Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio maana kuna wana wanakula sana madem mtaan hata hela hawana! Kumbe siri ndo hii
Ndio maana Huwa nawatafuna sanaWe ndio unaijua vizuri saikolojia ya mwanamke
Pesa Ina present kitu chochote chenye thamani ( value) kwahyo hata kama pesa haita kuwepo, basi kutakuwa na kitu chenye thamani, nacho kitasimama kama kitu kinacho pendwa na wanawake, na kitakuwa kinazungumziwa kama pesa .Hapo ndipo mnakwama.
Pesa tangu ianzishwe haina hata miaka mingi.
Na uhakika ni kuwa haitatumika Karne kadhaa zijazo
Mwambie huyu huwa ni mbishi sana..enzi za kale(ice age/stone age) wanawake walipewa mikufu hata iliyotengenezwa na meno ya wanyama,manyoya na mifupa,zama zikabadilika wapewa Vito vya chuma,Shaba,dhahabu mpaka Sasa ni Hela ila huyu mtu kila siku namuelewesha kakaza fuvuPesa Ina present kitu chochote chenye thamani ( value) kwahyo hata kama pesa haita kuwepo, basi kutakuwa na kitu chenye thamani, nacho kitasimama kama kitu kinacho pendwa na wanawake, na kitakuwa kinazungumziwa kama pesa .
Lazima utakuwa hutumii Nguvu sanaNdio maana Huwa nawatafuna sana
Mi natumia nguvu mbona nawatafuna tu, kuna mademu bila kumfanyia undava hulambi kibumbu. Kuna circumstance nguvu inahitajika ,kuna pahala persuasive methods zinatumika, both methods are applicable interchangeablyLazima utakuwa hutumii Nguvu sana
Pesa Ina present kitu chochote chenye thamani ( value) kwahyo hata kama pesa haita kuwepo, basi kutakuwa na kitu chenye thamani, nacho kitasimama kama kitu kinacho pendwa na wanawake, na kitakuwa kinazungumziwa kama pesa .
Mwanzoni pale makala zako nyingi zilikuwa ni za kuwachamba wanawake. Tena zingine zilileta migogoro kweli mpaka ukabatizwa u misogynist. Ulipoona hivyo naona umebadili gia angani na kuanza kupondea wanaume wenzio. Pengine unajaribu kujisafisha....au unasimp ili uendelee kuwatafuna.
Nijuavyo mimi, na kulingana na uzoefu wangu, wanawake ni viumbe watata sana na siyo rahisi kuwaelewa. Wengine usipomuuliza vimaswali maswali anakuona unamdharau, humpendi na au humthamini. HAKUNA FOMYULA YA JINSI YA KU-DEAL NA MWANAMKE na maandiko haya yenye fomyula za kikokoro mara nyingi yana mapungufu makubwa.
Mjue mwanamke uliye naye kwa sababu kila mmoja yuko unique. Mjue vizuri. Anapenda nini. Katika mazingira mbalimbali...na umfanyie hicho! Ukifanya vinginevyo utachemsha.
Maandiko kama haya, na fomyula hizi za jinsi ya ku-deal na mwanamke, kwa kiasi kikubwa zinabakia kuwa na ukweli katika kiwango cha nadharia tu. Na zingine zinafaa zaidi katika mazingira ya huko zilikotoka. Ukiingia field mara nyingi utakuta mambo ni tofauti kabisa. Kwa hivyo ni kama alivyotuasa JK..."Akili za kuambiwa na akina Taikon Mtibeli always changanya na zako"
Mjue vizuri mwanamke uliyenaye na umtendee akipendacho - hata kama ni counter intuitive na kinakwenda kinyume na manadharia ya Saikolojia na utopolo mwingine!
Mwambie huyu huwa ni mbishi sana..enzi za kale(ice age/stone age) wanawake walipewa mikufu hata iliyotengenezwa na meno ya wanyama,manyoya na mifupa,zama zikabadilika wapewa Vito vya chuma,Shaba,dhahabu mpaka Sasa ni Hela ila huyu mtu kila siku namuelewesha kakaza fuvu
Huko ni kukosa mbinu😁Mi natumia nguvu mbona nawatafuna tu, kuna mademu bila kumfanyia undava hulambi kibumbu. Kuna circumstance nguvu inahitajika ,kuna pahala persuasive methods zinatumika, both methods are applicable interchangeably
Huko ni kukosa mbinu😁
Huwezi kuitenganisha pesa na.Kama Mwanaume Hana cha ku-offer Kwa nini asitoe Pesa?
Akili Hana
Kipaji Hana
Umashuhuri Hana.
Cheo na mamlaka Hana.
Mvuto Hana.
Unategemea nini?
Kwa hiyo Kwa upande mwingine upo sahihi.
Mimi ninawajua wasanii wakubwa, Watu mashuhuri wakubwa na viongozi ambao wanapesa lakini hawazitumii Kupata hao Wanawake.
Wakati huohuo ninawajua wale wanaume wanaofanya kazi za jasho na wanatoa Pesa na bado Wanawake wanawasumbua vibaya Mno.
Wakati huohuo wapo wenye Pesa ambao wanatoa Pesa na bado Wanawake wanawapiga Pesa na bado hawapewi mbususu.
Wewe endelea kuwashauri Vijana kuhusu Pesa wazipate hizo Pesa(Jambo zuri) lakini watashangaa hizohizo Pesa hazitabadilisha chochote wanapokutana na Wanawake.
Wewe mimi huniwezi,tutakuwa tugombana humo ndani kila siku,maana unajizima sana data wakati najua kabisa akili unazo kabisaaa,Nikiongeza MKE, lazima nikuchukue
Persuasive na coercive zote zinatumika.Huko ni kukosa mbinu😁
Persuasive na coercive zote zinatumika.Huko ni kukosa mbinu😁
Huwezi kuitenganisha pesa na.
Akili
Kipaji
Umashuhuri
Cheo na mamlaka
Hivyo vitu vyote ni sumaku ya pesa,no wonder hao watu wenye kimojawapo Kati ya hivyo ataendelea kujinyakulia wanawake,Kwa maana mwanamke haangalii mwaka huu tu,anakupigia picha hata miaka kumi mbele ndipo utaposikia,huyu nilijua tu akili yake nikajua baadae lazima aje atoboe...kutoboa ni Nini? Ni Pesa brother.
Wewe mimi huniwezi,tutakuwa tugombana humo ndani kila siku,maana unajizima sana data wakati najua kabisa akili unazo kabisaaa,