Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo hivyoNi
Ni kama vile kuna watu wana account nyingi ili kupiga debe lao la kukataa ndoa au wengine mnajifanyisha tu humu online ila mnafamilia au mpango huo, haiingii akilini kuwa idadi kubwa na watu humu waikandie ndoa kiasi hiki. Na kama ni kweli idadi ya wahuni ni wengi
Af janaume lenyewe linalokupiga hivyo halina hata mia mfukoniHiv unampigaje mtu hivi? Aisee
Asili ya nafsi ni yenye kupenda maovu na starehe, ndio mana wazee wa zaman hata kabla ya dini walikua strict sana na suala la zinaa.Kwanini wanaume tulazimishwe kuoa?
Kitu kizuri hakilazimishwi?. Kinajiuza tu chenyewe.
[emoji23]Af janaume lenyewe linalokupiga hivyo halina hata mia mfukoni
Mi nikishaona mwanaume anamtukana single mother napigia mstari kuwa anamuangalia mama yake nyumbani mambo anayofanya basi anajua kila mtu ni kundi hilo.Kisha wana wansema single mother wakati wao ndo kiwanda
Kwa hiyo kupitia huyu mbwiga ndo mnasema ndoa mbaya?Mwenzenu Amber Lulu Mme wake kidogo amuue Jana.
Cheki hicho kipigoView attachment 2484344View attachment 2484345
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Siwezi kataa ndoa...why tukatae?
Na ukute mtoa mada hajaoa,Kwanini wanaume tulazimishwe kuoa?
Kitu kizuri hakilazimishwi?. Kinajiuza tu chenyewe.
Hii kuficha ya kifuani ndio inasababisha wanaume wengi wanakufa mapema na kuacha wake zao wakiishi na wanaume wengine.Na siku wanaume walioa wakiamua kuanika vitimbi vya wake zao ili liwe somo zuri kwa vijana wanaotarajia kuoa/ kutokuoa. Basi amini ndoa hazitakuwepo na zikiwepo basi ni kwa% chache tu....! Swala la wanaume kupotezea vitu / kulilia kifuani kama inavyosemwa inasaidia kuficha mengi...! Anayetamani kuoa na aoe na asiyetamani kuoa na asioe....! Maisha ni kuchagua