[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]After all mi nawakumbusha tu WASIOE.
Haiwezekani unakutana na mdada miaka 20's au 30's ya kutosha eti wajifanya bingwa wa kugharamia na kutaka kuoa kabisaaa.
My fellow men ""wenzako walioanza nae na kubikiri Hawakuona ndoa ila wewe ndio kujifanya unajua sanaaa na kutaka kuoa kabisa..!!""
Tuendelee kuwa single.
Ukipata pisi kali ihudumie vizuri
Ukipata pisi kali kula mzigo tanii yako.
Ukiona imekua TO MUCH FOR YOU brazaa sio ndugu yako huyooo SEPAAAAA.
I salute you all the girls wale ukiwapa pesa basi si WASUMBUFU KUTOA MZIGO.
LOVE MY MONEY.
#YNWA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaume wasiopenda kuombwa pesa tunaomba wauliwe na serikali ya mama Samia
Nakazia hapa.Hela tamu bia inasubiri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Afu kuuziwa hawataki lol, [emoji23][emoji23][emoji23]
Nlikua natafuta comment yako, hujawahi kuniangusha ktk hizi mada lolBaby i love you kiiila siku bila viambatanisho inachosha jamani. Hata genye haikuji kwakweli, hebu acheni umama bwana!!
Miye nakuambia usipokua mchoyo na mbususu yako kila mtu atakula shoo. Sitakagi ujinga kwenye hilo. Yaani umri unavyozidi kusogea na hapo ndo nakua mgumu zaidiAfu kuuziwa hawataki lol, [emoji23][emoji23][emoji23]
Na iwe hivyo tyuuh dea, yaan mbususu lazima itolewe kwa maslahi. [emoji23][emoji23][emoji23]Miye nakuambia usipokua mchoyo na mbususu yako kila mtu atakula shoo. Sitakagi ujinga kwenye hilo. Yaani umri unavyozidi kusogea na hapo ndo nakua mgumu zaidi
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Aiseeeπ π πNjoo ujifunze kugeuza mavuzi kuwa biashara.
Aisee!Vilio vya wanaume kuombwa pesa na wapenzi wao, naomba tu niseme wapenzi wenu, kama na wasio wapenzi wanawaomba basi mtasema. Ukipita pita mitandaoni katika post tatu haukosi moja inayolalamikia wanawake kuomba pesa...njaa is real mwokozi tuokoe sa tukamuombe nani....π
Nnajiuliza kwani hili swala ni geni? Ni jipya? Zamani wanaume walikua hawawapi pesa wapenzi wao? Wanawake walikua hawaombi hela? Hadi sasa iwe ishuuu yani kila kona ni malalamiko tu.....na hawa mnaolalamikia anakua ni mpenzi wako tu mmoja au rundo la wapenzi wote wanakuomba??? Mtu mmoja anaweza kukuomba pesa kiasi hicho hadi ikawa kero? Au ni nyie harakati zenu za pimbi ndio malipo yake haya? Una wapenzi wanne kila mmoja akiishiwa gas manake ni laki mbili hiyo π ungekua na mmoja at least basi 50 sio mbaya, Hebu kuweni wazi NI MPENZI MMOJA TU NDIO KERO KIASI HICHO AU WAPENZI WAKO WENGI????
Mwanamke umekaa zako uko busy na maisha yako, anakuja mtu kavaa suruali anaanza saundi anakuomba omba vitu vyako eti ye ukimuomba chake inakua kero, hutaki kuombwa basi tulia zako nawe usiombe ombe vya watu?!!!! Yani eti utelezeee halafu umalize na ahsante, bro ahsante hailipi bill. Kuna wakulungwa watauliza kwani mnauza??? Hapana haziuzwi na hazitolewi bure.
Naamini mapenzi na pesa ni vitu viwili visivyotenganishwa, asikuambie mtu pesa ikiwepo inaongeza furaha, amsha amsha na nyeg* katika mapenzi, mtabisha tu Ila ndio ukweli.....
Cheers kwenu wanaume mnaotoa bila kinyongo bila maneno maneno, mbarikiwe sana muongezewe zaidi na zaidi, mpewe muda wote mnaotaka tena mpewe vizuri, mnaolialia kuombwa pesa muuliwe tu nyie.
Ladies msimamo ni upi? Tuache au tuendelee...ππ
Pm yenyewe umejitia lock haifunguki aseeh naona umenichoka ππππ Nakuja nakuja mtu wangu wa nguvu
Siyo hata kimaslahi hapana. Kutumika hovyo ndo tatizo. Utu ndo kila kituNa iwe hivyo tyuuh dea, yaan mbususu lazima itolewe kwa maslahi. [emoji23][emoji23][emoji23]
Noma sana hii kiongoziAmenivutia ndio but day one tu mkuu...hata kama ni wewe, msela umeonana nae siku ya kwanza tu tena haijapita hata robo saa anakuomba mbususu utamuonaje???
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuombana mbususu day one haijakaa poa ingawa inaweza ikatokea lkn...niwe tu mkweli
Ni kwel kabisaaah.Siyo hata kimaslahi hapana. Kutumika hovyo ndo tatizo. Utu ndo kila kitu
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Najua tu utatoa wewe...maana inaonekana una huruma...hadi yule rafiki ako Witty nimemtumia kisa wewe [emoji28][emoji28][emoji28]Kuombana mbususu day one haijakaa poa ingawa inaweza ikatokea lkn niwe tu mkweli