Fundi kipara
Senior Member
- Oct 27, 2019
- 125
- 247
- Thread starter
-
- #61
Mkuu Naomba Usome Vizuri Hapa.....!! Kama ni Suala la Pesa Mbona Nalimudu Vizuri....!! Nahonga Ovyo Sana Na Hua Sijiulizi Mara Mbili Mie Kwa Pisi Yeyote ile Natoa Tu Tena Kwa WakatiTAFUTA KIBUNDA
TAFUTA PESA
TAFUTA HELA
TAFUTA MAVUMBA
TAFUTA UMATE UMATE
Kuwa na hela kijana halafu njoo tena uone kama kuna mtu atakukataa
😉Mahusiano ukiyawazia sana huyapati
Wewe ishi tu na usichoke kutafuta
Ohk OhkSawa nakupm namba yangu, siku ya Idi tu bila kuchelewa nakucheki ...
Sijui thread ifungwe tu
Karibu Sana Mkuu...!!Ningekusaidia kitu. Ila okay as far ni number.. uwe na jioni njema
Ila Kuna Raha Flani Hivi UkipendwaKwa Dunia ya sasa nakushauri ujipende wewe mwenyewe.
HOTOJUTA!
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Taqabar Mina Waminkum Kaka...!! Ni Miaka Sasa Naomba Dua HiziUkiona hivyo hao hawajatoka kwa ubavu wako,tulia subiri alietoka kwa ubavu wako
Ndani ya huu mfungo wako ,jitahidi kumshirikisha Allah!pia kwa hili.
Ramadhan qareem
You Can't Believe Bro...!! Tena Wengine Wananikataa kwa Kigezo Mie Eti Malaya Akati Sina ata Uyo Mmoja Trust Bro...!!Hakuna demu wakumkataa kijana mwenye gari plus kazi nzuri ebu tuweke wazi hali yako
Chunguza harufu ya kinywa chako..!Salam za wakati huu jamvini, naimani hamjambo na wazima wa afya kabisa na mnaendelea kulijenga taifa la mpate japo kitu kiende kinywani.
Bila kupoteza muda na kuifupisha makala hii, naweza kusema kuwa napitia wakati mgumu sana pale ambapo naona binadamu wenzangu wakidekezana wao kwa kao (male + female).
Mie nchi hii wanawake ndio wameamua kunikataa kabisa najaribu ku approach wanawake l ambao wanaonekana kabisa wako tayari kunidate lakini wapi, aisee huu ni mkosi!
Inafikia hadi natumia pesa kuwapata lakini tutadate siku mbili tu halafu haijulikani tumeachanaje.
Ahsanteni, naomba kuwasiliana uzi huu niendelee na Mfungo wa Ramadan.
I'm Halal Man So Sorry MchumbaHamia kwa wanaume wenzio (mashoga) huenda tatizo lako likawa solved.
Wanamaanisha unatembelea Kimboka au kwa wahaya.You Can't Believe Bro...!! Tena Wengine Wananikataa kwa Kigezo Mie Eti Malaya Akati Sina ata Uyo Mmoja Trust Bro...!!
Lyk Seriously...?Njoo kwangu usumbukao na kulemewa na mizigo.. utapumzishwa
Inakuwaje kwa sisi wenye hivi vyote kwa pamoja?GUBU ??
MDOMO MCHAFU ??
UBABE ??
KUTOKUJALI???
UCHOYO??
UBINAFSI??
Shukran wa InshaallahMungu atakupa wako , hao sio wako ,endelea na mfungo
Hahah Bro Niko Vizuri Sana TuChunguza harufu ya kinywa chako..!
Pole sana mkuu
Ndio hivo swaga ndo zimekosekana hapoNdio Penzi Liwe la Siku Mbili Tatu Kaka...!! Mtu Unaomba Meeting Tena Sehem Yenye Hadhi na Kila Kitu UnaFix Wewe Lakini Bidada Anatakubali Then Hatokei