Wanaume 'players' wana nguvu ya hoja kiasi kwamba mwanamke hapangui mbele yake

Wanaume 'players' wana nguvu ya hoja kiasi kwamba mwanamke hapangui mbele yake

Mkuu mtoa mada kalenga suala la mahusiano ya kimapenzi akijagusia maeneo mengine kwenye maisha mfano uko ofisini unapopaongelea. Katika mapenzi hakuna good man kuna nice guy, hawa ni wanaume fulani hivi waaminifu na wema sana kwa wanawake ndio wanajumuishwa hapo kwenye kundi la nice guyz bila kujali umri, na hawa ndio wanaumizwa maana ukishakua na sifa za simp tu mwanamke lazima akuone bwege
Bora umueleweshe maana amekurupuka na essay utazani analipwa
 
Wanawake wakaa kwa players maranyingi ni saababu za kisaikologia tuu.

Mwanamke ni tester by nature, atakua anakujalibu kwa mengi kukujua ili kukuwin. Mfano anakupa kila kitu ila bado anakufuma na wadada means anaona kua upo demanded na wanawake wengine tena huenda wazuri kuliko yeye ndo keypoint yenyewe, means ni challenge ya yeye queen kulituliza kukuwin ili ajiprove kua ye ni mwanamke bora kati ya wengi wanaokutaka thats all.

Bila kumpa iyo challenge mwanamke anajihisi dormant, hajui kama we ni bora kias gani ikiwa hakuna dem wala wanawake wanao mchallenge kwenye colony lake so akiona huko nje kuna mwanaume anapapatikiwa anaona huko ndo kwa kwenda kufanya battle maana she deserve better.

Anyway ushauri wa kiume ni jamaazangu gongeni pisi zilizonyooka, pangilia maisha yako vizuri, hakikisha haueleweki, af kua na misimamo utaona wanawake watavyoteseka na wewe.
 
Sometimes unamuacha anaongea kwa kupaniki wewe umeinama chini upo kimya then unakuja kunyanyua uso ukimuangali huku jicho moja likitoa chozi kisha unamuuliza swali moja tu "ina maana huniamini kiasi hicho?"
Lazima akuelewe hapo awe mpole akitulia tu unampelekea moto wa kitaliban akilala hoi akija kuamka kama sio yeye alokuwa akipiga kelele.
Real life experience...
Huyu fa... La ndo anachofanya.
Ila nimeamua ama zangu ama zake Hadi abadilike.
 
Unabishana na uhalisia unaongea mambo tofauti kabisa na wanawake wenyewe wanavyoyatafsiri. Mwanamke anajua nice guy ni nani na good boy ni nani na kila mmoja atamuweka kwenye nafasi yake kulingana na tamaa na mahitaji yake kwa wakati husika (hapa good boyz ndio wanakuaga victims). Ili tusipoteze muda tufanye umeshinda
Ok, sawa, nimekubali sipo sahihi ila Ninachosema UMALAYA haufai na mwanamke kujifanya anapenda playboy ni kuuendekeza.
 
Unabishana na uhalisia unaongea mambo tofauti kabisa na wanawake wenyewe wanavyoyatafsiri. Mwanamke anajua nice guy ni nani na bad boy ni nani na kila mmoja atamuweka kwenye nafasi yake kulingana na tamaa na mahitaji yake kwa wakati husika (hapa good boyz ndio wanakuaga victims). Ili tusipoteze muda tufanye umeshinda
Mpotezee
 
Sasa kampeni ya nisijibiwe ya nini? Hahahaha. Kunipotezea wewe haitoshi unaanza kampeni? Kweli nimekugusa.
Kunigusa huwezi
Maana naongelea mwanaume ambaye anaenda kuwa baba wa wanangu na mume wangu. Hapo umalaya uko wapi? Akupotezee kwa sababu Wewe umeshupaza shingo hutaki kuelewa Uzi ulimaanisha nini umekazana kushusha ma essay sjui una stress huko mtaani. Relax jf sio ngumu ki hivyo.
 
Kunigusa huwezi
Maana naongelea mwanaume ambaye anaenda kuwa baba wa wanangu na mume wangu. Hapo umalaya uko wapi? Akupotezee kwa sababu Wewe umeshupaza shingo hutaki kuelewa Uzi ulimaanisha nini umekazana kushusha ma essay sjui una stress huko mtaani. Relax jf sio ngumu ki hivyo.
Sasa unapiga kampeni nisijibiwe na Uzi ni wako na najua ungepende watu waujadili ndo maana nikahisi labda nimekugusa. Sina stress, nipo vizuri sana nimeamua tu kusema, MWANAMKE KUPENDA PLAYBOYS NI UMALAYA.
 
Sasa unapiga kampeni nisijibiwe na Uzi ni wako na najua ungepende watu waujadili ndo maana nikahisi labda nimekugusa. Sina stress, nipo vizuri sana nimeamua tu kusema, MWANAMKE KUPENDA PLAYBOYS NI UMALAYA.
Hayaaa
 
Back
Top Bottom