Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Kama umepata ustaadhi we olewa tu simple kama utakavyo achwa simple tu.........Tofautisha kuona wanne na kuchupuka na Kijiji kizima...
Sasa SI Bora tuolewe tu ujue mpo wangapi..hicho Kijiji kizima inakua vip
Maswala kama haya unatakiwa uwe na ushahidi mgumu....ndo uaminikeKivip? Kwani Mimi nipo sayari ya mas kwamba yanayoendelea Duniani siayon
Zanzibar watu wanaliwa kwenye magari lodge huruhusiwi kuingia na mtu asie mke wako. Labda umpeleke kwenye hotel na ujipange maana bei zake zimechangamka.Mkuu ww inaonyesha bado sana kwenye medani ya uelewa wa mambo.
Bado uko kizani hakuna unachokijua ww.
Hao majamaa huwa inaspend nao masaa mangapi kwa siku??
Sasa,fanya ile siku ya mwisho ya mwezi mfungo yaani eid nenda zenji kisha piga kambi hapo nje ya lodge ushuhudie maajabu ndo utakuwa umekamilisha research yako au kama haitishi muulize masai hapo getini hizo gari nyingi hapo Lodge kuna msiba ama sherehe japo pako kimyaaa ndo utajua.
Watu nyomi full kugegedana mke/wake wanaachwa wanazurure forodhani.
Kisha nenda nje ya mji kwenye migomba huko kisha ulete mrejesho hapa chap😂
Tofautisha kuona wanne na kuchupuka na Kijiji kizima...
Sasa SI Bora tuolewe tu ujue mpo wangapi..hicho Kijiji kizima inakua vip
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahhahahaha umekutana na waislam wa mbinguni ama?
Tofautisha kuona wanne na kuchupuka na Kijiji kizima...
Sasa SI Bora tuolewe tu ujue mpo wangapi..hicho Kijiji kizima inakua vip
Unatoa wapi guts za kusema wanaume wa Kikristo siyo waaminifu kwa wake zao?Kivip? Kwani Mimi nipo sayari ya mas kwamba yanayoendelea Duniani siayon
Atakuwa amesimuliwa na Zumaridi 😀Hahahhahahaha umekutana na waislam wa mbinguni ama?
Atakuwa amesimuliwa na Zumaridi [emoji3]
Tatizo kubwa la watu wajinga wajinga Kama wewe huwa mnaona kila mtu asiyekuwa Muislam, basi ni Mkristo.Wanaume wengi waislam wanaogopa na kuipinga waziwazi zinaa kuliko wakristo, wanaona bora aoe kuliko awe na michepuko kapu zima.
Nina marafiki zangu kadhaa nimepata kuwafaham kwa kiasi hivi karibuni, kwa kweli ni waaminifu kwa wake zao. Ni ngumu sana au ni mara chache kumkuta kijana wa kikirsto akiponda waziwazi zinaa haifai, ila ni kawaida kujigamba kuwa na mademu lukuki. Hata kwenye nyuzi huku yaani idadi ipo wazi kabisa.
Wanaume wa kiislam kwanza wanaheshimu sana wake zao na pia kuwatunza vizuri. Nafikiri pia dini huwa inasaidia, japo kuna asilimia kadhaa ya walioshika dini lakini washenzi. Mimi nazungumzia majority.
Siyo omari ni Ommy 🤣Hata kina Rama na Omari nao wamo kwenye list yako??
Kina Ommy, side(saidi), mudy, kina sele hawahawa au labda waislam wengine aiseeSiyo omari ni Ommy 🤣
Hamna MTU anayeweza kuoa wanne alafu bado anatangatangaKwani nani kakwambia wakishaoa hao wanne ndio wanatulia? Dada utajapigwa na kitu kizito wewe[emoji23][emoji23][emoji23]