Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Kwahiyo tukifa ndio huwa mnapata freedom ? ๐๐๐Ndo maana wajane wananenepa kma maisha ndiyo haya bas nimeanza kuelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo tukifa ndio huwa mnapata freedom ? ๐๐๐Ndo maana wajane wananenepa kma maisha ndiyo haya bas nimeanza kuelewa
Sasa,mamaa Nangai,nyumbani kuna unga,mchele,tambi,vitoweo,mboga za majani na viungo kama vyote unataka nini tena?Na hela ya mwisho wa mwezi niliyoiacha hata nusu haijatumika.Wanawake huwa mna vituko tu mkiona hela ameshika mume.Mnataka mzimiliki zoooooteeee!๐๐๐๐Ndo maana mkifa wake zenu wananenepa na kupendeza balaa
Wanaume hatuachi hela, tunaacha kadi mama ajichotee mwenyewe anavyotaka akiridhika ajue yeye mwenyewe karidhika wapi.Hii inawahusu wanaume sio wavulana.
Hivi inakuaje unavoondoka nyumbani unatoa bunda la laki nne lote mfukoni kwako halafu unachomoa elfu 20 tu ndio unampa mwanamke wako?
Ni kuringishia kwamba una hela nyingi au kukomoana kwamba pesa ninazo na sikupi. Nimeumia sana.
Kumbuka anahonga Malaya laki sharti awe mweupe TU . Sasa Mimi cheusi Mangala nikitaka mahitaji ya watoto napewa 20,000 .
Wanaume ni .............
Inauma maana najua unaenda kuwapa malayaSasa,mamaa Nangai,nyumbani kuna unga,mchele,tambi,vitoweo,mboga za majani na viungo kama vyote unataka nini tena?Na hela ya mwisho wa mwezi niliyoiacha hata nusu haijatumika.Wanawake huwa mna vituko tu mkiona hela ameshika mume.Mnataka mzimiliki zoooooteeee!๐๐๐๐
Sasa mtu elf tatu mnasema mnaacha Kwa mbinde sasa mkifa kwanini asinenepeKwahiyo tukifa ndio huwa mnapata freedom ? ๐๐๐
Umeupiga mwingiWanaume hatuachi hela, tunaacha kadi mama ajichotee mwenyewe anavyotaka akiridhika ajue yeye mwenyewe kqridhika wapi.
Mimi nitajuaje atakachohitaji ghafla wakati sipo?
Sitaki ukahonge , ziache homeKwahiyo tukifa ndio huwa mnapata freedom ? ๐๐๐
Kwahiyo ni Bora ukahonge ?Sasa,mamaa Nangai,nyumbani kuna unga,mchele,tambi,vitoweo,mboga za majani na viungo kama vyote unataka nini tena?Na hela ya mwisho wa mwezi niliyoiacha hata nusu haijatumika.Wanawake huwa mna vituko tu mkiona hela ameshika mume.Mnataka mzimiliki zoooooteeee!๐๐๐๐
Naenda nazo kilabuni kunywa ulanzi huku nawaonesha partners kwamba nina kitambio umenipa wewe.Mbwembwe tu.๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐Inauma maana najua unaenda kuwapa malaya
Ila wake zetu akili zenu!Mnawaza mabaya tu juu yetu?Sitaki ukahonge , ziache home
๐ค๐ค๐คSasa mtu elf tatu mnasema mnaacha Kwa mbinde sasa mkifa kwanini asinenepe
Ukilewa TU wanakuibia , Bora uniachie nilishe wanaoNaenda nazo kilabuni kunywa ulanzi huku nawaonesha partners kwamba nina kitambio umenipa wewe.Mbwembwe tu.๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐
Sisi ni kitu kimoja , hayo majini tupeane TUPesa za majini upokee kinyume nyume utazipokea zote laki nne
Raha ya pesa, utumie na uwapendao( wanao, make n.k)
Kila nikikuachia unasema zimepotea au umesahau ulipoziweka.You people are horrible!U
Ukilewa TU wanakuibia , Bora uniachie nilishe wanao
Sisi ni kitu kimoja , hayo majini tupeane TU
Hebu pitia na hapa upige msasa wa akili kwa upande wa maisha ya mahusianoSasa mtu elf tatu mnasema mnaacha Kwa mbinde sasa mkifa kwanini asinenepe
Nitaziachaje home wakati pesa inahitajika kwenye mzunguko ?Sitaki ukahonge , ziache home
Tafuta za kwako acha kulilia hela za mwenzako, ni kwa sabb ya wadada kama nyiny ndio wanasema ndoa ni utapeli, unataka akupe nying ni za kwako ?? Mmetafuta pamoja ?? Uchoyo tu muone vileHii inawahusu wanaume sio wavulana.
Hivi inakuaje unavoondoka nyumbani unatoa bunda la laki nne lote mfukoni kwako halafu unachomoa elfu 20 tu ndio unampa mwanamke wako?
Ni kuringishia kwamba una hela nyingi au kukomoana kwamba pesa ninazo na sikupi. Nimeumia sana.
Kumbuka anahonga Malaya laki sharti awe mweupe TU . Sasa Mimi cheusi Mangala nikitaka mahitaji ya watoto napewa 20,000 .
Wanaume ni .............
Naijua tabia Yako lazima niilinde familia yanguIla wake zetu akili zenu!Mnawaza mabaya tu juu yetu?