Wanaume, kuombwa pesa ni jambo kubwa kiasi hiki au mnakuza tu mambo?

Eti Dada angu, unazungumziaje swala la mwanamke unamgharamikia mahela mengi alaf anakaza, meanwhile anamtunuku jamaa mwingine ambae hampi hata hamsini????
Huyo dada anyongwe maana ni mhujumu uchumi....πŸ˜”πŸ˜”
 
Ha ha haaa Shetani Mtammaliza Kwa kumsingizia..jameni Mnapenda hela juzi mmoja kanipa mil 4 eti ohh Mama ana shida ya Figo na kodi imeisha wakati anakaa nyumba za Serikali hapa Dodoma.
Mtatuua
Tuhudumieni jamani, kadri ya uwezo wenu...
 
Imekithiri, majuzi nimekutana na watano baada ya siku mbili wanaanza mizinga kwa sababu zifuatazo:
I. Anaumwa sana tumbo na hawezi kutembea.
II. Mama yake na mwingine mdogo wake wamelazwa huko kijijini kwao.
II. Anadaiwa Kodi anaomba nimwongezee kidogo nilipouliza kiasi akasema elfu 40 tu.
III. Anaomba pesa kidogo ili agomboe kabati lake kwani nguo zake hana na pa kuweka ndo anaanza maisha.
IV. Simu yake imekufa tachi hivyo naomba nimpelekee kwa fundi
NIMEBADILI LAINI ZOTE NA NIMEWANUNULIA WATOTO 3 WA JIRANI VIATU VYA SHULE NA MABEGI. NA NIKAMTUMIA BI MKUBWA ELFU 50.
 
Nilichogundua kumbe shida ni zile zile zinafanana kwa wapiga mizinga wote πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
.Simu imeharibika
.Mama anaumwa
.kodi imeisha

kuna haja ya kujipanga upya....
 
πŸ˜‚πŸ˜‚

Kuombwa ombwa vitu gani bana sema K ueleweke....
 
Acheni kutuharibia dunia nyie waja msio na mawazo ya kimapinduzi, Dunia ina pambana kufanya taswira ya mwanamke ionekane yenye nguvu na ushawishi katika kila nyanja. Kumbe kuna wapuuzi wengine bado wanalilia kuhudumiwa, kazi ni moja ya anuai ya utu hivyo ni wakati sasa wakufanya kazi na kujitengenezea kipato chako mwenyewe. Kulilia kuhudumiwa huo ni udhaifu na mnarudisha nyuma dhana zima ya ukombozi wa mwanamke kiuchumi kijamii, nafasi za maamuzi katika jamii inayowazunguka. Dunia itabadili vipi mtizamo wake kwa wanawake wa namna yenu ambao mpaka leo mnataka malipo baada ya kuchakatwa mbususu. Jambo ni moja tukubaliane kuwa mnauza na si vinginevyo ila kuna kundi kubwa tu la wanawake wanaojitambua hawana tena fikra kama zenu, wanapambana kila uchwao kuhakikisha mwanamke haonekani kama mtu dhaifu tena kwenye jamii wanaibeba taswira nzima ya mwanamke kuweza bila kuwezeshwa. Mkikubali kuwa mnauza wala mimi sina shida kabisa, shida ipo pale mnasema hamuuzi huki mkihitaji malipo baada ya huduma.
 
Mawazo ya kimapinduzi ndio yakoje ndugu mteja?
 
Mawazo ya kimapinduzi ndio yakoje ndugu mteja?
It's an assignment sihitaji kukuambia lakini ukiachana na zile page za kishangingi kwenye mitandao ya kijamii na ile jamii inayokuzunguka. Utayajua mawazo ya kimapinduzi ni yapi ndugu mteja.
 
It's an assignment sihitaji kukuambia lakini ukiachana na zile page za kishangingi kwenye mitandao ya kijamii na ile jamii inayokuzunguka. Utayajua mawazo ya kimapinduzi ni yapi ndugu mteja.
Kila mtu akiishi hivyo dunia itasimama...we endelea na mapinduzi mi naendelea kujipindua mwenyewe
 
Kila mtu akiishi hivyo dunia itasimama...we endelea na mapinduzi mi naendelea kujipindua mwenyewe
wala haiwezi kupinduka jamii kubwa ya wanawake bado hawajitambui. Na ndiyo kutwa wanaleta mada za kuuza papuchi.
 
Katika mada ya namna hii kokote pale katika jukwaa hili ningependa kutambulika kama mpiga vita tena vita vikali kwelikweli. Haiwezekani mje mtuharibie dunia na kuleta mifumo ya hovyo namna hii. Wauzaji mjirasimishe tuwajue tu na wala hatuna shida na biashara za watu. Ila msiwaambukize watu wanaotaka kuwa kwenye mahusiano ambayo yatazaa ndoa siku za usoni.
 
Kiuhalisia hizi tabia za wanawake za kuomba omba pesa hovyo sasa hivi nahisi ni natural , maana sometimes unakutana na katoto kadogo ka kike vya chekechea hadi primary hadi secondary ,
Hukijui hakikujui , kinaanza na shikamoo , ukishaitikia tu ,
Kinachofuata ni kuombwa pesa , sijui hizi tabia ndo vimerithi kwa mama zao , mbaya zaidi vikishakua vikubwa , vinahamishia kuomba pesa kwenye ngono , vinafanya ngono ndio mtaji sasa , wanawake badilikeni mnatuharibia watoto kwa kurithi tabia za ajabu ajabu
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Sa itakuaje!!!
 
Huyo anaekaribia ndoa unadhani atakuonesha anapenda hela? Ili ndoa ipeperuke?? Hakuombi hata....na ukipungukiwa atakupa ukishamuoa ndio utaona RAINBOW πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…