGAIKE KWAAJILI YAKO.
UKIJIPA THAMAN, KUMPA PESA MWANAMKE, ITABAKI NI UAMUZI WAKO WA KICHUMI .
UKIJIPA THAMANI, WANAWAKE WEEENGI WATAKUJA YAAN WENGIIIII NDUGU ZANGU, WATAKUJA , NA WAKIJA, SABABU UNA NAFASI YA MACHAGUZI, HAUTAKAA KAMWE KUTUMIA PESA YAKO ,KUMSHAWISHI MWANAMKE AWE WAKO.
SANASANA UTAITUMIA KUMUHUDUMIA MWANAMKE ULIYEMCHAGUA KATIKA HAO WENGII....NAHUO NI WAJIBU WA KIUME[emoji123]
Tatizo ni ukosefu wa adabu! Hela inauma sana pale ambapo utafulia na mwanamke uliekuwa unampa hela zako anaanza kukusimaga kingese!Haki hela zao ni taamu wangejua wangekuwa wanatupatia tuu[emoji12][emoji12]
Mi naona suluhu kila mtu aishi kimpango wake tu! Mapenzi yameshageuka biashara ya kulipishana kama tozo!Mi nafkr mwanaume tu inabidi iwe ni something of a pride kuprovide kwa mwanamke wako.
Na mwanamke iwe tu ni something of being a woman kujiskia kuwa provided with na mwanaume wako.
Ikiwa hivi hakuna kero wala kujiskia vibaya.
TAKE CARE OF HER vs BE TAKEN CARE OF.
Kinyume na hapo hizi threads kila siku hazitakaa ziishe.
Halafu iwe tu kwa uwezo ulio nao.
Teh teh tehTatizo ni ukosefu wa adabu! Hela inauma sana pale ambapo utafulia na mwanamke uliekuwa unampa hela zako anaanza kukusimaga kingese!
Kwahio bora msipewe tu shenziTeh teh teh
HaahaaahaMimi pia nishawahi kuwanae dizain hii, pesa anayo,na anajua kipato chake ni kikubwa kushinda mm , hajawahi KUNIPA ZAWADI yoyote Wala pesa, na mm sikuwahi kumuomba pesa , Ila ukienda kwake au mkikutana anafiriki kukwambua baby unanukia na mm naomba uninunulue zawadi ya pafyum kama yako maana hujawah ninunulia zawadi.
Yaani nikaona huyu amezoea kupata wanawake wa kumpa hela na mm siyo type hiyo nikampa kibuti
HaahaahaaJuzi tu hapo demu nimepanda nae bajaji...haooo, nikaona hebu ngoja nione kama atajaa nikaomba namba, akanipa, akaniambia nilipie nauli, nikalipa,akashuka, dakika chache tunachati akaomba "tembo"...duh...akaanza kutuma mameseji shazi...View attachment 1964731
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume mnao comments sio uhalisia wenu kutoa pesa mnatoa bila mnuno usicheze na nguvu ya kKwahio bora msipewe tu shenzi
Wanaume wengi hawalijui hili asee!My Eva kama Eva ila kupewa raha sana ndo hvyo tu feminism inatuharibu na hii haki sawa..mi siio muumini we haki sasa naamini ktk kusaidiana lakini mwanaume atabaki kua mwanaume na anapaswa kunipa haswaaaaa tena anipe vyoteeee,mapenzi na pesa na miye nimpe mapenzi na heshimaa yotee!!!
Very truuMwanaume halalamiki akiombwa hela na mtu ampendae kwanza hata hasubiri aombwe anampa mwenyewe
We ni mwanaume wavulana hawajui haya!Simply, ukiwa kwenye mahusiano, suala la kutoa pesa ni la kawaida sana sana sana. Hii haijawahi kuwa mzigo kwa mwanaume anaemjali mwanamke wake coz atawish kumwona akipendeza, then mahitaj mengne pia apate n.k....
Binafsi cjawah kuchoka kutoa pesa kwa mpenz wangu bt wakat anaomba aitolee sababu. Hapo bado moments tnapokuwa pamoja..... So kutoboka nnatobokaga haswa coz I lov the lady and sion sababu ya kutomtimizia mahitaj..
Tatzo la mwanaume asotoa ela...
Hii huwa inashupaliwa kote isipokuwa kwenye kuchakaza noti tu!50/50 sio kwenye kila kitu, ni kama muungano wa Tanganyika na zanzibar tu kuna sehemu tumeungana kuna sehemu kila mtu atajiju
Nilimdharau saana na nilikuwa napenda ,ndo maana nilikuwa namvumilia japo hanipi ata sent, nilivoona anaomba na zawadi nikamuacha,Haahaaaha
Janaume linaloomba hela seee huwa ni aibu kwake sema hawajui..[emoji16][emoji16]
Yaan ukitaka mwanamke akudharau kupindukia we muombe hela[emoji848]
Kwa kweliii, Mimi pia huwa najifikiria kuomba hela, Bora ulibahatika kumpata anayejiongezaMimi kwakweli mzito kuomba omba sijui kwa ajili ya mazingira niliolelewa, Familia yetu imejijenga katika kujitegemea sana. Hata nikwame kiasi gani huwa sifikirii kusaidiwa yani mara 100 nimkope Bi mkubwa kama anacho wallah... kuomba wakati mwingine ni kujitafutia disappointment tu.
Hakuna kitu kizuri kama kupewa tu bila kuomba tena inakua furaha maana hukutegemea, Bro/Baby akinipa nasema Insha Allah Mungu amzidishie 7 mara 70 .. na uzuri Mungu anaona B huwa anajua jukumu lake kwangu kwa uwezo wake, na mpaka nimuombe mtu kitu nmejikana mara 3 kama petro HakyaMungu
Tayari wakulu wameshasema, mimi nani nipinge??
Huyo wa kujiongeza sio kwamba ndo kila siku unakaa unapewa, yani inatokea tu sometimes [emoji23][emoji23], kikubwa kutambua responsibility yake basi....Kwa kweliii, Mimi pia huwa najifikiria kuomba hela, Bora ulibahatika kumpata anayejiongeza
Mkuu nakutafuta.Naaam!!!! Ukijifanya king'ang'a
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]Nilimdharau saana na nilikuwa napenda ,ndo maana nilikuwa namvumilia japo hanipi ata sent, nilivoona anaomba na zawadi nikamuacha,