Wanaume, kuombwa pesa ni jambo kubwa kiasi hiki au mnakuza tu mambo?

Wanaume, kuombwa pesa ni jambo kubwa kiasi hiki au mnakuza tu mambo?

Unapodate na mwanaume , wewe mtoto wa kike tambua level ya mahusiano uliopo nae. Mtu hajakutambulisha kwao wala kukuposa kwenu, unajipa hadhi ya mke kwake. Hii ndio inawafanya muwaone kama wanaume zenu ambao hawatimizi wajibu wao kwenu na mnaishia kujidisappoint mkidhania wanaume ndio wanawadisappoint.

Hivi unaweza kodi tax halafu ukajipa akili kuwa ni mali yako na kutaka kuitumia kama gari yako?!

Kuavoid hizi aina ya complain na disappointment, ni vema ukadate na mtu na kuishi nae kwa kiwango kile mliopo. Kama yeye ni just a boyfriend then ishi nae kwa namna hiyo, acha kulalamikia yeye kutowajibika na wewe kwa gharama zako is he your husband?!

Subiri akuoe ndipo uanze kutazama namna anawajibika na wewe. Ndio maana wengi mnakimbiwa mapema sababu mnajihalalisha mapema sana. Ndoa za siku hizi ni za kipepea zinataka subira na utulivu wa akili.

Mkiendelea na huu ushindani mnaoumia ni ninyi wanawake. Wewe kama unaona ni ufahari kutoka na wanaume na kuwabadili kwa kigezo cha kwamba hawakidhi vigezo then jua ambae anachosha na kuchakaza mwili ni wewe si hao wanaume.

Wenzako wataendelea kulala na wanawake tofauti kila inapowabidi maana ni sehemu ya mahitaji ya mwili. Wewe unavyochovya kila mtu mpya kwanza unaharibu utamu wa huko chini, pili una risk kupata magonjwa ya zinaa maana maumbile yenu hayana ruhusa ya kuingiliwa hovyo hovyo bila utaratibu lakini mbaya zaidi stress za mahusiano na wata tofauti huwa zinawazeesha bila kujijua.

So nawaasa muache na muwe wavumilivu. Mtu asipokupa pesa kwani utakufa, si na wewe utafute huku ukicheki ustaarabu wa ndoa yenu.

Ukiona mwanaume hana dalili ya kufanya maisha na wewe na kukugeuza mke basi achana nae mchana kweupe na sio kwa kuachana nae kihuni au kiholela. Muache kwa kikao maalumu cha kumuonyesha alizingua wapi na umejitahidi mara ngapi kumpa nafasi ajirekebishe amekupuuza na umuonyeshe madhara ya anachofanya kwako na kwake pia.
Oyaaa mkuuu Aminia, ishu ni kutia mzigo unakula mbususu kibabe mpaka ukitoa dushe unaona kabisa umeharibu miundombinu(dushe ni imara bana) wakichakaza pocket sisi tunachakaza mbususu[emoji23][emoji23], pesa inatafutwa. Tuona sasa kama mbususu ina spare[emoji16][emoji16]
 
Huyo anaekaribia ndoa unadhani atakuonesha anapenda hela? Ili ndoa ipeperuke?? Hakuombi hata....na ukipungukiwa atakupa ukishamuoa ndio utaona RAINBOW 😂😂
si kashakuwa mke tayari, mm nitasimamia msimamo wangu, akiona anapenda hela zaidi kuliko mapenzi yangu basi nitamruhusu akatafute hela akipata atanikuta nalisongesha adoado.
 
Oyaaa mkuuu Aminia, ishu ni kutia mzigo unakula mbususu kibabe mpaka ukitoa dushe unaona kabisa umeharibu miundombinu(dushe ni imara bana) wakichakaza pocket sisi tunachakaza mbususu[emoji23][emoji23], pesa inatafutwa. Tuona sasa kama mbususu ina spare[emoji16][emoji16]
Pesa + utamu....oooh both teams to score
 
Sometimes hii ni mbinu ya kufukuza wakware, kushinda unatuma tuma mameseji tu kwa mtu na ukute mtu mwenyewe hajakuelewa anakukataa unajifanya king'ang'a hapo inabidi uombwe pesa ili kufukuzwa
Hiyo mifuko yenu imekuwa kitega uchumi,85℅ mnafanyabiasha.
Hiyo mifuko yenu inatuharibia sana uchumi.
Eti nataka mwanaume anayenijali,nataka mwanaume anaejua thamani yangu!!!

Thamani yenu imekalia wapi,kwanini mwanaume hana dhamani?
Ndiyo maana kuna malalamiko mengi hamfiki kileleni,tumegundua tunaumia kiafya na uchumi sasa tumeamua inaingia tunapambu dk 5 tumemaliza bao la2 ivo ivo hata tatu na 4. Unalipwa mnaachana.
Mtabadirisha wanaume mpk kiama kiwakute,maana sasa hivi tumesituka

Usafari nilipe20000×2
Chakula 20000
Vinywaji 15000
Chumba30000,chini sana
Ukiondoka unataka zaidi ya 20000
NIKUFIKESHE KILELENI KWA UFUNDI NA NGUVU.
HAPANA

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo mifuko yenu imekuwa kitega uchumi,85℅ mnafanyabiasha.
Hiyo mifuko yenu inatuharibia sana uchumi.
Eti nataka mwanaume anayenijali,nataka mwanaume anaejua thamani yangu!!!

Thamani yenu imekalia wapi,kwanini mwanaume hana dhamani?
Ndiyo maana kuna malalamiko mengi hamfiki kileleni,tumegundua tunaumia kiafya na uchumi sasa tumeamua inaingia tunapambu dk 5 tumemaliza bao la2 ivo ivo hata tatu na 4. Unalipwa mnaachana.
Mtabadirisha wanaume mpk kiama kiwakute,maana sasa hivi tumesituka

Usafari nilipe20000×2
Chakula 20000
Vinywaji 15000
Chumba30000,chini sana
Ukiondoka unataka zaidi ya 20000
NIKUFIKESHE KILELENI KWA UFUNDI NA NGUVU.
HAPANA

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Ukitumia dk 5 sie tunajua hauna pumzi mixa nguvu
 
Hiyo mifuko yenu imekuwa kitega uchumi,85℅ mnafanyabiasha.
Hiyo mifuko yenu inatuharibia sana uchumi.
Eti nataka mwanaume anayenijali,nataka mwanaume anaejua thamani yangu!!!

Thamani yenu imekalia wapi,kwanini mwanaume hana dhamani?
Ndiyo maana kuna malalamiko mengi hamfiki kileleni,tumegundua tunaumia kiafya na uchumi sasa tumeamua inaingia tunapambu dk 5 tumemaliza bao la2 ivo ivo hata tatu na 4. Unalipwa mnaachana.
Mtabadirisha wanaume mpk kiama kiwakute,maana sasa hivi tumesituka

Usafari nilipe20000×2
Chakula 20000
Vinywaji 15000
Chumba30000,chini sana
Ukiondoka unataka zaidi ya 20000
NIKUFIKESHE KILELENI KWA UFUNDI NA NGUVU.
HAPANA

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Mambo yote hayo ya nn kaka, bora uvute bitch tuu urelax
1.bitch hakupi stress
2.bitch hutumii nguvu nyingi kumlazimisha akubali
3.bitch unatumia hela kidogo kuliko mademu hawa
4.bitch hana maringo ya kijinga, mademu Kuna muda wana play "hard to get" which is stupid
5.ukifanya mapenzi na demu wa kawaida umezini, na bitch ukifanya nae umezini, SO WHATS THE DIFFERENCE??
 
Vilio vya wanaume kuombwa pesa na wapenzi wao, naomba tu niseme wapenzi wenu, kama na wasio wapenzi wanawaomba basi mtasema. Ukipita pita mitandaoni katika post tatu haukosi moja inayolalamikia wanawake kuomba pesa...njaa is real mwokozi tuokoe sa tukamuombe nani....😔

Nnajiuliza kwani hili swala ni geni? Ni jipya? Zamani wanaume walikua hawawapi pesa wapenzi wao? Wanawake walikua hawaombi hela? Hadi sasa iwe ishuuu yani kila kona ni malalamiko tu.....na hawa mnaolalamikia anakua ni mpenzi wako tu mmoja au rundo la wapenzi wote wanakuomba??? Mtu mmoja anaweza kukuomba pesa kiasi hicho hadi ikawa kero? Au ni nyie harakati zenu za pimbi ndio malipo yake haya? Una wapenzi wanne kila mmoja akiishiwa gas manake ni laki mbili hiyo 😁 ungekua na mmoja at least basi 50 sio mbaya, Hebu kuweni wazi NI MPENZI MMOJA TU NDIO KERO KIASI HICHO AU WAPENZI WAKO WENGI????

Mwanamke umekaa zako uko busy na maisha yako, anakuja mtu kavaa suruali anaanza saundi anakuomba omba vitu vyako eti ye ukimuomba chake inakua kero, hutaki kuombwa basi tulia zako nawe usiombe ombe vya watu?!!!! Yani eti utelezeee halafu umalize na ahsante, bro ahsante hailipi bill. Kuna wakulungwa watauliza kwani mnauza??? Hapana haziuzwi na hazitolewi bure.

Naamini mapenzi na pesa ni vitu viwili visivyotenganishwa, asikuambie mtu pesa ikiwepo inaongeza furaha, amsha amsha na nyeg* katika mapenzi, mtabisha tu Ila ndio ukweli.....

Cheers kwenu wanaume mnaotoa bila kinyongo bila maneno maneno, mbarikiwe sana muongezewe zaidi na zaidi, mpewe muda wote mnaotaka tena mpewe vizuri, mnaolialia kuombwa pesa muuliwe tu nyie.
Ladies msimamo ni upi? Tuache au tuendelee...😁😁
........umejipigia debe kwa sana.

Kuombwa pesa si ishu, ila kuombwa pesa kulikopitiliza na kwa formula moja ndio ishu.

Halafu mwalimu wenu mmoja,
~kufiwa.
~kuuguliwa.
~nywele kufumka ghafla.
na vijisababu vingine ambavyo kwa mtu yeyote mwenye busara ataviona vya hovyooo.
 
........umejipigia debe kwa sana.

Kuombwa pesa si ishu, ila kuombwa pesa kulikopitiliza na kwa formula moja ndio ishu.

Halafu mwalimu wenu mmoja,
~kufiwa.
~kuuguliwa.
~nywele kufumka ghafla.
na vijisababu vingine ambavyo kwa mtu yeyote mwenye busara ataviona vya hovyooo.
Nanyie mwalimu wenu mmoja kuomba omba tu mbususu 😏😏
 
......acha kabisa MBUSUSU ni habari ingine kabisa. Endeleeni kuomba na mtapewa, na sisi tutazidi kutafuta mbususu na tutapata! Hakuna kupingana na maandiko.
 
Nanyie mwalimu wenu mmoja kuomba omba tu mbususu [emoji57][emoji57]
Wanaume wapo real. Toka stone age, anapotongoza mwanamke anataka mapenzi tu.

Ila wanawake mpo fake sana..... Miaka ya stone age unataka mwanaume akupe soft pebbles, tukasogea mkawa mnataka mauwa, tukasogea mikufu ya dhahabu, tukasogea, mkataka outings, tukasogea, mnataka iphone, khaaaaaaaaaaaaa?!

Mnaona namna mlivyofake, yaani vitu mnavyotaka havina uhusiano na ndoa ni tamaa za akili zenu. Upuuzi mtupu.
 
Wanaume wapo real. Toka stone age, anapotongoza mwanamke anataka mapenzi tu.

Ila wanawake mpo fake sana..... Miaka ya stone age unataka mwanaume akupe soft pebbles, tukasogea mkawa mnataka mauwa, tukasogea mikufu ya dhahabu, tukasogea, mkataka outings, tukasogea, mnataka iphone, khaaaaaaaaaaaaa?!

Mnaona namna mlivyofake, yaani vitu mnavyotaka havina uhusiano na ndoa ni tamaa za akili zenu. Upuuzi mtupu.
Hivi kwenu ndoa huwa mnaona ndio kila kitu?????heeeeeee jamani hivi ujue vipaumbele vinatofautiana??? Kuna watu katika list ya vipaumbele vyake 2000 ndoa hata haipo...

Sasa kama since stone age mpo vile vile hambadiliki mna tofauti gani na mawe??? Wakati unabadikika nyie mmeganda tu hapo hapo, ndio maana siku hizi mmegeuka vilizi walilia mbususu, na zitawatoa roho.
 
Samahani dada yangu nlikutukana, ila nlichokuambia ni ukweli halisi. Hayo maneno ulioringia nayo humu jF ya kuwa:

1)"hutembei na kila mwanaume"
2)"ooh wewe sio mrahisi"
3)"we mchoyo wa papuchi" etc hayo maneno mm mwenyewe nshaambiwa humu mtaani na Wadada Ambao wananiona nina Sura ya sokwe, au Wadada wanaotongozwa na wanaume wasiowataka...so hayo maneno uliosema humu jf ndo unawaambiaga wanaume unaoona wana sura mbaya.

Ukweli ni kwamba:
1) Ukikutana na mwanaume handsome, anaekuvutia, akakutongoza, ww ni mrahisi sana, na utampa papuchi kirahisi, ila unaringa humu jF, ili sijui tukuone mtakatifu sana, au una thamani sana i don't know..

2) Huenda ulibadilisha, unabadilisha au utabadilisha mikuyenge aina tofauti ili ujue ladha ya wanaume tofauti wanaokutongoza, that's a fact miss pablo
For sure bro, i gree with you .... wanaliwa kirahisi ..ila ukimkuta anavojishua sasa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Vilio vya wanaume kuombwa pesa na wapenzi wao, naomba tu niseme wapenzi wenu, kama na wasio wapenzi wanawaomba basi mtasema. Ukipita pita mitandaoni katika post tatu haukosi moja inayolalamikia wanawake kuomba pesa...njaa is real mwokozi tuokoe sa tukamuombe nani....[emoji17]

Nnajiuliza kwani hili swala ni geni? Ni jipya? Zamani wanaume walikua hawawapi pesa wapenzi wao? Wanawake walikua hawaombi hela? Hadi sasa iwe ishuuu yani kila kona ni malalamiko tu.....na hawa mnaolalamikia anakua ni mpenzi wako tu mmoja au rundo la wapenzi wote wanakuomba??? Mtu mmoja anaweza kukuomba pesa kiasi hicho hadi ikawa kero? Au ni nyie harakati zenu za pimbi ndio malipo yake haya? Una wapenzi wanne kila mmoja akiishiwa gas manake ni laki mbili hiyo [emoji16] ungekua na mmoja at least basi 50 sio mbaya, Hebu kuweni wazi NI MPENZI MMOJA TU NDIO KERO KIASI HICHO AU WAPENZI WAKO WENGI????

Mwanamke umekaa zako uko busy na maisha yako, anakuja mtu kavaa suruali anaanza saundi anakuomba omba vitu vyako eti ye ukimuomba chake inakua kero, hutaki kuombwa basi tulia zako nawe usiombe ombe vya watu?!!!! Yani eti utelezeee halafu umalize na ahsante, bro ahsante hailipi bill. Kuna wakulungwa watauliza kwani mnauza??? Hapana haziuzwi na hazitolewi bure.

Naamini mapenzi na pesa ni vitu viwili visivyotenganishwa, asikuambie mtu pesa ikiwepo inaongeza furaha, amsha amsha na nyeg* katika mapenzi, mtabisha tu Ila ndio ukweli.....

Cheers kwenu wanaume mnaotoa bila kinyongo bila maneno maneno, mbarikiwe sana muongezewe zaidi na zaidi, mpewe muda wote mnaotaka tena mpewe vizuri, mnaolialia kuombwa pesa muuliwe tu nyie.
Ladies msimamo ni upi? Tuache au tuendelee...[emoji16][emoji16]
Mi naona tatizo liko kwetu wanaume pia..Kama.ni mtu wako.mtunze kulingana.na uwezo wako na.kama huma mweleze. Kama ni wa kukupenda atakupenda tu.
 
Katika mada ya namna hii kokote pale katika jukwaa hili ningependa kutambulika kama mpiga vita tena vita vikali kwelikweli. Haiwezekani mje mtuharibie dunia na kuleta mifumo ya hovyo namna hii. Wauzaji mjirasimishe tuwajue tu na wala hatuna shida na biashara za watu. Ila msiwaambukize watu wanaotaka kuwa kwenye mahusiano ambayo yatazaa ndoa siku za usoni.
For sure...wajiweke wazi iwe ni official .... na sio kujificha kwenye kivuli cha mahusiano ....huku wakitumia mwanya huo kujinufaisha ...wanatuharibia vizazi na vizazi
 
Back
Top Bottom