WANAUME: Umewahi kukutana na mwanamke mzuri anayejiuza barabarani mpaka ukajiuliza pamoja na uzuri wote kakosaje mwanaume wa kumhudumia?

mshamba_hachekwi haya lete sababu na huyu nin kimemkuta sasa!!. Umalaya mkuu ni tabia. Mtu hafundishwi..ni tabiaa ile..Kuna watu ni masikin wa kutupwa mabinti ila huwez kumnunua hata iweje, eti upande dau ukamgonge..ni tabia. Nasema uongo Leejay49
Umalaya ni tabia tu ya mtu me naona.. cause kuna wengine sio masikini kusema wanashida na hela lakini wanaweza wakaliwa karibu na mtaa mzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…