Jeong do jeon
Senior Member
- Dec 26, 2018
- 122
- 150
Na kama watoto si wako je?, Bora jina la bi mkubwa.Ni maisha ya kutokuaminiana....na ubinafsi
Wengi wameoa Ila hawawaamini walio waoa.
Kwann Mali ziandikwe jina la Mama?? Akifa hizo Mali zikigawanywa Kwa wanafamilia wengine utalalamika??
Bora hata muandike majina ya watoto wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani ndugu zako ni Bora kuliko mke??Bora ugawane na Ndugu zako nao wale jasho lako sio wanawake ambae hata hujazaa ane aende akazile na Mwanaume mwingine huko
Nawagawia watoto yatima wanaoishi katika vituo vya kulelea watoto yatimaKama Mama mzazi Alisha tangulia mbele ya Haki inakuwaje?? Utamwamini Nani??
Sent using Jamii Forums mobile app
Achraf ni mbinafsi.. Ex wife mlafiindeed just like ashraf done done it
Mke amenikuta na ndugu zangu,wife second home family firstYani ndugu zako ni Bora kuliko mke??
Kwangu Mimi mke ni first before all others.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo, habari?
Mama nae ni binadamu kama wengine lolote linaweza tokea. Bora hata uwaandike watoto wako.Wanawake ndio chanzo mpaka kufikia huko.
Note: Mwanamke sio wa kumuamini kabisa zaidi ya mama yako mzazi
Ronaldo mjanaja sana,hataki funga ndoa na Georgina kuepuka usenge kama huuAchraf ni mbinafsi.. Ex wife mlafi
Sahivi watu wataanza kuchunwa kabla penzi halijaanza kudrop from the peak.
Ke atahisi mwanaume anawez kuwa kama Achraf, na Me atahisi mke anaweza kuwa kama Hiba. Patamu hapo 😁😁
Aliyakanyaga, alitia huruma sana yani kazi yake imekua bureeboue alikua kwenye brink ya kujiua masikini
Hapana mkuuu. Mtu WA namna hiyo kwanini umuoe??? Kwann uishi nae???Mala 1000 mali ipotelee kwa ndugu wa damu.. kuliko mtu mnekutana nae ukubwani.. anatapanya mali na wahuni wengine.. Wanawake wamekuwa wauaji sana kama kwa waune kwenye eneo la mali nina jamaa yangu alipigwa na kitu kizito.. hadi alikufa kwa msongo wa mawazo na kwa mateso makali.. mambo haya haya ya mali.. mwanamke alibeba karibia kila kitu, na watoto jamaa akapigwa biti kisheria kuwaona.. ohooo mkuu hujakutana na visaaa vya kutosha.. Hakim ni Mungu tu alimtonya kwa hisia
Si ni mama yake😄mommy’s boy 😁
Ili watoto uwatawale!!?Mama nae ni binadamu kama wengine lolote linaweza tokea. Bora hata uwaandike watoto wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan nini usimuandike mwanao/wanao? Ushawah jiuliza hata siku mfano unapotea watoto wako wataishi vipi? Una uhakika ukiwa haupo hao unaowaita ndugu wataweza kuwajali wanao? Ukipata majibu utajua kama ulilofanya ni sahihi ama kinyume.Mimi binafsi mali zangu au vitu vyangu nikitaka kununua mama lazima ajue na nimemwandika yeye kwenye vitu vyangu vingi sana nimejifunza kwa mjomba wangu
Mwanamke anaweza kukua ili abaki na mali hasa wamachame
Watoto walio zaliwa nikiwa ndani hao watoto ni wakwangu. Hahahah hata Kama mbegu sio zanguNa kama watoto si wako je?, Bora jina la bi mkubwa.
Hii wkend umepigia simu ndugu zako wangapi??Mke amenikuta na ndugu zangu,wife second home family first
Tena ikiwezekana mpelekee naye motoHapo pia ndio pakujua umuhimu wa mama mkwe kuwa shoga ako 😂
Roho mbaya saaana hii[emoji23][emoji23][emoji23]Nawagawia watoto yatima wanaoishi katika vituo vya kulelea watoto yatima