Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake wasio timamu au watoto wa sekondari, Wanawake timamu na walio pevuka wanajihusisha na good men ili watengeneze familia bora.Bahat mbaya wanawake wanawaelewa zaidi bad boys
Iko hivi, ukipiga piga sana mademu, kuna kitu kinatokea tu naturally wanakufuata, hata kuongea unaweza ukawa hauongei sana.
Unakua na nyota ya UKIMWI
Ww bado unahitaji kurudia course ya WS. 104 (analysis of women and their psychosocial setting ) ili uwafahamu vizuri wanawake. Kifupi hutujui badoWanawake wasio timamu au watoto wa sekondari, Wanawake timamu na walio pevuka wanajihusisha na good men ili watengeneze familia bora.
Wanaume wote tunajua, wanawake wanakuwaga kama na upepo flani hivi.
Mfano, ukiwa unatoka na wake za watu yan kuna ka upepo ka wake za watu kanakuwa kanakufata, ukigusa tu imo.
Utafiti wako una kitu kiongozi, ni sahihi.
Hakuna tofauti ya mwanamke na mwanaume linapokuja suala la utimamu wa akili na umalaya.Ww bado unahitaji kurudia course ya WS. 104 (analysis of women and their psychosocial setting ) ili uwafahamu vizuri wanawake. Kifupi hutujui bado
Bado narudia huwaelewi wanawakeHakuna tofauti ya mwanamke na mwanaume linapokuja suala la utimamu wa akili na umalaya.
Hapa tunamuongelea binadamu malaya na asiye malaya, binadamu timamu na asiye timamu mengine ni mbwembwe tu za kuhalalisha uhuni.
Mitambo ya kuengeneza Single mother.Leo ni jumatatu na kama ilivyo Ada watu wako busy haswaa....pamoja na uchovu wa week end lakini watu wanajongea maeneo Yao ya kujitafutia rizikii.
Bila shaka na nyie wa JF wenzangu mko sawa kabisa kiafya.
Let's get Back to our business...
Mwanaume shababi, asiyetulia au kwa jina baya Sana 'malaya' anajua kucheza na saikolojia za wanawake....
Mfano anapohisiwa tu kwamba amechepuka au amemkosea mwenza wake... Pamoja na mwanamke wake kupanic na kuongea maneno Mabaya Sana kumhusu yeye atabaki na utulivu bila panic.... Ataongea kwa sauti tamuuu yenye kupenya vizuri masikioni mwa mwanamke akimuelewesha kwa nini imekuwa hivyo au atakana kabisa kufanya kosa husika. Wakati huo aweza kuwa hata ana mkiss au anafanya namna nyingine ili mradi tu kumfanya mwanamke atulie na kesi iishe Hali itulie. Wanaume wa aina hii huwa Hawana maneno mengi wao kauli zao mara nyingi ni fupi na maneno Yao ni machache.
Hivi ushajiuliza kwa nini ni ngumu Sana kuchomoka kwa wanaume wa aina??hii ndio sababu.
Wanajua nini wafanye wakati gani na kweli mwanamke anageuka mtumwa wa penzi La player.
Wanawake: Ushawahi kujikuta kwenye hiyo Hali?? Kwamba mwanaume ana dalili zote za kuwa mchepukaji lakini kila ukimbananisha anapangua na unajikuta wewe ndio mkosaji?
Kwa kweli wanaume type hii ni hatarii.
Malaya ni malaya awe mwanamke au mwanaume. Ukishaona huwezi jizuia kutembea na mwanaume player ujue ushaukubali umalaya same to mwanaume player hakuna cha kujifunza hapo ni black and white.Bado narudia huwaelewi wanawake
Hakuna kitu kinaitwa kutombewa ila kuna mwanamke kuwa malaya na kutombwa hovyo. Haya matumizi ya maneno kutombewa yanaficha uhuni wa mwanamke. Ukioa malaya mpe talaka.Hii stress ya kutombewa mke na players inaumiza sana. Ndiyo maana good boys wajanja wanazalisha tu hawaoi. Kama kuoa wanaoa wanawake ambao siyo warembo, hata wakichapiwa haiumi kivile.
Na mnawapenda kweli,halafu wakisha wavurunga na kuwazalisha,mnakuja kuwapa lawama wanaume wote ,mnamsemo wenu "wanaume wote mbwa ".Na kweliii
ni confidence tu inatakiwa, ukitaka umle mwanamke na yeye ndo akulipe inawezekana pia
ni ujue tu jinsi ya kufanya ushawishi, nipo na msela hizo ni sera zake. yeye ndo analipwa ,yeye hatoi kitu na anawapata wa kutosha
Huwezi penda malaya kama si malaya na bahati mbaya malaya ni wengi kuliko wasio malaya na wanauhalalisha.Na mnawapenda kweli,halafu wakisha wavurunga na kuwazalisha,mnakuja kuwapa lawama wanaume wote ,mnamsemo wenu "wanaume wote mbwa ".
Kumbe kuna nice guy umempiga chini nae umemweka kwenye kundi la mbwa,sometimes akili zenu mnazijua wenyewe.
Kwa experience yangu nice guy wana bahati mbaya na mapenzi na hata wataalamu wa Saikolojia walishaprove hili.Huwezi penda malaya kama si malaya na bahati mbaya malaya ni wengi kuliko wasio malaya na wanauhalalisha.
Kwa kufanyajeNimeshajitibu mwnyw
Mwanaume wanaoongelewa ni wale wachepukaji na wengi ni kutokana na suala la mke mmoja ndo unakuta anakuwa na vimchepuko viwili vitatu na anavitunza kama mke tu ni vile hawezi halalisha.Kwa experience yangu nice guy wana bahati mbaya na mapenzi na hata wataalamu wa Saikolojia walishaprove hili.
Halafu kama hujui wanaume malaya wanabahati sana ya kupata wanawake walio tulia, nilishaliprove hili.
Good boys hawawavutii wakina dada, wenyewe wanasema good boyz hawana heka heka kwaiyo mahusiano yanakua bored. case study nzury ni mke wa Ricardo KakaHuko ni kutokujitambua unless huyo mwanaume ndio anakuweka mjini
Kwanini uwe na mwanaume mhuni anakuliza kila siku wakati kuna good boys wengi ambao wanajielewa