Edon 666
JF-Expert Member
- Jul 15, 2022
- 417
- 1,056
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji120][emoji120][emoji120]Poleee, sio wanawake wote wako na roho ya ukatili kama huyo.
Hao ni wale walioharibika kisaikolojia kutokana na matukio waliyopitia hapo awali.Wapo wanaume wasiopenda ndoa na sio ndoa tu hata mahusiano ya kimapenzi kwao ni kero jitahidi kusoma tabia na sifa mbalimbali za wanaume wala hauta staajabu hili.
Gharama ya UTAJIRI wa single ni kubwa Sana kuliko alieoa!Hauwezi kupata maendeleo bila kuwa na mke huu ni ujinga na upumbavu ulio walemaza wanaume walio wengi kwa kiwango kikubwa.
Umetumia data zipi kuthibitisha hili ?Namba moja ni sahihi.
La kuongeze ni kwamba hawana nguvu za kiume.
Sio kweli ni mfumo tu wa maisha walio chagua wao, jamii yetu hii ya kiafrika haina elimu ndio maana hutafsiri hivyo.Hao ni wale walioharibika kisaikolojia kutokana na matukio waliyopitia hapo awali.
gharama Kama zipi ?Gharama ya UTAJIRI wa single ni kubwa Sana kuliko alieoa!
Page ya James deliciousSisi watawa tuna-comment wapi?
Unazo data zipi kunipinga?Umetumia data zipi kuthibitisha hili ?
gharama za Kula mgahawani hazina ukubwa kiasi cha kumzuia mtu kuwa tajiri.Utafutaji unamafanya mwanamme asiwe na Muda wa kujipikia hivyo hula hotelini na na kuongeza gharama ya Maisha ya KILA SIKU!
Kula hotelini badala ya kupika KILA saa na kuhonga madem!gharama Kama zipi ?
Tabia ya kuhonga wanawake hovyo hovyo ni udhaifu wa wanaume wapumbavu, malaya na wasio focus na maisha ndio hufanya hivyo.Pia kuhonga KWA ajili ya penzi na out ni kubwa Sana na inamkosti single man!!
Hata kama ni mmoja atakulia pesa Mkuu!tena kuliko mkeo!Tabia ya kuhonga wanawake hovyo hovyo ni udhaifu wa wanaume wapumbavu na malaya na wasio focus na maisha ndio hufanya hivyo.
gharama za mtu anaye kula mgahawani na gharama za mtu anaye nunua chakula kwa ajili ya kulisha familia ya watoto sita ipi ni kubwa ?Kula hotelini badala ya kupika KILA saa na kuhonga madem!
Vinamaliza pesa usipime!!
Piga hesabu
Kula hotelini mkuu!kutwaa mara tatu!gharama za mtu anaye kula mgahawani na gharama za mtu anaye nunua chakula kwa ajili ya kulisha familia ya watoto siku ipi ni kubwa ?
Nimesema kuhonga ni udhaifu wa wanaume wapumbavu,malaya na wasio na focus katika maisha ndio hufanya hivyo.Hata kama ni mmoja atakulia pesa Mkuu!tena kuliko mkeo!
Nimehitaji data kuthibitisha kuwa wanaume wasio oa wana upungufu wa nguvu za kiume ? Ni rahisi tu unaweza kufanya hivyo.Unazo data zipi kunipinga?
Unafahamu ukubwa wa gharama za kuhudumia familia kubwa unaweza linganisha na mtu ambae haja oa ?Kula hotelini mkuu!kutwaa mara tatu!
Lakini home sio lazima KILA siku ununue chakula!
Pole sanaHyo namba 1 hapo iliniathiri tokaa nikiwa na miakaa 5 nilikuwaa namwonaa b mkubwaa akimnyanyasaa mzee mpk mzee aliamua kujinyongaa kuondokana na KERO ya mama yetuu...na mwanamke yule baada ya mzee kujinyongaa hakukaa hata miez miwilii likaolewa na kijana ambayee umri n sawà na kaka ytu wa Kwanzaa nakututelekezaaa Moja kwa mojaa mpk leo,alafuu uniongopee kuhusu wanawakeee na nioee ili nipitiee manyanaso ya mzee aliyopitiaa kwa mama yetuu,,,aiseeeeee hapana ndoa n utumwaa
Sent using Jamii Forums mobile app