Wamewahi vamia mbagala sana tu kipindi Cha JPM 2018. Hivi hata issue ya kibiti si ikitokea kipindi Cha JPM? Au vijiji vya Mtwara kuvamiwa na waasi.
Kwanini mnatengeneza picha kuwa hakukuwahi tokea uhalifu enzi zake?
... duh; sijawahi kuona utetezi wa kisengerema kama huu!Rorya sehemu kubwa ya watu wanaendesha maisha yao kwa kutumia nguvu
Dsm sehemu kubwa ya watu wanaendesha maisha yao kwa kutumia akili
kuliko kwenda kupambana na panya road na kuhatarisha maisha yako Bora umuache abebe hizo TV sijui simu kwa kuwa hajaiba wala kujeruhi akili yako una uhakika wa kuvipata tena
hivi upambane kuokoa simu ya laki 6 kwa gharama ya bisibisi ya kwenye jicho?
Huko rorya mna haki ya kupambana kwa sababu mapambano hata ya kupata ugali wa siku asilimia 96% ni manguvu na 4% ni akili …sie huku ni kinyume chake
(mtaniwia radhi watani zangu wa kijita na kijaluo)
wenzenu hulu hata mambo ya ugomvi ugomvi wa kupigana yalishaisha…mtu akikuzingua hata kama una mmudu unamtaftia elf 50 unapeleka Polisi post unawapa hilo jukumu hii ikimaanisha hata kumpiga adui yako unaagiza na kuamuru Chombo cha dola
Wanakamatwa na wengine hufa wanaobakia wachache wanaunda makundi mengne kuwakamata ni rahisi sana .Mimi napochoka ni kuona hamna anayejeruhiwa wala kukamatwa sio bure kuna tatizo.
Halifuti kuwa walifunga mitaa wakaiba kwenye maduka watu wakaanzisha thread humu za kupeana taarifa. Kama kuzimaa walizimwa baada ya matukio huenda na sasa watazimwaBro ulikuwa ukisumbua kipindi cha MH-JPM unapewa masaa tu watu wanakung’oa alaf unachofanywa siri yako mkuu.. yaani kama ukitoka mzima hauwezi rudia tena mkuu kuwa muelewa
... duh; sijawahi kuona utetezi wa kisengerema kama huu!
Hii ni kuonyesha kua uongozi uliopo hapo juu hauko dhabiti,ndio gharama ya kuwavunjia wamachinga mjini,walikua wanaokota okota vicent vyao hukoKipindi cha MH-JPM hatukusikiaga hizi mambo washaanza kuwachekea tena.
Nimecheka sana,jf haichoshiSasa huko Rorya panyaroad watakuwepo ili waibe nini? magunia ya unga wa dona au baiskeli za swala?
Uoga tu huo mmezidiRorya sehemu kubwa ya watu wanaendesha maisha yao kwa kutumia nguvu
Dsm sehemu kubwa ya watu wanaendesha maisha yao kwa kutumia akili
kuliko kwenda kupambana na panya road na kuhatarisha maisha yako Bora umuache abebe hizo TV sijui simu kwa kuwa hajaiba wala kujeruhi akili yako una uhakika wa kuvipata tena
hivi upambane kuokoa simu ya laki 6 kwa gharama ya bisibisi ya kwenye jicho?
Huko rorya mna haki ya kupambana kwa sababu mapambano hata ya kupata ugali wa siku asilimia 96% ni manguvu na 4% ni akili …sie huku ni kinyume chake
(mtaniwia radhi watani zangu wa kijita na kijaluo)
wenzenu hulu hata mambo ya ugomvi ugomvi wa kupigana yalishaisha…mtu akikuzingua hata kama una mmudu unamtaftia elf 50 unapeleka Polisi post unawapa hilo jukumu hii ikimaanisha hata kumpiga adui yako unaagiza na kuamuru Chombo cha dola
Hili ni tatizo kwakweliMimi nadhani hili linatokana na culture ya eneo husika ambapo wahamiaji wamekuta ikiwaathiri. Wanaume wa maeneo ya pwani siyo ng'ang'ari na wako legelege sana. Kazi kukaa vibarazani na kucheza ngoma tu.
Hakumaliza ndani ya wiki ilichukua mwaka mzima..... wanajeshi 20 waliuawa DRC.... Mtwara ilivamiwa na waasi n.k ila yangetoka kwa Samia mngeanza RIP JPM!!Wewe unajua? Kwanini? Kibiti waliacha kufanya fujo au unaongea tu
Mitaa mitatu yote kutekwa kwa wakati mmoja huko chanika,bila hata Panya mmoja kukamatwa au kujeruhiwa.
Hili jambo nashindwa kulielewa kabisa!
Nafikiria ingekuwa vipi kama hao Panya road wangejaribu huo ujinga huku mikoani.
Sijui kama wangekuwa hai mpaka saa hii!
Wanaume wa Dar es salaam jifunzeni ukakamavu maana ni jukumu la kila Baba kuilinda familia yake.
Hakumaliza ndani ya wiki ilichukua mwaka mzima..... wanajeshi 20 waliuawa DRC.... Mtwara ilivamiwa na waasi n.k ila yangetoka kwa Samia mngeanza RIP JPM!!
Mnakera sana......
Halifuti kuwa walifunga mitaa wakaiba kwenye maduka watu wakaanzisha thread humu za kupeana taarifa. Kama kuzimaa walizimwa baada ya matukio huenda na sasa watazimwa
Kinondoni wanakunyoosha mapema tu,Salam wanazipataSijawahi sikia PANYA-ROAD maeneo ya KINONDONI ( kwa wanaume wa Dar haswaaaa), wanajua wataiona ahera ndani ya dakika sifuri... Wanachagua mitaa ya kuingia ambako silaha nzito ni kisu cha mama ntilie, wanaume wanalala fofofo ndani ya nyumba bila hata panga wala kwanja la nyasi...
Who cares, nachojua JPM hakumalizana nao ndani ya mwezi kama ambavyo mnamkosoa Samia utadhani mwezi umepita toka Hawa jamaa warudi upya!!Jibu swali? Kwanza unajua kwanini? Waliacha harakati zao hao jamaa wa kibiti.. na nikujuze tu wale wa kibiti sio vibaka blue kama hao panya load “ bru.. inabidi ufahamu hilo kwanza
Wavamie hivyo mbezi beach au hata kimara hapo watu watawanye bongo hizo kwa bombaWatu wanakuja kuja tu kuanzisha uzi. Watu kumi wako na mapanga hata john cena hafui dafu.
Keyboard warriors wa mchongo