Jina litakuja nani?+254 176 000 000
LightyshJina litakuja nani?
sawa sawiaLightysh
Huwezi kujichagulia sura........ ooooh labda ujiharibu tu.Ndiyo maana yake, ila usiwe na sura personal
Kaa kwenye foleni kwa kutulia, zamu yako ikifika upe moyo haki yake. Kuwa na mtu mwenye wapenz wengi sio afya na unajua.Nipo na stresiwa na player mmoja hapa wakati yupo good guy mmoja ana show respect kiaina lakin moyo unamkataa.
Player akivurunda anapanga maneno hatoi nafasiii ππππ. Kila tunachopanga hakiendii
Player jamanii
wanaosemaga ngono ni roho hawakosei sijui uwa wanaona nini yaani huyumii maneno meengii..Iko hivi, ukipiga piga sana mademu, kuna kitu kinatokea tu naturally wanakufuata, hata kuongea unaweza ukawa hauongei sana.
Unakua na nyota ya UKIMWI
Yeye ndio anasema hivyo?Sijafanya mapenz na gud boy
Ni ile ya had ndoa
Nyoka yupi mkuuπππShimo baya la nyoka tu π
We unajua nyoka wangapiNyoka yupi mkuuπππ
Maumivu yakizidi muone daktari mkuu.Mimi ndo nasema hvo
Moyo wangu wote uko kwa bad boy had naumwa yanii
Hahaha.Iko hivi, ukipiga piga sana mademu, kuna kitu kinatokea tu naturally wanakufuata, hata kuongea unaweza ukawa hauongei sana.
Unakua na nyota ya UKIMWI