Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Ni kweliHao hao wa 4 kwa mmoja na hapo usisahau Kuna talaka yaan anapiga 4 anawaacha wote kisha anachukua 4 wengine afu anawaacha wote anachukua 4 wengine, mizunguko upo hivyo yaan utaelewa huelewi
UshapitiwaWako real sana shida iko ukimkosea hawajui kusamehe
Ishu ni udalifu kwa namna yeyote ile.Hapa watu wanabisha tu...SI Bora mwanaume aliyeoa wake watatu na anahudumia watoto/mke kuliko Hawa wanaozaa hovyo na kutelekeza watoto ambao hata yule baba akifa watoto hawajulikanj wala nini..
Mi naona Bora sana ndoa za waisilamu na wake zao pia wanatunzwa sana
Cc: Dkt Juma Mwaka, Haji S. Manara, Homonize Single Again, etc wengine ongezeaHapa watu wanabisha tu...SI Bora mwanaume aliyeoa wake watatu na anahudumia watoto/mke kuliko Hawa wanaozaa hovyo na kutelekeza watoto ambao hata yule baba akifa watoto hawajulikanj wala nini..
Mi naona Bora sana ndoa za waisilamu na wake zao pia wanatunzwa sana
Naona umeshajipa jina watakalo kuita ILAMie mwanaume siangalii dini naangalia pesa tu na matunzo Huna matunzo pita hivi mtaongea huyu ni Malaya ila Kwangu imeisha hiyoo
Mkuu nilikuwa najishughulisha na masuala yahusuyo wageni so nakutana na watu wengi hizi mambo mbona zipo sana zenjiMh unaongea kama unagadithiwa vile
😀😀😀😀Hao hao wa 4 kwa mmoja na hapo usisahau Kuna talaka yaan anapiga 4 anawaacha wote kisha anachukua 4 wengine afu anawaacha wote anachukua 4 wengine, mizunguko upo hivyo yaan utaelewa huelewi
Usijali hata ukimsaidia mwanaume Kwa kila kitu hili jina hulikosi kulisikia kabisa so hata nikiwa na zangu pesa lazima nipate mwanaume atakayenipa matunzo sio lazima uolewe na vichwa vigumuuNaona umeshajipa jina watakalo kuita ILA
kwa nini usiwazie kutafuta hela za kwako ili uwe na uhuru, una wazia kupewa hela za kuhongwa ambazo zinakukosesha uhuru?
Huu ndio utumwa Sasa sio kuolewa ila jua hili nitampenda yule anayenijaliKutunzwa kwa wanawake ni haki inayowahusu wale walio olewa na kukaa nyumbani ambapo kazi yao ni kuzaa na kuangalia familia (hii ni kwa mujibu wa maandiko) na sio kwa wale wanaofanya kazi na kuachia familia/watoto walelewe na house geli, hawa watachangia kipato chao kwenye malezi ya familia (wala sio kusaidia) na suala la kutunzwa ni kama haliwahusu.....
Huwezi kufungua moyo sehemu ambapo hujaliwi hakunaga mie ukinijali ndio utaona nakujaliWazungu husema; Jitahidi kupenda mtu anayekupenda na sio kupenda mtu kwa sababu ya mali zake; kwasabu mali zitaisha ila yeye atabaki.....hapo ndio utajua hujui.....
Yeye Kaongelea Uaminifu/ Uadilifu, Hajaongelea Talaka wala kuongeza Mke.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Waislamu wa nchi hii hii ya Tanzania? Hawa talaka mkononi?
Hawa kesho yake tu unasikia kaongeza mke mwingine na kukuhudumia hakuhudumii?
Itakuwa umeota.
Waislam wapi Labda Hawa kina Dr Mwaka Au kina Haji manara au Ndo kina Mondi de platnmuz.Wanaume wengi waislam wanaogopa na kuipinga waziwazi zinaa kuliko wakristo, wanaona bora aoe kuliko awe na michepuko kapu zima.
Nina marafiki zangu kadhaa nimepata kuwafaham kwa kiasi hivi karibuni, kwa kweli ni waaminifu kwa wake zao. Ni ngumu sana au ni mara chache kumkuta kijana wa kikirsto akiponda waziwazi zinaa haifai, ila ni kawaida kujigamba kuwa na mademu lukuki. Hata kwenye nyuzi huku yaani idadi ipo wazi kabisa.
Wanaume wa kiislam kwanza wanaheshimu sana wake zao na pia kuwatunza vizuri. Nafikiri pia dini huwa inasaidia, japo kuna asilimia kadhaa ya walioshika dini lakini washenzi. Mimi nazungumzia majority.
Wanapindiaha ukweli ndo maana nimeamua kuwaacha.Yeye Kaongelea Uaminifu/ Uadilifu, Hajaongelea Talaka wala kuongeza Mke.
Na Kasema Kuwa wanaihofia Zinaa.
Kuhusu Kuongeza mke wa Pili, Dini yake inamruhusu. Kutokuhudumia Hiyo ni Mada nyingine haina mahusiano na alichozungumza Mwanzisha Uzi.
Hivi wamasai nao wana dini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Waislamu balaaNina business partner wangu majuzi tu mkewe mjamzito katoka kunipigia simu nimkanye rafiki yangu anazini na wanawake huko nje akimtangazia ni mjamzito so aache watamtia nuksi
Na ni mtu mzima zaidi yangu alishaniambia kuhusu huyo malaya wake mimi nimekaa kimya tu.watu research hawafanyi wanajiongelea tu.
Kaota ana kojoa kweli huyu[emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Waislamu wa nchi hii hii ya Tanzania? Hawa talaka mkononi?
Hawa kesho yake tu unasikia kaongeza mke mwingine na kukuhudumia hakuhudumii?
Itakuwa umeota.