Mzee wangu aliwah sema hili " Kijana nyakati zangu za ujana kuna wakati nilifikia nikaacha kufukuzana na wanawake, nilianza kufukuzia thamani. Heshima yangu na katika hayo mawili wanawake walianza kunifukuzia na ndipo nilipomchagua Mama yako ".
SIKILIZENI NDUGU ZANGU , WANAWAKE WANAPENDA WANAUME AMBAO NI "STRONG" .
Na huu ustrong unapatikana katika "Thamani" , ndio maana ukiwa mwalimu. Ukapangiwa kijijin huko..wanawake watakukimbiliaa vyakutosha
SIKILIZENI TENA, DIAMOND NI STAR.. ANAJULIKANA NI TOMBATOMBA... LKN NAWAAMBIA HAMNA MWANAMKE BONGO MWENYE UCHUMI, MWENYE ELIMU MWENYE NN. AMBAYE HAPENDI KUTOKA DIAMOND HATA KAMA DIAMOND HATAMPA 100
KWANN??? KWA SABABU DIAMOND NI MWENYE "THAMANI"
[emoji117]UKIWA MWENYE THAMAN , WANAWAKE WANAKUPENDA, WANAKUJA WENGI, WANAJILETAA. YAAAN WEWE UNAKUA MWENYE NAFASI KUBWA YA FAIDA SABABU UNAWEZA FANYA CHAGUO MWENYEWE
YAAN INAFIKIA WAKATI KILA MWANAMKE ANAYEBAHATIKA KUKUFAHAM ANAKUA ANAKUTAKA TU YAAN WANAKUTAKA[emoji23][emoji23][emoji23]
NA KADRI WANAVYOKUJA, NDIVYO WANAKUPA WEWEEE "NGUVU YA KUWATALA, KUA NA MAMLAKA JUU YAO NA KUWAONGOZA"
ni lini atakuendesha?? Ni lini atakupa presha kisa kakuomba hela?????
Ni Lini??????.
SASA USIWE NATHAMANI, ALAFU UTUMIE NGUVU+PESA KUMSHAWISHI AISEEEEE ATADUMU NAWEWE ENDAPO TU UTAENDELEA KUHANGAIKA KUMHONGA.