Wanaume wanaokataa ndoa wana matatizo yafuatayo...

Inaumiza sana ila pole tafuta wako mwema mnae elewana, tabia za bi mkubwa wako sio za wanawake wote.
 
Hao wasio na nguvu ndo wanashabikia kataa ndoa ili waonekane hawataki kuoa kwasababu ya matatizo ya kwenye ndoa kumbe kuna wanachokificha.
Hakuna mwanaume asiye na nguvu bhana madam ,nguvu hata za kujibust ukojo**ht kimoko hazikosekan ,wanatumia hata puturu,mkongo na nyingine nyingi ,ndio maana hzo dawa zikawepo kwajilii ya hao kusaidiaa ...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukishakuwa single mnadhani kazi yetu wengine ni kuhonga tu 😄
Hayo mambo kwa mwezi ni mara moja au mbili ina maana ukishaoa hamna kula bata
 
Hakuna mwanamke mwemaa kwangu ..wt n wale walee tu mkuu...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu I have been experiencing , situation Kama yako in my family my mother chase away my father while my dady did a lot of stuff kutusomesha kujenga majumba ya Gharama nk lakin vitu vyote my momy amejimilikisha peke yake , that way I hate marrige , and marrige is scam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…