Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
Kumbe kweli sisi pipo tutaonana 😆Wanaocharuana humu wengi wanajuana na waliwahi kushare vikojoleo na kila mmoja anahisi ana hati miliki ya kikojoleo cha my wao 🤣🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Washaonana na washachangia Bluetooth ndiomana ugomvi haushagi humu!!Kumbe kweli sisi pipo tutaonana 😆
tatizo ni pale mke na mume mnapokuwa mabest, mmoja hawezi kumuacha mwenzake apambane mwenyewe lazima atoe assist au anunue ugomvi.Za weekend?
Hivi mwanaume timamu kabisa mke wako kagombana huko na wanawake wenzake halafu wewe unaenda kuingilia ugomvi na kuanza kusutana na wanawake?
Kwanza mwanaume unatoa wapi ujasiri wa kurushiana maneno na mtoto wa kike? Mpenzi wako akiudhiwa huko na marafiki zake wewe msaada unaoweza kumpatia ni kwenda na wewe kusutana?
Hapo ndio unaonesha Manhood yako? Ndio mkitoka hapo akuambie "safi sana mpenzi wangu umewasuta mpaka wamekoma"? Ndio sifa mnazoziona za maana siku hizi?
Leo nimepita mahali nikakuta kuna ugomvi wa watu wanatoleana maneno(kusutana). Mnaweza mkafikiri ni wanawake eh? HAPANA! ni mwanaume tena mume wa mtu kaenda kumsaidia mke wake kusutana na Bi dada mmoja ambaye anauza duka hapo.
Karibia kila mtu aliyekuwa anashuhudia lile alisikitika sana na kuona aibu kwa ile misuto mwanaume tena mume wa mtu aliyokuwa anaitoa.
Wanaume wenye hizi tabia badilikeni mnakera na kuaibisha sana. Tafuteni hela mpenzi wako akigombana huko mnaenda police na sio unaenda kumsaidia kusutana.
Acheni kujitoa uwanaume wenu kwa vitu vya ajabu. Wanawake kwa wanawake kugombana ni kawaida ila kisicho kawaida ni mwanaume kuingilia ugomvi na kusutana.
Mwanaume unayesutana na mwanamke au hata kutupia maneno wanaume wenzako unajishusha sana. Unadhalilisha nguvu ya manhood iliyowekwa ndani yako. Mwanaume pesa maneno maneno tuachieni sisi wanawake.
Hali ya maisha ilivyokaza hivi mwanaume ukae kujadiliana mambo ya wengine, ni kujitafutia stroke tuWashaonana na washachangia Bluetooth ndiomana ugomvi haushagi humu!!
Na wale wanaume mabinti wenye vigroup vya usengenyaji ndo wabobezi wa hiz mbanga
😂😂😂 Kwahiyo mimi nikigombana hunisaidii? Tabia mbaya hiyoKweli aisee hiyo tabia inakera, wamezidi alafu wanazingua sana
Kantry umeona mwenzio anavyopambania kipozeo chake 🤣🤣🤣Siwezi vumilia kuona kipozeo changu anasutwa na mimi nipo tu, lazima nikusute na uzodoke sawasawa.!!!
Hivi na wife tumetoka kumsuta single mama mmoja hadi amenyooka, nimemwambia unanuka K hadi mwenyewe kalegea maana nishampitia miezi kadhaa nyuma, ila nayeye kasena nina kibamia.. nimemind lazima nimrudie kimyakimya
Countrywide bae umeona mwenzio anamsaidia wife wake kufikisha salamu 🤣🤣🤣🤣Single mama yule hana mume anadanga tu. Chanzo ni yeye kamsema vibaya wife kwa majirani baada ya wife kuzipata habari tukaenda kumpelekea salamu, tumemchamba hadi wapangaji wenzie wamemcheka
Wewe ndio unaona hilo! Wenzio hawajali sio shida zaoHali ya maisha ilivyokaza hivi mwanaume ukae kujadiliana mambo ya wengine, ni kujitafutia stroke tu
Mkuu hapo umejitia aibu wewe na umemuaibisha mke wako pia.Single mama yule hana mume anadanga tu. Chanzo ni yeye kamsema vibaya wife kwa majirani baada ya wife kuzipata habari tukaenda kumpelekea salamu, tumemchamba hadi wapangaji wenzie wamemcheka
Wapi hawajuani mkuu? wa mtaani mbona wanajuana kabisa. Ambao hawajuani labda wa mitandaoni.Sasa mnacharuana watu hamjuani kwa sura wala majina! Hakika ujana ni maji ya moto
Kama ni wanawake kwa wanawake hiyo nafuu acha wapiganie utamu. Shida ni pale mwanaume unapoingilia ugomvi wa namna hii inafikirisha.Wanaocharuana humu wengi wanajuana na waliwahi kushare vikojoleo na kila mmoja anahisi ana hati miliki ya kikojoleo cha my wao 🤣🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Pole mkuu, Ya watu wanaojifunika shuka moja sio ya kuingilia kabisaTulingiliaga ugomvi mmoja kilichotukuta ni aibu, nilimkuta dada mtoto wa mwenye nyumba kang'olewa meno ya mbele karibia yote na kupasuliwa kichwani. Familia ilichukua rb tukaungana na wapangaji kumsaka jamaa mji wote tukiamini kwamba hii haikubaliki lakini huwezi amini siku2 tu baada ya tukio jamaa karudi hm na demu wake maisha yanaendele na jamaa yuko ukweni.
Oya wakigombna wapenzi kaa mbali
Sasa hapo kwenye ugomvi wa wanawake ndio zinapotokea team zikiwa na wanaume ndani yake!!!Kama ni wanawake kwa wanawake hiyo nafuu acha wapiganie utamu. Shida ni pale mwanaume unapoingilia ugomvi wa namna hii inafikirisha.
Unajua wanaume wanaojitambua kwanza hawapendi wanawake zao wagombane gombane ovyo. Hata kama wakichokozwa mume msaada anaoweza kuutoa ni kumsapoti mke wake kisheria.tatizo ni pale mke na mume mnapokuwa mabest, mmoja hawezi kumuacha mwenzake apambane mwenyewe lazima atoe assist au anunue ugomvi.
Halafu na ban ndo hupewi aibu inabaki kwao,, utawakuta kakundi kamejigawa wa kuchochea na wale wa kujifanya kumpoza😂humu kuna imbwa hazina akiliUkiwapa spana wanakuitia mods wakupe ban 🤣🤣🤣🤣
Tena wanaenda kuwaita na mademu zao wanasaidiana kukureport, wapuuzi kweli!!
Hata mie wanawake kwa wanawake naona poa tu tena wakigombania utamu fresh tu wao ndo wanajua ladha ila dume kuingia kwenye huo mkumbo unajiuliza hivi hili linaujua utamu wa hilo 🍆 linalogombaniwaKama ni wanawake kwa wanawake hiyo nafuu acha wapiganie utamu. Shida ni pale mwanaume unapoingilia ugomvi wa namna hii inafikirisha.
Inafikirisha sana ujajiuliza na huyu anasutana anataka nini. Ndio maana mwanaume haupaswi kuungana na mpenzi wako au hata rafiki yako wa kike kusutana na wanawake wenzake.Sasa hapo kwenye ugomvi wa wanawake ndio zinapotokea team zikiwa na wanaume ndani yake!!!
Sasa swali la kujiuliza, wale wanawake wanagombania mkia wa my wao!! Je, ile midume mashost zao wanagombania nini?!!
Madume mengi yanapenda urafiki na wadada na ndo wachochezi wakubwa wa ugomvi humu!!
Inawaumaga hiyo 🤣🤣🤣Halafu na ban ndo hupewi aibu inabaki kwao,, utawakuta kakundi kamejigawa wa kuchochea na wale wa kujifanya kumpoza😂humu kuna imbwa hazina akili
Ndio maana hata wake wenza wengi hawapatani. Huo utamu kila mmoja anataka yeye aumiliki pekee yake.Hata mie wanawake kwa wanawake naona poa tu tena wakigombania utamu fresh tu wao ndo wanajua ladha ila dume kuingia kwenye huo mkumbo unajiuliza hivi hili linaujua utamu wa hilo 🍆 linalogombaniwa