Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Ni kwa7bu km siyo mama yako alifanya kwa baba yako,basi washirika wake wamewafanyia waume zao. Mbinu za kivita ana zifahamu.Na wamama skuiz wanakuambia uyo mke unae muoa hakikisha asijue kila kitu juu yako... Sasa jiulize ninkwanini ndo ujue wanajuana kwa kizazi hiki cha wanawake nn kipo mbel
Aya bhanaNi chombo cha starehe,hata mama yangu kwa baba ni chombo cha starehe.
Uhuru na haki sawa hizi vimewaharibu.
Ebu fikiria,utasikia mama anatamba kitaa kuwa amelea na kukuza binti yake na lazima kitaani wamkome,na hapa haongelei elimu na ubunifu bali anaongelea tako kubwa alilo nalo na nywele ndefu alizo nazo. Hili ni AJABU lingine walilo nalo wanawake wengi.
Wanakwangua kama vocha acha kabisaMapenzi ayapo kwa saiz tunaish kwa timing na ndio maana kama huna pesa mahusiano utayaskia kwenye bomba saiz ukimtongoza mwanamke kabla ajakupa mbususu ana hakikisha ameshakukamua vya kutosha
Sina hakika, em nipekue tenasikukuona but uliona ujumbe wangu?
Jamii yeyote ambayo kaya zake zinaongozwa na wanawake Maadili huwa ni sifuriNi chombo cha starehe,hata mama yangu kwa baba ni chombo cha starehe.
Uhuru na haki sawa hizi vimewaharibu.
Ebu fikiria,utasikia mama anatamba kitaa kuwa amelea na kukuza binti yake na lazima kitaani wamkome,na hapa haongelei elimu na ubunifu bali anaongelea tako kubwa alilo nalo na nywele ndefu alizo nazo. Hili ni AJABU lingine walilo nalo wanawake wengi.
Mkuu shikamoo“I’m not saying girls are perfect cause we all know that’s not true. But why be unfaithful to her if she was true to you? - 2pac
Ni somo kuntu, we angalia mke wa Bill Gates alichofanya, sasa anatesa na vijana anaowataka kwa pesa za mumewe. Kilichoniuma zaidi ni yule mchezaji nafikiri Emanuel Ebou. Hata mke wa Reginald Mengi waliachana kabla ya kifo chao kisa ni utajiri wa Mengi. Wanawake sazingine ni mashetani. Nampongeza Diamond amekaa kitahadhari sana, ukiwa tajiri mkubwa mwanamke anachowaza ni mali yako hakuna mapenzi. Angetamani azipokonye azitumie kwa uhuru anavyotaka. Mi nimewaogopa sana.Ili swala la Hakimi lime-trend duniani kote ukiingia nairaland, JamiiForums.com, etc wanaume wanampongeza Hakimi, najiuliza ina maana wanaume wote hao wameshawahi pigwa na vitu vizito kwenye mahusiano yao na wanawake??
Ina maana kati ya wanaume wanaompongeza Hakimi, kuna walioliwa nauli,, kuna waliohudumia wanawake wakaishia kuachwa kwa dharau, kuna waliosomesha wachumba wakapigwa. Etc
Imefika mahali mwanaume akiwa na hela hamwamini mwanamke yoyote, kila saa anajishtukia kwamba huyu mdada amefuata pesa kwangu na sio upendo, hata sie wanaume makapuku tunaogopa kutongoza.. maana twajua kinachofuata ni makombora..
Hali ikiendelea hivi, Najiuliza mfano Mungu akiiacha dunia hivi hivi miaka 500 ijayo, taasisi ya ndoa itakuaje? Watu watafunga ndoa kweli??Wanaume tunaogopa wanawake, wanawake wanavizia wanaume.
Diamond✔️Ni somo kuntu, we angalia mke wa Bill Gates alichofanya, sasa anatesa na vijana anaowataka kwa pesa za mumewe. Kilichoniuma zaidi ni yule mchezaji nafikiri Emanuel Ebou. Hata mke wa Reginald Mengi waliachana kabla ya kifo chao kisa ni utajiri wa Mengi. Wanawake sazingize ni mashetani. Nampongeza Diamond amekaa kitahadhari sana, ukiwa tajiri mkubwa mwanamke anachowaza ni mali yako hakuna mapenzi. Angetamani azipokonye azitumie kwa uhuru anavyotaka. Mi nimewaogopa sana.
Haha! Mkuu hapo kwenye uaminifu zama hizi ni jambo adimu sana.. Ndio mana watu waaamua kufanya maamuzi magumu.. 99℅ ya wanawake wapo after money!Mkuu shikamoo
😅 pekua ukiukosa nipm nitakupa uo ujumbe upyaSina hakika, em nipekue tena
AhahahaaaHaha! Mkuu hapo kwenye uaminifu zama hizi ni jambo adimu sana.. Ndio mana watu waaamua kufanya maamuzi magumu.. 99℅ ya wanawake wapo after money!
Ni hivyo tu,hakuna kingine wanacho kitafuta.Ni somo kuntu, we angalia mke wa Bill Gates alichofanya, sasa anatesa na vijana anaowataka kwa pesa za mumewe. Kilichoniuma zaidi ni yule mchezaji nafikiri Emanuel Ebou. Hata mke wa Reginald Mengi waliachana kabla ya kifo chao kisa ni utajiri wa Mengi. Wanawake sazingize ni mashetani. Nampongeza Diamond amekaa kitahadhari sana, ukiwa tajiri mkubwa mwanamke anachowaza ni mali yako hakuna mapenzi. Angetamani azipokonye azitumie kwa uhuru anavyotaka. Mi nimewaogopa sana.
Kuna dada nimefahamiana naye miezi 3 nyuma aisee huyo kwangu ndio kavunja record ya kupiga mizinga. Kwakweli niseme tu nime surrender [emoji119][emoji119][emoji119].Mapenzi ayapo kwa saiz tunaish kwa timing na ndio maana kama huna pesa mahusiano utayaskia kwenye bomba saiz ukimtongoza mwanamke kabla ajakupa mbususu ana hakikisha ameshakukamua vya kutosha
Apana mkuu mama angu ameish maisha ya kuvumilia sana asee had marehem mzee wangu alikuwa anasema mkitaka kuoa oeni mwanamke mwenye sifa za mama yenu maan amenvumilia san nilikuwa jeur nikitoka ad sku tatu ndo narud na maneno kibao yabaki( )Ni kwa7bu km siyo mama yako alifanya kwa baba yako,basi washirika wake wamewafanyia waume zao. Mbinu za kivita ana zifahamu.
Mwandike dada yako ata akiachwa na mumewe ww ukifa vita msaidiaSafi sana.Sisi tusio na mama zetu sijui tuandike akina nani??
Diamond alishawambia hata nyumba ya Madale ni ya mama, na jamaa hafanyi jambo lolote pasi na mama yake kutia sign! Cristiano Ronaldo na yeye anamuhusudu mama yake kupita maelezo! Ameshatambua kwamba tofaut na mama wengine ni wachumia tumbo tu!!Ni somo kuntu, we angalia mke wa Bill Gates alichofanya, sasa anatesa na vijana anaowataka kwa pesa za mumewe. Kilichoniuma zaidi ni yule mchezaji nafikiri Emanuel Ebou. Hata mke wa Reginald Mengi waliachana kabla ya kifo chao kisa ni utajiri wa Mengi. Wanawake sazingize ni mashetani. Nampongeza Diamond amekaa kitahadhari sana, ukiwa tajiri mkubwa mwanamke anachowaza ni mali yako hakuna mapenzi. Angetamani azipokonye azitumie kwa uhuru anavyotaka. Mi nimewaogopa sana.
Unaweza kutupa mfano wa mmachame aliye ua mmewe?Sijao mmachame ila nataka kuoa mtu wa old moshi
Naona umejiita jina la MwambaDiamond alishawambia hata nyumba ya Madale ni ya mama, na jamaa hafanyi jambo lolote pasi na mama yake kutia sign! Cristiano Ronaldo na yeye anamuhusudu mama yake kupita maelezo! Ameshatambua kwamba tofaut na mama wengine ni wachumia tumbo tu!!
Mbona mmenikalia kooni wamachame 😂Unaweza kutupa mfano wa mmachame aliye ua mmewe?
Sitaka useme ulisikia