Lightysh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2024
- 434
- 1,551
Hahahaa endelea kuwa goodboy hivyo hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa endelea kuwa goodboy hivyo hivyo
😂 niambie basi nisikilize nataka niwe wako ya maunda zoroHahahaa endelea kuwa goodboy hivyo hivyo
Nna utofauti lakini sio huo wa kuogopwa kiasi hicho na watoto.Ndio hivyo hakuna namna. Unakuta hapo nyuma ya keyboard ni mbaba wale tunawaita shaba, watoto wakikuona nduki.
Nitumie kwanza na ya kutolea😀😂 niambie basi nisikilize nataka niwe wako ya maunda zoro
Ntakutumia kwenye comment? Nakupa location uifuate 😉Nitumie kwanza na ya kutolea😀
Haya tumaNtakutumia kwenye comment? Nakupa location uifuate 😉
Kwanza hakuna mwanamke ambae Huwa anaacha mwanaume kisa amechepuka labda mnawaacha wale dhaifuLeo ni jumatatu na kama ilivyo Ada watu wako busy haswaa....pamoja na uchovu wa week end lakini watu wanajongea maeneo Yao ya kujitafutia rizikii.
Bila shaka na nyie wa JF wenzangu mko sawa kabisa kiafya.
Let's get Back to our business...
Mwanaume shababi, asiyetulia au kwa jina baya Sana 'malaya' anajua kucheza na saikolojia za wanawake....
Mfano anapohisiwa tu kwamba amechepuka au amemkosea mwenza wake... Pamoja na mwanamke wake kupanic na kuongea maneno Mabaya Sana kumhusu yeye atabaki na utulivu bila panic.... Ataongea kwa sauti tamuuu yenye kupenya vizuri masikioni mwa mwanamke akimuelewesha kwa nini imekuwa hivyo au atakana kabisa kufanya kosa husika. Wakati huo aweza kuwa hata ana mkiss au anafanya namna nyingine ili mradi tu kumfanya mwanamke atulie na kesi iishe Hali itulie. Wanaume wa aina hii huwa Hawana maneno mengi wao kauli zao mara nyingi ni fupi na maneno Yao ni machache.
Hivi ushajiuliza kwa nini ni ngumu Sana kuchomoka kwa wanaume wa aina??hii ndio sababu.
Wanajua nini wafanye wakati gani na kweli mwanamke anageuka mtumwa wa penzi La player.
Wanawake: Ushawahi kujikuta kwenye hiyo Hali?? Kwamba mwanaume ana dalili zote za kuwa mchepukaji lakini kila ukimbananisha anapangua na unajikuta wewe ndio mkosaji?
Kwa kweli wanaume type hii ni hatarii.
nambariHaya tuma
Umeongea ukwel mtupu ubresiwe kijana njoo chukua ist wazalendo 🚕 yakoKwanza hakuna mwanamke ambae Huwa anaacha mwanaume kisa amechepuka labda mnawaacha wale dhaifu
Kula bia jombaNachukia kuwa good boy sijui nifanyeje yaani, nafikiri nianze kula mitungi labda nitabadilika
Yaani naona bora nihamie huko tu nibadili upepo, nimesoma maharishi mengi kuhusi good boy kwanza hata mademu hawatupendi kwa kuwa hatuwapigi matukio(tumepoa penzi halichangamki)Kula bia jomba
Hapana just keep on being that way
Unataka nife singular kuwa good boy hakuna ataekutaka mf umetoa hapo we mwenyeweHapana just keep on being that way
+254 176 000 000nambari