Wanaume wengi siku hizi tumejanjaruka, nikikutongoza leo, kesho ukaniomba hela, ni mbio, hakuna kutuma hela wala kubembeleza

Wanaume wengi siku hizi tumejanjaruka, nikikutongoza leo, kesho ukaniomba hela, ni mbio, hakuna kutuma hela wala kubembeleza

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hello

Hii staili ya wanawake sijui niite ni udangaji, kukomoa mtu, au kumjaribu mtu, pale ambapo mdada umetongozwa tu leo, kesho unaomba hela, nlishangaa kugundua hadi watoto wa kiume wa form 4 wanaijua hio staili, unaombwa hela, ukiitoa mtu kwenye miadi hatokei, sababu kibao, bora ukimbie, na urafiki uishe.

Hili tatizo la wadada kuomba omba hela lipo dunia nzima, nimechunguza kuwa sio Tanzania tu, kwenye online forum za Nigeria, Kenya, marekani etc koote wanaume wanalalamika mitandaoni

Sijajua future ya mahusiano inaelekea wapi.
View attachment 2920955
toa hela kijana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kesho? Siyo wanaomba leoleo?
cndoapo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚toeniii hela izoooo
 
Hivi zingekuwepo za bure mngekuwa mnalalamika humu kila siku mnaombwa pesa?? Hata house girl ukimuomba lazima akwambie umsaidie kazi zake itakuwa mdada anayejihudumia akubariki bure bure [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zipo nchi wadada hawaombi pesa , akikupenda yupo tayari kukuhudumia , hasa hizi nchi zenye Sera kali za 50 kwa 50, mahusiano yamekuwa magumu sana kwa wenyeji ,wewe ukitoka tanzania unaonekana ni kuku wa kienyeji na una maadili , wadada wanakugombea hatari.
 
Zipo nchi wadada hawaombi pesa , akikupenda yupo tayari kukuhudumia , hasa hizi nchi zenye Sera kali za 50 kwa 50, mahusiano yamekuwa magumu sana kwa wenyeji ,wewe ukitoka tanzania unaonekana ni kuku wa kienyeji na una maadili , wadada wanakugombea hatari.
Sisi tunaongelea hapa uko nje achana nako bana, tuongelee hapa umatumbini
 
Option ipo ila haina viwango. Wewe umeona wapi kitu chenye viwango kinatolewa kiholela?
Watu wanaendesha gari za gharama kwa self testing mbonaπŸ˜‚ ni huku Afrika tu ambako mtu unashurutishwa ulipie hadi visivyotakiwa sababu ya njaa
 
Hapa hapa danta mbunye zinapanguswa kwa fereree tu af safi. Unalipiaje penzi kama sio ukichaa.[emoji23]
Ila mkuu Tz tunazitetemekea sana mbususu ,ndio maana zinapanda bei na kuuzwa , nina ushahidi kuna nchi kuna pisi za moto ila zimekosa mtu wakuzichakata unakutana nazo zinafanya shopping [emoji877] ya kununua dildo mpaka unashangaa.
 
Back
Top Bottom