Wanaume wengi, kushangilia swala la Hakimi ni hatari kwa future ya ndoa na mahusiano

Hapana mkuuu. Mtu WA namna hiyo kwanini umuoe??? Kwann uishi nae???

Duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi binafsi mali zangu au vitu vyangu nikitaka kununua mama lazima ajue na nimemwandika yeye kwenye vitu vyangu vingi sana nimejifunza kwa mjomba wangu

Mwanamke anaweza kukua ili abaki na mali hasa wamachame
Kwan nini usimuandike mwanao/wanao? Ushawah jiuliza hata siku mfano unapotea watoto wako wataishi vipi? Una uhakika ukiwa haupo hao unaowaita ndugu wataweza kuwajali wanao? Ukipata majibu utajua kama ulilofanya ni sahihi ama kinyume.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…