Wanaume wanaokataa ndoa wana matatizo yafuatayo...

Hauwezi kupata maendeleo bila kuwa na mke huu ni ujinga na upumbavu ulio walemaza wanaume walio wengi kwa kiwango kikubwa.
Gharama ya UTAJIRI wa single ni kubwa Sana kuliko alieoa!

Utafutaji unamafanya mwanamme asiwe na Muda wa kujipikia hivyo hula hotelini na na kuongeza gharama ya Maisha ya KILA SIKU!

Pia kuhonga KWA ajili ya penzi na out ni kubwa Sana na inamkosti single man!!

Nilisoma hiyo zamani Sana!

Mwendo ukawa wa kinyonga
 
Mke ni chanzo cha Umaskini pia ni kikwazo cha maendeleo, ndoa zimekuwa miradi wacha kupotosha watu

Tafuta pesa ishi vizuri mtoe mama yako uswahilini mpeleke ushuani fanya wazazi wako wajivunie uwepo wako.

Watoto wa kutosha bila kusahau premarital agreement, Mwanaume halisi anafanya hivyo, sasa wewe uliyesoma uzi wa jamaa jiroge nenda kaoe utakaa ukijuta maisha yako yote.
 
Pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…