Wanaume wa Dar! Mitaa mitatu Mnatekwa na Panya Road?

Mtu anaondoka kijijini kwao akiwa mwanaume akishafika dar
Spiritually anavaa gauni
Unakuta tu Kuna vitu vinapwaya

Waambie waje Arusha hao panyas waone moto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanaume wa Dar wanaogopa hata Mende.
 
Duuuuuuh had nimeogopa.
 
Ha haaa nilishangaa Sana hiki kivumishi Cha GU Mara ya kwanza nimeenda Njombe, Nasikia mtu anasema"ana Gunyumba Gukubwa ugo"I was like whaaat[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Bwiru au Nsumba?
 
Sasa huko Rorya panyaroad watakuwepo ili waibe nini? magunia ya unga wa dona au baiskeli za swala?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukiona kundi la watoto wengi jioni linakuja mbele yako Katu usipite katikati yao kama huna silaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nyie ndo mnao papaswa kalio mme tulia tu
 
Dar inakuwaga kama wanachaguana, sisi waoga tukae huku sisi tukae huku
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mic u sis,
Nifanyie mpango wa bunduki bas.
 
Arusha kumejaa mashoga nashangaa huo ugumu mnautoa wapi au ndiyo mashoga wababe
[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji3][emoji3] ila watu khaaaaah
 
Bora nimehamia Mara[emoji41]
 
Imagine ingekuwa ni masaki na mitaa Kama hiyo yani uswahilini wanatekwa je ushuani!!!, Wanaume wa Dar wachinjwe wote tupeleke mbegu mpya huko[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pambwani hapa tichenjelai[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tukimbie mlongo

Hatari[emoji23]
Pambwani pawanzi mambu ga kukokana pa chilolo, titilahi mlongo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…