Tatizo ni ukahaba wa wanawakeHivi vijana kwanini mnataka vya Bure, Hamuoi!?.
Mnakwepa gharama za kutunza mke kwahy lazima mpinge mada vikali.
Wanawake wangejielewa wakajizuia na uzinzi vijana wengi wangeoa, maana wangepata wapi Utulivu wa mwili!?.
Wanawake tuache kujirahisisha ndomna ndoa zimekuwa ngumu. Vijana wanakwambia.
"Kama maziwa napata ninunue ng'ombe wa nini"!??.
Kama hakuna uuzwaji wa maziwa koholela ng'ombe zitanunuliwa tu, bila hvyo watapata wapi maziwa!?.
Ina maana TZ hii wanawake wote ni makahaba!??Tatizo ni ukahaba wa wanawake.
Wanawake huu ukosefu wa ajira umewafanya mgeuze mahusiano ni biasharaNyieee
Wanaume viumbe rahisi sana
Alafu wanaume wanatoa sana hela
Mwanaume kutumia mil 2 kwa siku kwasabaabu amevutiwa na wewe ni kitu kidogo sana
Ushauri:
Wanawake wote na wadada, mlioolewa na ambao hamjaolewa
Jamani
1. Jipendeni, vaa kama mwanamke, jipende - be feminine
2. Usitoe mzigo mpaka mwanaume ame invest kwako kwanza?
Shida ya wadada wengi mnatoa sana utamu kabla mwanaume hajawekeza kwako
Mwanaume anaewekeza kwako kuachwa ni ngumu kwakweli, mwanaume yeyote siku zote anafuatilia pale ambapo amewekeza pesa yake ndio asili yao
Sasa mwanaume hajawekezq kwako ushatoa utamu, unajiharibia, usitoe utamu kwanza mpaka mwanaime ame invest sana kwako
3. Usiwe kuwa kwenye mahusiano na mwanaume AmBAe hawezi kukuhudumia
Okoa muda na nguvu na afya yako,
Mwanaume hakuhudumii ushatoa utamu, ina maana umempa bure na anaenda kukutangaza
Wanawake walio wengi TZ ni omba omba maana yake huo ni ukahaba katika neno la kuhudumiwaIna maana TZ hii wanawake wote ni makahaba!??
Almost wote waliopo kwenye dating pool ni makahaba wametofautiana strategies na terms tu.Ina maana TZ hii wanawake wote ni makahaba!??
Wanaume inabidintuwe nankikao...hawa wanawake naoa sasa wanaanza kuchezea mbupuz zetuNyieee
Wanaume viumbe rahisi sana
Alafu wanaume wanatoa sana hela
Mwanaume kutumia mil 2 kwa siku kwasabaabu amevutiwa na wewe ni kitu kidogo sana
Ushauri:
Wanawake wote na wadada, mlioolewa na ambao hamjaolewa
Jamani
1. Jipendeni, vaa kama mwanamke, jipende - be feminine
2. Usitoe mzigo mpaka mwanaume ame invest kwako kwanza?
Shida ya wadada wengi mnatoa sana utamu kabla mwanaume hajawekeza kwako
Mwanaume anaewekeza kwako kuachwa ni ngumu kwakweli, mwanaume yeyote siku zote anafuatilia pale ambapo amewekeza pesa yake ndio asili yao
Sasa mwanaume hajawekezq kwako ushatoa utamu, unajiharibia, usitoe utamu kwanza mpaka mwanaime ame invest sana kwako
3. Usiwe kuwa kwenye mahusiano na mwanaume AmBAe hawezi kukuhudumia
Okoa muda na nguvu na afya yako,
Mwanaume hakuhudumii ushatoa utamu, ina maana umempa bure na anaenda kukutangaza
Oohh waliopo kwenye dating , Lakini kwanini hamuoi ikiwa wanawake wazuri ambao sio makahaba wapo!??Almost wote waliopo kwenye dating pool ni makahaba wametofautiana strategies na terms tu.
Wengine wataita kuhudumiwa, wengine matunzo lakini kwa ujumla mwanamke anafanya mapenzi kuwa transacfional exchange wakati yeye hana output yoyote in return iyo ni biashara ya ukahaba.
Hapo shida wanawake wameamua kujigawa Bure ndomna wanaitwa Kila majina, wangeamua kukomaa hakuna kuzini mpka ndoa heshima ingekuwepo.Wanawake walio wengi TZ ni omba omba maana yake huo ni ukahaba katika neno la kuhudumiwa
Unaongea as if wanawake huwa hampati genye aisee.Hapo shida wanawake wameamua kujigawa Bure ndomna wanaitwa Kila majina, wangeamua kukomaa hakuna kuzini mpka ndoa heshima ingekuwepo.
Wanawake huwa mnafikiri sex ni favor mnamfanyia mwanaume. Fikra hizi ndizo huzalisha maana ya ukahabaHapo shida wanawake wameamua kujigawa Bure ndomna wanaitwa Kila majina, wangeamua kukomaa hakuna kuzini mpka ndoa heshima ingekuwepo.
Kabla sijajibu swali, kwanza una amini katika dini au katika fikra binafsi!??Wanawake huwa mnafikiri sex ni favor mnamfanyia mwanaume. Fikra hizi ndizo huzalisha maana ya ukahaba
Daah! Mkuu umeongea vema sana. Yaan mm pia napambna sana ili binti yangu asije kuwa kituo cha wanaume kupandia daladala kwa sababu ya umaskini wake. Heshima yako mkuu.Ndio maana ninatafuta pesa mno kwa sababu ya binti yangu tu🤔 asije kuwa ngoma ya kijiji kwa so called mapedeshee.
Fikra binafsiKabla sijajibu swali, kwanza una amini katika dini au katika fikra binafsi!??
Ooh!! Basi safari yetu ya kimtazamo imetofautiana.Fikra binafsi
Ambao sio makahaba wapo na wanaolewa kila sikuOohh waliopo kwenye dating , Lakini kwanini hamuoi ikiwa wanawake wazuri ambao sio makahaba wapo!??
Kwani mtazamo wa dini uko vipi?Ooh!! Basi safari yetu ya kimtazamo imetofautiana.
Mapenzi ni ushetaniNyieee
Wanaume viumbe rahisi sana
Alafu wanaume wanatoa sana hela
Mwanaume kutumia mil 2 kwa siku kwasabaabu amevutiwa na wewe ni kitu kidogo sana
Ushauri:
Wanawake wote na wadada, mlioolewa na ambao hamjaolewa
Jamani
1. Jipendeni, vaa kama mwanamke, jipende - be feminine
2. Usitoe mzigo mpaka mwanaume ame invest kwako kwanza?
Shida ya wadada wengi mnatoa sana utamu kabla mwanaume hajawekeza kwako
Mwanaume anaewekeza kwako kuachwa ni ngumu kwakweli, mwanaume yeyote siku zote anafuatilia pale ambapo amewekeza pesa yake ndio asili yao
Sasa mwanaume hajawekezq kwako ushatoa utamu, unajiharibia, usitoe utamu kwanza mpaka mwanaime ame invest sana kwako
3. Usiwe kuwa kwenye mahusiano na mwanaume AmBAe hawezi kukuhudumia
Okoa muda na nguvu na afya yako,
Mwanaume hakuhudumii ushatoa utamu, ina maana umempa bure na anaenda kukutangaza
Ila Upendo ni UmunguMapenzi ni ushetani