Wanaume ni kwamba hamtakagi kupendwa ama ni nini?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hivi si muachage umalaya lakini..??
 
Kagueni Engine kama iko sawa na kama kuna shida jitahidi kutatua ndo tutajua yaliyomo yamo
 
Lazima mkeshe mnaangaliana mkuu, Hawa viumbe wana hatari...

Kumbe imeshawahi kukukuta enh.. Hii ya kumulikwa na simu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
huwa Tunachoka sasa kulitafuta limtu kila siku pindi akianza kujibu tuuu tunarelax tuwe tunatafutwaa
 
Wanawake bhana unaweza ukashtuka usiku mtu amesimama pembeni ya kitanda ameshika Simu anakumulika na Tochi usoni πŸ˜€πŸ˜€
Nimecheka sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, au anajifanya anakushikashika nywele kumbe anataka akumalize,

Ukiona mwanamke anakushiga kisogo tandika, ukiona anakupuliza tandika na achana nae, tushajua siri yenu
 
Mkishajipata mnatafuta wale wa size yenu sasa..!! Wale walikuwa wanawavumilia mnawaona wamekuwa wamama..!!
 
Sijui kwa wenzangu, lakini kwa upande wangu kupendwa nataka kupendwa sana fanya mbwembwe zote lakini masuala ya kugandana sitaki

Ntakucheki mara moja au mbili sio kila saa nikutumie tu mameseji, au muda wote simu,

hapana maisha hayaendi hivyo
 
Nimecheka sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, au anajifanya anakushikashika nywele kumbe anataka akumalize,

Ukiona mwanamke anakushiga kisogo tandika, ukiona anakupuliza tandika na achana nae, tushajua siri yenu
Wanawake bhana...

Au unakuta kamtu kananyoa nyusi zote halafu kana ku video call eti kanakuomba hela ya kubandika Nyusi bandia πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…