Mkiwa na umoja ni lzm muwe na mipango ya matazamio mnajipanga ikitangazwa tu speaker KILA mtu anakaba angle yake mwenye bomu,mwenye manati,upinde,kombeo nkJust imagine kundi la vijana 30_50 linatia timu mtaani kwako
Mkiwa hamjajipanga kwa lolote Tena usiku
Halafu mpuuzi mmoja anakuambia tunawaogopa
Hata masaki hawawezi tia pua zao, obey bahari beach maana watamwagwa mavi vya kutoshaDar inategemea na maeneo,kuna maeneo hao panya Road hawawezi kukanyaga maana wanajua watachinjwa.maeneo kama Ukonga,Kitunda, kimara na kivule hawawezi kutia miguu yao.wanajua mziki wa wanaume wa huko.
Si ndio hapo sasa mkuu! Kule Ngarenaro na Ngalimi karibu kila mtaa kuna vibaka wanatembea na mabeto ila wanashindwa kuwadhibiti, ndiyo kwanza wanaambiana ukitaka wasikukabe ishi nao vizuri kuwa rafiki yao, na uwe unawapa hizi mia mbili mia mbili na jero jero za fegi ili uishi kwa amani!Mbona vibaka wa unga ltd hamjawathibiti mkuu?
Arusha wana ka ushamba inshort katika hii nchi sijaona washamba wa kirimbukeni kama ArushaSi ndio hapo sasa mkuu! Kule Ngarenaro na Ngalimi karibu kila mtaa kuna vibaka wanatembea na mabeto ila wanashindwa kuwadhibiti, ndiyo kwanza wanaambiana ukitaka wasikukabe ishi nao vizuri kuwa rafiki yao, na uwe unawapa hizi mia mbili mia mbili na jero jero za fegi ili uishi kwa amani!
Dah ukimtajaga huyo mwamba moyo unashtuka sana kuna wakat hata siamini aseeKipindi cha MH-JPM hatukusikiaga hizi mambo washaanza kuwachekea tena.
Nadhani wengi wanaelezea stori tu wanazozisikia Mtaani na humu mitandaoni na sio uhalisia.Just imagine kundi la vijana 30_50 linatia timu mtaani kwako
Mkiwa hamjajipanga kwa lolote Tena usiku
Halafu mpuuzi mmoja anakuambia tunawaogopa
Panya road wenyewe walikua KIGOGO ndio wanaofanya kila wahuni waitwe panya roadHalafu ukiwaona panya road wenyewe ni vile vitoto vya bangi kutwa vinashindia mhindi wa kuchoma. Ni dhaifu usipime. Vimekuzwa jina hatari.
Arusha kumejaa mashoga nashangaa huo ugumu mnautoa wapi au ndiyo mashoga wababeWaje Arusha hao.... Yaani ni kina mama tuu ndo watapambana nao wawatie adaby
Salimia jombaaa zangu rafikiii 🙂🙂Nadhani wengi wanaelezea stori tu wanazozisikia Mtaani na humu mitandaoni na sio uhalisia.
Usiombe yakukuteMitaa mitatu yote kutekwa kwa wakati mmoja huko chanika,bila hata Panya mmoja kukamatwa au kujeruhiwa.
Hili jambo nashindwa kulielewa kabisa!
Nafikiria ingekuwa vipi kama hao Panya road wangejaribu huo ujinga huku mikoani.
Sijui kama wangekuwa hai mpaka saa hii!
Wanaume wa Dar es salaam jifunzeni ukakamavu maana ni jukumu la kila Baba kuilinda familia yake.
@Shadeeya, Hao vipanya ujue hawana makwao,na ujue kula yao wanashindia mikate,wakila sana chips. Watakuwa na nguvu wapi?.Uliwaonea wapi hao watoto Mkuu? [emoji28]
Kwanza bei ya bastola sio kubwa sana maana mpaka ukiwa na laki saba au nane unapata.
Tatizo ni msahariti ya namna ya kuipata. Maana unaanzia ngazi ya mtaaa mpaka mkoa na mamlaka husika ili kuipata kuimiliki kihalali. Hii inakiwa kikwazo kwa wananchi kujilinda maana vibaka wanadhalilisha watu na kuibia mali..
Fukiria mtu anabakwa mbele ya mke wake au mke wake na watoto wanabakwa na kuibiwa mali na vijana wa miaka 12 mpaka 18 kisa tu ni wavuta bangi na walioshindikana ki malezi.
Wanaume wa Dar wasaidiwe.
Aisee! Yudono vile umenipa kazi bana ya kukugugo ili nikunoo. 🤣🤣🤣Salimia jombaaa zangu rafikiii 🙂🙂
Arusha na nyie kama Dar tu, teleza anawaweka roho juu wanabaka wake zenu na nyie mpo usikute na nyie marinda nina mashaka kama bado mnayo [emoji23][emoji1787]Waje Arusha hao.... Yaani ni kina mama tuu ndo watapambana nao wawatie adaby
Hivi haiwezekani kweli kwa sisi Wanaume wa Mikoani kutengeneza kikosi kazi cha kwenda kuwasaidia mafunzo ya ukakamavu hawa jamaa zetu wanaume wa Dar, ili kuepukana na haya manyanyaso yasiyoisha kutoka kwa hao Panya road na wale popobawa?Mitaa mitatu yote kutekwa kwa wakati mmoja huko chanika,bila hata Panya mmoja kukamatwa au kujeruhiwa.
Hili jambo nashindwa kulielewa kabisa!
Nafikiria ingekuwa vipi kama hao Panya road wangejaribu huo ujinga huku mikoani.
Sijui kama wangekuwa hai mpaka saa hii!
Wanaume wa Dar es salaam jifunzeni ukakamavu maana ni jukumu la kila Baba kuilinda familia yake.
Mikoani huko unaweza kukuta kijiji kizima hakuna mwenye bastola lakini hawa '' gupanya'' kama alivyowaita peter_intelligent hawawezi kuleta fyoko. Mapanga sha sha tu yanawatosha. Tuseme tu ukweli Dar watu wamelegea!Kwanza bei ya bastola sio kubwa sana maana mpaka ukiwa na laki saba au nane unapata.
Tatizo ni msahariti ya namna ya kuipata. Maana unaanzia ngazi ya mtaaa mpaka mkoa na mamlaka husika ili kuipata kuimiliki kihalali. Hii inakiwa kikwazo kwa wananchi kujilinda maana vibaka wanadhalilisha watu na kuibia mali..
Fukiria mtu anabakwa mbele ya mke wake au mke wake na watoto wanabakwa na kuibiwa mali na vijana wa miaka 12 mpaka 18 kisa tu ni wavuta bangi na walioshindikana ki malezi.
Wanaume wa Dar wasaidiwe.