Wanaume, kuombwa pesa ni jambo kubwa kiasi hiki au mnakuza tu mambo?

We acha tu hawa wanawake hawa anakuomba hela halafu anaenda kuliwa na gest kalipia kwa hela yako
Kwa nn wasipambane kutafuta ili tuwe tunakutana sehemu moja maana taasis zinazotetea ujinsia zinawapumbaza sana

Sent from my TECNO KD7h using JamiiForums mobile app
 
Kuna vitu duniani havina thamani na ukivipa thamani basi unavishusha thamani. Kimojawapo ni mbunye/papuchi. Hii haina bei ukitaka kuikadilia bei yake aisee hutaiweza ni zaidi ya bei yenyewe.

Sasa hawa dada zetu wenyewe wameiwekea bei kulingana na hadhi za maisha,sura na vipato vyao. Na hapo ndo walipoharibu sasa siku hizi imekua na bei tofaut tofauti. Walau hata kungekua na bei elekezi 😁😁. Mleta uzi alianza vizuri ila kaja kuharibu tena kwenye kuiuza hapo.

Tukijua unauza tutanunua haina shida na bei ikizidi ndo malalamiko yanaanzia hapo sasa, ndo mpaka umeleta huu uzi ujue umepandisha bei ya utelezi. Huwezi sikia wenye bei elekezi pale m/nyamala,buguruni, sinza au uwanja wa fisi wanalalamika kua wanaume ni bahili labda watalalamika uhaba wa wateja, ila mteja akija akitajiwa bei elekezi bila hiyana anapata utelezi.
 
Humu ndani kuna mchangiaji mmoja alipata kusema ya kuwa sisi wanaume tukipenda sehemu ile kweli kweli huwa tunatoa hela bila kuombwa. Huu ukweli mweupe kabisa. Hivi ndivyo tulivyo sisi.

Ukiona watu wanalalama ujue hali imekuwa mbaya sana,aisee wanawake/wanaomba hela asikwambie mtu.

Kuombwa hela siyo tatizo, tatizo ni kuombwa ombwa hela.
 
Sometimes hii ni mbinu ya kufukuza wakware, kushinda unatuma tuma mameseji tu kwa mtu na ukute mtu mwenyewe hajakuelewa anakukataa unajifanya king'ang'a hapo inabidi uombwe pesa ili kufukuzwa
Hii sababu huwa haingii akilini kabisa. Unawezaje kumfukuza mtu ukimuomba pesa mara kwa mara,je akiwa anakupa kila unapo muomba hela unazichukua au una kataa ?

Siku hizi sisi tulio wengi tumekuwa waelewa sana pindi mnapotukataa.
 
Reactions: Cyb
You see kumbe muda wetu wa kushaini mchache tu, sa malalamiko ya nini jamani
 

Ni kweli mkuu ulichokisema
Ila kuna mijanaume ingine unaipenda unaivumilia ila ukigusia tu kuomba hela anavyoshtuka kama sio majukumu yake vile kunihudumia mxiiiuueeee
 
[emoji1696]
 
ila wewe Jamaa Recently umejizolea umaarufu Kweli humu ndani
 
Point.

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Hahahah wamekusikia mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…