Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Ni jukumu lako kuchuja. Sijalazimisha uniaminiBasi usinge toa hilo hitimisho katika kundi la watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni jukumu lako kuchuja. Sijalazimisha uniaminiBasi usinge toa hilo hitimisho katika kundi la watu.
Umalaya sio sifa nzuri ni tabia mbaya jiepushe na kujivunia tabia zilizo mbaya.Napenda kuwa malaya. Am proud.
Sio sifa nzuri kwako. Usiwazungumzie wengine.Umalaya sio sifa nzuri ni tabia mbaya jiepushe na kujivunia tabia zilizo mbaya.
Sihitaji imani kwa vitu vyenye kuhitaji data.Ni jukumu lako kuchuja. Sijalazimisha uniamini
Una tambua sifa na tabia za wanaume wote hapa duniani ?
Inaumiza sana ila pole tafuta wako mwema mnae elewana, tabia za bi mkubwa wako sio za wanawake wote.Hyo namba 1 hapo iliniathiri tokaa nikiwa na miakaa 5 nilikuwaa namwonaa b mkubwaa akimnyanyasaa mzee mpk mzee aliamua kujinyongaa kuondokana na KERO ya mama yetuu...na mwanamke yule baada ya mzee kujinyongaa hakukaa hata miez miwilii likaolewa na kijana ambayee umri n sawà na kaka ytu wa Kwanzaa nakututelekezaaa Moja kwa mojaa mpk leo,alafuu uniongopee kuhusu wanawakeee na nioee ili nipitiee manyanaso ya mzee aliyopitiaa kwa mama yetuu,,,aiseeeeee hapana ndoa n utumwaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Amini ambavyo vina data. Visivyo na data potezeaSihitaji imani kwa vitu vyenye kuhitaji data.
Hakuna mwanaume asiye na nguvu bhana madam ,nguvu hata za kujibust ukojo**ht kimoko hazikosekan ,wanatumia hata puturu,mkongo na nyingine nyingi ,ndio maana hzo dawa zikawepo kwajilii ya hao kusaidiaa ...Hao wasio na nguvu ndo wanashabikia kataa ndoa ili waonekane hawataki kuoa kwasababu ya matatizo ya kwenye ndoa kumbe kuna wanachokificha.
Ha haaaa hayaaaaHakuna mwanaume asiye na nguvu bhana madam ,nguvu hata za kujibust ukojo**ht kimoko hazikosekan ,wanatumia hata puturu,mkongo na nyingine nyingi ,ndio maana hzo dawa zikawepo kwajilii ya hao kusaidiaa ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukishakuwa single mnadhani kazi yetu wengine ni kuhonga tu 😄Gharama ya UTAJIRI wa single ni kubwa Sana kuliko alieoa!
Utafutaji unamafanya mwanamme asiwe na Muda wa kujipikia hivyo hula hotelini na na kuongeza gharama ya Maisha ya KILA SIKU!
Pia kuhonga KWA ajili ya penzi na out ni kubwa Sana na inamkosti single man!!
Nilisoma hiyo zamani Sana!
Mwendo ukawa wa kinyonga
Wanawaharibu kisaikolojia wanakuwa watumwa
Hakuna mwanamke mwemaa kwangu ..wt n wale walee tu mkuu...Inaumiza sana ila pole tafuta wako mwema mnae elewana, tabia za bi mkubwa wako sio za wanawake wote.
Mkuu I have been experiencing , situation Kama yako in my family my mother chase away my father while my dady did a lot of stuff kutusomesha kujenga majumba ya Gharama nk lakin vitu vyote my momy amejimilikisha peke yake , that way I hate marrige , and marrige is scam
Na ndio wanaunadi na kuutetea sanaWanawake ndo wanafaidika na huu mradi unaitwa Ndoa
Kijana usioe
TrueNa ndio wanaunadi na kuutetea sana
sheria ya ndoa ipitiwe upya kuna mahali walikosea sana.True
Si ata wewe unaona nimekubali mkuu kwan shida iko ap[emoji1787][emoji1787]