Wanaume 'players' wana nguvu ya hoja kiasi kwamba mwanamke hapangui mbele yake

Wanaume 'players' wana nguvu ya hoja kiasi kwamba mwanamke hapangui mbele yake

Mwanaume wanaoongelewa ni wale wachepukaji na wengi ni kutokana na suala la mke mmoja ndo unakuta anakuwa na vimchepuko viwili vitatu na anavitunza kama mke tu ni vile hawezi halalisha.

Players/Malaya au bad boys, mwanaume malaya sijui bad boys hana utimamu wa kutunza famila na ukiona mwanamke anapenda kuwa na player/malaya waziwazi ujue naye ni malaya au hana utimamu wa akili.
Saikolojikali ipo hivyo, mwanaume hata awe malaya vipi akija kuoa atataka aliye tulia,wanaume tuna thamini purity ya mwanamke na ndio maana duniani kote mwanamke bikra hupewa thamani kubwa sana. Ila Mwanamke huvutiwa na mwanaume ambaye ni playboy (muhuni).

Hata Mauki na baadhi ya mijadala ya kimahusiano wasawahi kuprove hili.Nice guy always wana bahati mbaya na mapenzi,hiki ninacho kizungumza nimesha kiprove kupitia makuzi yangu na watu walio ni zunguka.
 
Players/Malaya au bad boys, mwanaume malaya sijui bad boys hana utimamu wa kutunza famila na ukiona mwanamke anapenda kuwa na player/malaya waziwazi ujue naye ni malaya au hana utimamu wa akili.
Sio kweli kabisa. Unataka kuniambia diamond platnumz hana utimamu wa kutunza familia. Unataka tuwe good boys hao wanawake wenyewe wanaostahili kufanyiwa wema wako wapi? ndo hawa hawa wanaotuambia tutafute hela(ili tumudu kuwahonga)?
 
Saikolojikali ipo hivyo, mwanaume hata awe malaya vipi akija kuoa atataka aliye tulia. Mwanamke huvutiwa na mwanaume ambaye ni playboy (muhuni).

Ipo hivyo hata Mauki na baadhi ya mijadala ya kimahusiano wasawahi kuprove hili.Nice guy always wana bahati mbaya na mapenzi,hiki ninacho kizungumza nimesha kiprove kupitia makuzi yangu na watu walio ni zunguka.
Nice guy mimi simuongelei. Unajua kuwa nice si sifa nzuri ni sifa ya uoga na huwa haiishii kwenye mapenzi tu, watu nice ni watu weak.

Hapa namuongelea a good man, mwanaume anayejielewa wajibu wake kwa mwanamke na rijali vs play boy, mhuni mhuni, janja janja weed.
 
Nice guy mimi simuongelei. Unajua kuwa nice si sifa nzuri ni sifa ya uoga na huwa haiishii kwenye mapenzi tu, watu nice ni watu weak.

Hapa namuongelea a good man, mwanaume anayejielewa wajibu wake kwa mwanamke na rijali vs play boy, mhuni mhuni, janja janja weed.
Nice guy sio sifa ya uoga,bali ni mwanaume aliye tulia kwenye mahusiano na ndio maana ujasiri wa kutongoza wanao,tatizo lao moja wanapenda kweli kweli,sio watu wa matukio wanajua kutunza na kulea na wapo tayari kuanza maisha ya ndoa.

Playboy/muhuni wao mapenzi wameyafanya kama burudani, ndio maana leo ana huyu kesho ana huyu na wengi wao hawapendi kuwajibika hasa kwenye kutunza na kulea baada ya kumzalisha binti.
 
Sio kweli kabisa. Unataka kuniambia diamond platnumz hana utimamu wa kutunza familia.
Unataka kuwa kama diamond platnum? Anyway, mwanamke anayekubali kuanzisha mahusiano na diamond ni mwanamke wa aina gani?
Watazame wanawake wake useme iwapo hakuna dalili za umalaya hapo katikati.
Unataka tuwe good boys hao wanawake wenyewe wanaostahili kufanyiwa wema wako wapi? ndo hawa hawa wanaotuambia tutafute hela(ili tumudu kuwahonga)?
Usiwe good boy, kuwa a good man, tafuta a good woman ila si lazima sababu hatupangiani, ni mtazamo tu. Hatuwezi fanana.
 
Hiyo ya player anaeoa siijui… Me nahisi ni vyema umuite tu malaya, What i know ni kwamba Player(Bad boy) huwa haoi, Aim key yake first ni uhuru na kuji-take care, Sisi huwa hatujali sana hisia za wanawake ni uchague kuwa king’ang’a na ukubali kuwa chini yangu au uendelee na maisha yako… Na ubaya ni kwamba we’re always Hot Dogs so kwenye maisha ya mwanamke anaekuwa na bad boy ni lazima abakigi kuwa kama mwanaume wa ndoto zake na kweli huishia kuwa ndoto
 
Nice guy sio sifa ya uoga,bali ni mwanaume aliye tulia kwenye mahusiano na ndio maana ujasiri wa kutongoza wanao,tatizo lao moja wanapenda kweli kweli,sio watu wa matukio wanajua kutunza na kulea na wapo tayari kuanza maisha ya ndoa.
Huyu ni a good man na hawapendi kweli kweli wanatambua majukumu yao kwa mke na familia. Nice guy hata hilo jina limekaa kipumbavu na ndio pendapenda wale wa nyimbo za kina lavalava, wale wa kujifungia ndani wanalia wameachwa.
Playboy/muhuni wao mapenzi wameyafanya kama burudani, ndio maana leo ana huyu kesho ana huyu na wengi wao hawapendi kuwajibika hasa kwenye kutunza na kulea baada ya kumzalisha binti.
Huyu ni malaya, leo ana huyu kesho yule ni malaya na ndo ninayemsema. Sasa mwanamke timamu hawezi kutaka kuanzisha familia na mwanaume wa aina hii huku akijua tabia zake unless na yeye ni malaya.
 
Hiyo ya player anaeoa siijui… Me nahisi ni vyema umuite tu malaya, What i know ni kwamba Player(Bad boy) huwa haoi, Aim key yake first ni uhuru na kuji-take care, Sisi huwa hatujali sana hisia za wanawake ni uchague kuwa king’ang’a na ukubali kuwa chini au uendelee na maisha yako
Naunga mkono hoja.
 
Huyu ni a good man na hawapendi kweli kweli wanatambua majukumu yao kwa mke na familia. Nice guy hata hilo jina limekaa kipumbavu na ndio pendapenda wale wa nyimbo za kina lavalava, wale wa kujifungia ndani wanalia wameachwa.

Huyu ni malaya, leo ana huyu kesho yule ni malaya na ndo ninayemsema. Sasa mwanamke timamu hawezi kutaka kuanzisha familia na mwanaume wa aina hii huku akijua tabia zake unless na yeye ni malaya.
Hebu nipe tofauti ya Nice guy/Good Guy mimi naona wote wana maana moja.

Nice guy/Good guy/Church boy au seminary boy wote category moja wanao umizwa na mapenzi.
 
Leo ni jumatatu na kama ilivyo Ada watu wako busy haswaa....pamoja na uchovu wa week end lakini watu wanajongea maeneo Yao ya kujitafutia rizikii.
Bila shaka na nyie wa JF wenzangu mko sawa kabisa kiafya.

Let's get Back to our business...
Mwanaume shababi, asiyetulia au kwa jina baya Sana 'malaya' anajua kucheza na saikolojia za wanawake....

Mfano anapohisiwa tu kwamba amechepuka au amemkosea mwenza wake... Pamoja na mwanamke wake kupanic na kuongea maneno Mabaya Sana kumhusu yeye atabaki na utulivu bila panic.... Ataongea kwa sauti tamuuu yenye kupenya vizuri masikioni mwa mwanamke akimuelewesha kwa nini imekuwa hivyo au atakana kabisa kufanya kosa husika. Wakati huo aweza kuwa hata ana mkiss au anafanya namna nyingine ili mradi tu kumfanya mwanamke atulie na kesi iishe Hali itulie. Wanaume wa aina hii huwa Hawana maneno mengi wao kauli zao mara nyingi ni fupi na maneno Yao ni machache.

Hivi ushajiuliza kwa nini ni ngumu Sana kuchomoka kwa wanaume wa aina??hii ndio sababu.

Wanajua nini wafanye wakati gani na kweli mwanamke anageuka mtumwa wa penzi La player.

Wanawake: Ushawahi kujikuta kwenye hiyo Hali?? Kwamba mwanaume ana dalili zote za kuwa mchepukaji lakini kila ukimbananisha anapangua na unajikuta wewe ndio mkosaji?

Kwa kweli wanaume type hii ni hatarii.
Sometimes unamuacha anaongea kwa kupaniki wewe umeinama chini upo kimya then unakuja kunyanyua uso ukimuangali huku jicho moja likitoa chozi kisha unamuuliza swali moja tu "ina maana huniamini kiasi hicho?"
Lazima akuelewe hapo awe mpole akitulia tu unampelekea moto wa kitaliban akilala hoi akija kuamka kama sio yeye alokuwa akipiga kelele.
 
Mwanaume wanaoongelewa ni wale wachepukaji na wengi ni kutokana na suala la mke mmoja ndo unakuta anakuwa na vimchepuko viwili vitatu na anavitunza kama mke tu ni vile hawezi halalisha.

Players/Malaya au bad boys, mwanaume malaya sijui bad boys hana utimamu wa kutunza famila na ukiona mwanamke anapenda kuwa na player/malaya waziwazi ujue naye ni malaya au hana utimamu
Players mara nyingi hupata wanawake walotulia mara moja moja sana kukutana na malaya mwenzake si unajua fahari wawili hawakai zizi moja
 
Unataka kuwa kama diamond platnum? Anyway, mwanamke anayekubali kuanzisha mahusiano na diamond ni mwanamke wa aina gani?
Watazame wanawake wake useme iwapo hakuna dalili za umalaya hapo katikati.

Usiwe good boy, kuwa a good man, tafuta a good woman ila si lazima sababu hatupangiani, ni mtazamo

Unataka kuwa kama diamond platnum? Anyway, mwanamke anayekubali kuanzisha mahusiano na diamond ni mwanamke wa aina gani?
Watazame wanawake wake useme iwapo hakuna dalili za umalaya hapo katikati.

Usiwe good boy, kuwa a good man, tafuta a good woman ila si lazima sababu hatupangiani, ni mtazamo tu. Hatuwezi fanana.
Mkuu bado una la kujifunza kuhusu saikolojia ya wanawake alichoongea mtoa mada ndio mentality ya wanawake. Wanapokua kwenye peak huwa wana-prefer bad boyz na wakishukua demaged ndipo wanajisogeza kwa good boyz. Uyo good woman unaemuongelea wewe ni yule mwanamke ambae ana uzoefu wa kupigwa matukio na bad boyz sasa kashapata akili hafanyi maamuzi kwa hisia tena anatumia akili na hii akili inakuja baada ya kuwa demaged yaani umri kwenda na kufanyiwa michezo ya kila aina na badboyz hapo ndipo mwanamke anatulia na kusubiri ajitokeze good boy mmoja asiejua background yake amuoe. hao unawaita good women ni bad girls wastaafu kuna msemo unasema shetani akizeeka anakua malaika.
 
Hebu nipe tofauti ya Nice guy/Good Guy mimi nona wote wana maana moja.
Mkuu, mtu akikuambia wewe ni a good man na mwingine akakuambia wewe ni nice guy huoni tofauti?

Mtu mzima akishapewa jina la Nice guy/Good guy/good boy basi ni mtu dhaifu, wale wa kukubaliana na kila kitu, hata maofisini hawawezi kataa wakiambiwa kitu, wanakosa ujasiri ni penda penda na watu wanaoruhusu hisia zitawale kuliko ubongo.

Sasa kuna a good man. Hawa ni watu wa familia, watu wanaojua majukumu yao kwa jamii, mwanamke na watoto.

Hawa jamii inawahitaji wakuze wanaume wa kizazi kijacho. Kadri wanavyopungua ndo tatizo la umalaya na ushoga linavyoongezeka.
 
Mkuu bado una la kujifunza kuhusu saikolojia ya wanawake alichoongea mtoa mada ndio mentality ya wanawake. Wanapokua kwenye peak huwa wana-prefer bad boyz na wakishukua demaged ndipo wanajisogeza kwa good boyz.
Hawa ni malaya. Umalaya ni cheo ndo maana unaweza kustaafu. Sio suala la saikolojia ni suala la uamuzi wa kuwa malaya au la. Mwanao wa kike mwambie kabisa aamue mwenyewe, akienda huko chuoni kuishi kinyumba na mwanaume ambaye hajamchumbia akiwa early 20's ni amechagua kuwa malaya, hakuna cha saikolojia wala nini, ni AMECHAGUA KUWA MALAYA.
Uyo good woman unaemuongelea wewe ni yule mwanamke ambae ana uzoefu wa kupigwa matukio na bad boyz sasa kashapata akili hafanyi maamuzi kwa hisia tena anatumia akili na hii akili inakuja baada ya kuwa demaged yaani umri kwenda na kufanyiwa michezo ya kila aina na badboyz hapo ndipo mwanamke anatulia na kusubiri ajitokeze good boy mmoja asiejua background yake amuoe. hao unawaita good women ni bad girls wastaafu kuna msemo unasema shetani akizeeka anakua malaika.
Ni kweli, Unaweza kustaafu umalaya baada ya kuchakaa sana na ukabadilika ila wapo mabinti wazuri wacha MUNGU na wasio Malaya. Wapo ila nakiri, kwa mjini hapa wanapungua muda unavyoenda ila wapo na naamini hawataisha.
 
Mkuu, mtu akikuambia wewe ni a good man na mwingine akakuambia wewe ni nice guy huoni tofauti?

Mtu mzima akishapewa jina la Nice guy/Good guy/good boy basi ni mtu dhaifu, wale wa kukubaliana na kila kitu, hata maofisini hawawezi kataa wakiambiwa kitu, wanakosa ujasiri ni penda penda na watu wanaoruhusu hisia zitawale kuliko ubongo.

Sasa kuna a good man. Hawa ni watu wa familia, watu wanaojua majukumu yao kwa jamii, mwanamke na watoto.

Hawa jamii inawahitaji wakuze wanaume wa kizazi kijacho. Kadri wanavyopungua ndo tatizo la umalaya na ushoga linavyoongezeka.
Mkuu mtoa mada kalenga suala la mahusiano ya kimapenzi akijagusia maeneo mengine kwenye maisha mfano uko ofisini unapopaongelea. Katika mapenzi hakuna good man kuna nice guy, hawa ni wanaume fulani hivi waaminifu na wema sana kwa wanawake ndio wanajumuishwa hapo kwenye kundi la nice guyz bila kujali umri, na hawa ndio wanaumizwa maana ukishakua na sifa za simp tu mwanamke lazima akuone bwege
 
Good boys hawawavutii wakina dada, wenyewe wanasema good boyz hawana heka heka kwaiyo mahusiano yanakua bored. case study nzury ni mke wa Ricardo Kaka
Umesema vyema
Bad boys wanachachua mahusiano na wanajua nini mwanamke anataka. Hawaishiwi maneno
 
Mkuu, mtu akikuambia wewe ni a good man na mwingine akakuambia wewe ni nice guy huoni tofauti?

Mtu mzima akishapewa jina la Nice guy/Good guy/good boy basi ni mtu dhaifu, wale wa kukubaliana na kila kitu, hata maofisini hawawezi kataa wakiambiwa kitu, wanakosa ujasiri ni penda penda na watu wanaoruhusu hisia zitawale kuliko ubongo.

Sasa kuna a good man. Hawa ni watu wa familia, watu wanaojua majukumu yao kwa jamii, mwanamke na watoto.

Hawa jamii inawahitaji wakuze wanaume wa kizazi kijacho. Kadri wanavyopungua ndo tatizo la umalaya na ushoga linavyoongezeka.
For me kimaana ni sawa.
 
Back
Top Bottom