Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani ukiwa na njaa au kitu si unakula mda unaosikia njaa au utasubiri kesho ?Kesho? Siyo wanaomba leoleo?
Huo utakuwa ni utapeli wa ngonohivi kwanini hampendi kukubali kuna option ya kumega kisela?
Nyingi sana tena sanaMimi naamini mbunye za bure zipo,
Usije kutoboa Siri kamanda hii ngoma ya wachacheZipo nyingi sema wengi hawajui namna ya kuzifikia
Mwanamke ambaye tayari ni wakoMwanaume ameumbiwa kumtunza mwanamke msikimbie majukum yenu[emoji2960]
Sure, huogopi kuangua ukaumia 😄nataka niteleze
Hiyo ni sahihi ila ni upuuzi sana kudate na mdada asie na viwango kimuonekano ila ana act like ni mtu mwenye viwango vikubwa huo ni upuuzi sanaOption ipo ila haina viwango. Wewe umeona wapi kitu chenye viwango kinatolewa kiholela?
Kuanguka kupo unanyanyuka unaendelea na safari 😅Sure, huogopi kuangua ukaumia 😄
Nani kakudanyanyaHazina viwango[emoji3344]
Nimecheka kifala 😂😂😂😂😂Mimi naamini mbunye za bure zipo,
Kwahiyo Malaya ndio mgonge bure hebu kuweni na huruma basi🙄Mwanamke anbaye tayari ni wako
Nyie mijamaa ni miongo mmeamua kufarijiana 😂😂😂😂Zipo nyingi sema wengi hawajui namna ya kuzifikia
Dogo we ni mzembe sana.point hii hapa,
zimenijia nyingi ni vile mimi domozege
naishia kujuta tu
Na nyie mnatongoza leo kesho mnaomba mechi kwanini msiombwe pesa[emoji28]
True Mfano ,German,Uswiss,Ukisema Dunia nzima unatukosea wa nje, hizo njaa ni za nchi masikini na watu masikini
Kama unanzungumzia USA basi labda ni baadhi ya Latino au weusi na hata matapeli
Lakini kuna nchi zingine mwanamke hawezi kukuletea shida zake baada ya kumtongoza ni aibu kubwa sana bora amuulize mama au baba yake.
Huku nilipo una rafiki au mpenzi atalipa chake na wengi wao wanafanya kazi za kukidhi mahitaji yao yote
Hiyo kauli ya duniani kote sio kweli
Hongera👏 yako wenzio siku mbili tu mechi.Mi siombagi mechi mapema
Kuna wenye ajira bado ni waombelezi. Kuomba omba ni hulka.Doò kama biashara vile
Hivi wanawake hawana ajira za kuweza kujilipia mahitaji yao au mliambiwa msifanye kazi kwa kuwa wapo watakao wagharamia?
Lakini umasikini ni laana ujue