Wanaume wanatoa hela sana, hata kabla hajalala na wewe, ni vile unajiweka kwake ndio maana hupewi

Wanaume wanatoa hela sana, hata kabla hajalala na wewe, ni vile unajiweka kwake ndio maana hupewi

Sio kuuza
Sema huna hela
Hutoi hela hupewi utamu
Wanaombwa hela hovyo wanaodate na wanawake masikini au wanaotegemea hela za wanaume kuishi. Nadate na mwanamke kwao mambo safi ana kazi yake fresh. Muda wote tunaongea mipango kuhusu future yetu. Katika kipindi chote cha mahusiano ameshawahi kuniomba pesa mara moja tu na kila nikitaka utamu nawepa na mara nyingine naletewa kwa suprise...
 
Nyieee

Wanaume viumbe rahisi sana

Alafu wanaume wanatoa sana hela

Mwanaume kutumia mil 2 kwa siku kwasabaabu amevutiwa na wewe ni kitu kidogo sana

Ushauri:

Wanawake wote na wadada, mlioolewa na ambao hamjaolewa

Jamani
1. Jipendeni, vaa kama mwanamke, jipende - be feminine

2. Usitoe mzigo mpaka mwanaume ame invest kwako kwanza?
Shida ya wadada wengi mnatoa sana utamu kabla mwanaume hajawekeza kwako

Mwanaume anaewekeza kwako kuachwa ni ngumu kwakweli, mwanaume yeyote siku zote anafuatilia pale ambapo amewekeza pesa yake ndio asili yao

Sasa mwanaume hajawekezq kwako ushatoa utamu, unajiharibia, usitoe utamu kwanza mpaka mwanaime ame invest sana kwako

3. Usiwe kuwa kwenye mahusiano na mwanaume AmBAe hawezi kukuhudumia

Okoa muda na nguvu na afya yako,

Mwanaume hakuhudumii ushatoa utamu, ina maana umempa bure na anaenda kukutangaza
Hivi UTI Sugu huwa mnabeba kwenye mikoba na begi zenu, na huwa ni special kwajili ya wawekezaji tu au?🐒
 
Nyieee

Wanaume viumbe rahisi sana

Alafu wanaume wanatoa sana hela

Mwanaume kutumia mil 2 kwa siku kwasabaabu amevutiwa na wewe ni kitu kidogo sana

Ushauri:

Wanawake wote na wadada, mlioolewa na ambao hamjaolewa

Jamani
1. Jipendeni, vaa kama mwanamke, jipende - be feminine

2. Usitoe mzigo mpaka mwanaume ame invest kwako kwanza?
Shida ya wadada wengi mnatoa sana utamu kabla mwanaume hajawekeza kwako

Mwanaume anaewekeza kwako kuachwa ni ngumu kwakweli, mwanaume yeyote siku zote anafuatilia pale ambapo amewekeza pesa yake ndio asili yao

Sasa mwanaume hajawekezq kwako ushatoa utamu, unajiharibia, usitoe utamu kwanza mpaka mwanaime ame invest sana kwako

3. Usiwe kuwa kwenye mahusiano na mwanaume AmBAe hawezi kukuhudumia

Okoa muda na nguvu na afya yako,

Mwanaume hakuhudumii ushatoa utamu, ina maana umempa bure na anaenda kukutangaza
Kamdangie baba ako, akupe hela *****. Skuiz hamna vya Bure hata utoe mku...n hamna vya Bure pambana na Hali yako
 
Hivi vijana kwanini mnataka vya Bure, Hamuoi!?.
Mnakwepa gharama za kutunza mke kwahy lazima mpinge mada vikali.

Wanawake wangejielewa wakajizuia na uzinzi vijana wengi wangeoa, maana wangepata wapi Utulivu wa mwili!?.

Wanawake tuache kujirahisisha ndomna ndoa zimekuwa ngumu. Vijana wanakwambia.

"Kama maziwa napata ninunue ng'ombe wa nini"!??.

Kama hakuna uuzwaji wa maziwa koholela ng'ombe zitanunuliwa tu, bila hvyo watapata wapi maziwa!?.
 
Hapana ila najua inahusu mambo ya kujiweka kike kike, ndo nimeshangaa anatafsiri feminism tofauti
Feminism ni harakati, falsafa, au imani inayopigania usawa wa kijinsia kati ya wanawake na wanaume katika nyanja zote za maisha kijamii, kiuchumi, kisiasa, na kitamaduni. Inalenga kuondoa ukandamizaji, ubaguzi, na dhuluma zinazowakumba wanawake kwa misingi ya jinsia zao.
 
Feminism ni harakati, falsafa, au imani inayopigania usawa wa kijinsia kati ya wanawake na wanaume katika nyanja zote za maisha kijamii, kiuchumi, kisiasa, na kitamaduni. Inalenga kuondoa ukandamizaji, ubaguzi, na dhuluma zinazowakumba wanawake kwa misingi ya jinsia zao.
Eehh kumbe , basi nilikuwa Bado nipo gizani
 
Nyieee

Wanaume viumbe rahisi sana

Alafu wanaume wanatoa sana hela

Mwanaume kutumia mil 2 kwa siku kwasabaabu amevutiwa na wewe ni kitu kidogo sana

Ushauri:

Wanawake wote na wadada, mlioolewa na ambao hamjaolewa

Jamani
1. Jipendeni, vaa kama mwanamke, jipende - be feminine

2. Usitoe mzigo mpaka mwanaume ame invest kwako kwanza?
Shida ya wadada wengi mnatoa sana utamu kabla mwanaume hajawekeza kwako

Mwanaume anaewekeza kwako kuachwa ni ngumu kwakweli, mwanaume yeyote siku zote anafuatilia pale ambapo amewekeza pesa yake ndio asili yao

Sasa mwanaume hajawekezq kwako ushatoa utamu, unajiharibia, usitoe utamu kwanza mpaka mwanaime ame invest sana kwako

3. Usiwe kuwa kwenye mahusiano na mwanaume AmBAe hawezi kukuhudumia

Okoa muda na nguvu na afya yako,

Mwanaume hakuhudumii ushatoa utamu, ina maana umempa bure na anaenda kukutangaza
Mipango yenu kuipindua dunia. Haijatosha Adamu kuangushwa na Hawa, bado mna mipango kebe kebe
 
Back
Top Bottom