Bora umueleweshe maana amekurupuka na essay utazani analipwaMkuu mtoa mada kalenga suala la mahusiano ya kimapenzi akijagusia maeneo mengine kwenye maisha mfano uko ofisini unapopaongelea. Katika mapenzi hakuna good man kuna nice guy, hawa ni wanaume fulani hivi waaminifu na wema sana kwa wanawake ndio wanajumuishwa hapo kwenye kundi la nice guyz bila kujali umri, na hawa ndio wanaumizwa maana ukishakua na sifa za simp tu mwanamke lazima akuone bwege
Twende PM basi mimi ni badboyUmesema vyema
Bad boys wanachachua mahusiano na wanajua nini mwanamke anataka. Hawaishiwi maneno
Real life experience...Sometimes unamuacha anaongea kwa kupaniki wewe umeinama chini upo kimya then unakuja kunyanyua uso ukimuangali huku jicho moja likitoa chozi kisha unamuuliza swali moja tu "ina maana huniamini kiasi hicho?"
Lazima akuelewe hapo awe mpole akitulia tu unampelekea moto wa kitaliban akilala hoi akija kuamka kama sio yeye alokuwa akipiga kelele.
A good man na good boy ni tofauti mkuu.For me kimaana ni sawa.
Ushaingiza mihemko sasa. Haturuhusiwi kuandika essay mpaka tulipwe?Bora umueleweshe maana amekurupuka na essay utazani analipwa
Basi wewe endelea kubaki na maana yako.A good man na good boy ni tofauti mkuu.
Katika kujadiliana kutofautiana tafsiri inatokea, ni kawaida boss.Basi wewe endelea kubaki na maana yako.
Mimi mtizamo wangu nishautoa.Katika kujadiliana kutofautiana tafsiri inatokea, ni kawaida boss.
Nimeusoma na kukuelewa ila umetofautina na wa kwangu.Mimi mtizamo wangu nishautoa.
Nashauri wanawake kuachana na aina hii ya mitazamo. Tuna single mother wengi sababu ya mitazamo hii inayochochea ngono holela.Umesema vyema
Bad boys wanachachua mahusiano na wanajua nini mwanamke anataka. Hawaishiwi maneno
Ok, sawa, nimekubali sipo sahihi ila Ninachosema UMALAYA haufai na mwanamke kujifanya anapenda playboy ni kuuendekeza.Unabishana na uhalisia unaongea mambo tofauti kabisa na wanawake wenyewe wanavyoyatafsiri. Mwanamke anajua nice guy ni nani na good boy ni nani na kila mmoja atamuweka kwenye nafasi yake kulingana na tamaa na mahitaji yake kwa wakati husika (hapa good boyz ndio wanakuaga victims). Ili tusipoteze muda tufanye umeshinda
MpotezeeUnabishana na uhalisia unaongea mambo tofauti kabisa na wanawake wenyewe wanavyoyatafsiri. Mwanamke anajua nice guy ni nani na bad boy ni nani na kila mmoja atamuweka kwenye nafasi yake kulingana na tamaa na mahitaji yake kwa wakati husika (hapa good boyz ndio wanakuaga victims). Ili tusipoteze muda tufanye umeshinda
Sasa kampeni ya nisijibiwe ya nini? Hahahaha. Kunipotezea wewe haitoshi unaanza kampeni? Kweli nimekugusa.Mpotezee
UMALAYA MALAYA TU hakuna haja ya kuremba remba.Nashauri wanawake kuachana na aina hii ya mitazamo. Tuna single mother wengi sababu ya mitazamo hii inayochochea ngono holela.
Kunigusa huweziSasa kampeni ya nisijibiwe ya nini? Hahahaha. Kunipotezea wewe haitoshi unaanza kampeni? Kweli nimekugusa.
Fuatilia kwa umakini utanielewaSikuwah jua hili
Sasa unapiga kampeni nisijibiwe na Uzi ni wako na najua ungepende watu waujadili ndo maana nikahisi labda nimekugusa. Sina stress, nipo vizuri sana nimeamua tu kusema, MWANAMKE KUPENDA PLAYBOYS NI UMALAYA.Kunigusa huwezi
Maana naongelea mwanaume ambaye anaenda kuwa baba wa wanangu na mume wangu. Hapo umalaya uko wapi? Akupotezee kwa sababu Wewe umeshupaza shingo hutaki kuelewa Uzi ulimaanisha nini umekazana kushusha ma essay sjui una stress huko mtaani. Relax jf sio ngumu ki hivyo.