This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Amesema kuzaa nje ya ndoa au unakurupuka.Kama unajua kuwa mtoto ana hitaji malezi ya baba na mama kwanini hamkuoana?
Huwezi kuoa kila mtu/mwanamke.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amesema kuzaa nje ya ndoa au unakurupuka.Kama unajua kuwa mtoto ana hitaji malezi ya baba na mama kwanini hamkuoana?
Ndo ukweli huo mkuushida ya binafamu ndio hii hakuna wema kabisa,akifanya hivi kosa akifanya vile kosa
Huijui dunia, SWALI la kitoto sana.Kama unajua kuwa mtoto ana hitaji malezi ya baba na mama kwanini hamkuoana?
Kama A alizaa mtoto Q akiwa na X, basi siku X akiolewa mawasiliano yao juu ya mtoto yatakuwa kwa protokoo maalumu, kwamba A akitaka kuwasiliana na X juu ya mtoto Q, yeyote kati yao atakaye initiate mazungumzo atatakiwa kuongea akiwa na mwenza wake wa wakati huoHabari mara nyingi Watu wengi wanajikuta wamezaa nje ya ndoa na mwenzie kuolewa Na mnamtoto tayari.
Mtoto anahitaji malezi ya baba na mama.
Sasa njia gani unatumia kuwasiliana na mzazi wenzio aliyeolewa tayari afu utakuta huko anaishi na mtoto wako au mtoto unaishi naye sometimes mtoto atataka kukutana na mama yake, pengine hata na baba.
Njia gani Mnatumia kufanikisha hili?
Karibuni.
Mkuu umetumwa?Tafuta mwingine mkuu..mi ninavyo vitoto viwili vya nje. Nina amani kabisa. Wala sitishiki na vitisho vya watu hapa JF kuhusu kuzaa nje ya ndoa. Nina mpango wa kuongeza mmoja wa mwisho wa nje ya ndoa.
Usizae watoto wote kwa mama mmoja.
Acha utoto, kwani wakati anamuoa hakujua kuwa tayari kuna mtoto wa mwanaume mwenzake?;Sio kidogo, anataka kuharibu ndoa ya binti wa watu wakati hakumuona wa maana alipompa ujauzito, vijana wasiowajibika kwenye makosa yao ni waharibifu sana
Achana na mke wa mtu nyie ndio huwa mnaharibu ndoa za watuHabari mara nyingi Watu wengi wanajikuta wamezaa nje ya ndoa na mwenzie kuolewa Na mnamtoto tayari.
Mtoto anahitaji malezi ya baba na mama.
Sasa njia gani unatumia kuwasiliana na mzazi wenzio aliyeolewa tayari afu utakuta huko anaishi na mtoto wako au mtoto unaishi naye sometimes mtoto atataka kukutana na mama yake, pengine hata na baba.
Njia gani Mnatumia kufanikisha hili?
Karibuni.
Inahitaji moyo kukaa hivyo, Basi tuu.Suala lako na langu ni tofauti,mimi na huyo mume wa mzazi mwenzangu,tunazungumza kila kitu na kika nachofanya nakifuatilia na hakuna kinachoharibika na kwa taarifa yenu nyote huyo jamaa ni msomi na ni mtu mwenye pisa hivyo hachukui hata senti ya mtoto
Ndio tayari ishatokea twende kwny solution km uwezi kaa kimya usichangieKama unajua kuwa mtoto ana hitaji malezi ya baba na mama kwanini hamkuoana?
KabisaKwann uoe mwanamke mwenye mtoto mm hata uwe pisi kali kama una mtoto sikuoii
Mtoa mada anaomba tumpe uzoefu. Ilishatokea tayari kwa sasa si muda wa kumlaumu mtu kwa sababu hatuwezi kujua mazingira yaliyopelekea kutokuoana.Ungemuoa hizo shida usingepata
ni kweliMtoa mada anaomba tumpe uzoefu. Ilishatokea tayari kwa sasa si muda wa kumlaumu mtu kwa sababu hatuwezi kujua mazingira yaliyopelekea kutokuoana.
Tumpe uzoefu.
acheni ujinga kulinda ndoa sio hivyo kulinda ndoa ni mtu dhamira yake mwenyewe, huyo mke wa jamaa akiamua kuzini nayeyote anaweza kwanza anauhakika kiasi gani hawawasiliani..?
ndoa hailindwi, ukianza kuilinda ndoa tena mwanaume kuanza kumlinda mwanamke jua umeanza kuingia chaka! wenye ndo wanatakiwa wajilinde wenyewe maana ni kiapo!.. kama mtu huwezi kuingia kwenye ndoa nakuenenda na hiyo ndoa kuwa kama sisi tu washenyentaji...😅
Adui au rafiki itaeleweka nijishamlelea watoto ninavyotaka hadi wawe wakubwa, sio kuniingizia sumu kwa watoto wangali wadogo.mwanamke ni adui yako?
Mkuu hii hutokea wakati ambao hujajipanga kuzaa au kuoa na pengine uko shule unakuwa huna lengo baya kabisakuepusha hayo yote oa uliyempa mimba, kama huna mpango naye acha mawazo ya kuzaa naye
Nimefanyaje tena!Unachokitafuta utakipata nakwambia!
We haya tu.Nimefanyaje tena!