Wanawake hawapendi kuulizwa maswali. Fanya tu watakuona wewe ndiye dume

Wanawake hawapendi kuulizwa maswali. Fanya tu watakuona wewe ndiye dume

nna makomfidensi hatari hasa nikivutiwa nikavutika kweli kweli 😂

j4 nilikuwa nimesimama kwenye daladala akapanda dada mmoja kabana nywele kama jumong style ya kisabato, nilivutiwa nae wakati konda anaokota nauli nikasogea nikamlipia, nikamchangamkia kama tunafahamiana nikampa maua yake sikujali macho ya watu, nikamwagia sifa kapendeza akashukuru japo alikaza kutoa namba, niliambulia jina tu. We miriamu kama upo humu uje piemu mara moya hakika uliifanya siku yangu kuwa njema sana asubuhi kabisa. 😂
Sasa according to Robert ilitakiwa umshike mkono Miriam,ummbusu mwaahhhh......🤣🤣🤣🤣🤣kama tusingeitwa kama familia tuje tukutoe kimara police post
 
Hakuna Mwanamke ambaye siwezi kuishi naye. Na hakuna mwanamke ambaye hawezi ishi na Mimi.
Huyo bado hajaumbwa😀
Tusubiri Dunia Mpya.

Na kikawaida Mimi siwezagi kugombana, Akili 99 nguvu 1.
Nina uhakika mwanamke anayeweza kuishi na wewe ni mkeo tu...MTUNZE SANA....akimuacha huyo utapata tabu sana!
Kwa hivi vi saikolojia na vimisimamo,na UBAHILI wako hapana,hakuna mtu anakuweza, Trust me😁
 
Ulichosema ni kweli Kwa kiwango kikubwa.
Ila wapo Watu wenye Akili na Hawana Pesa. Wengi tuu. Ila wanakuwa chanzo cha Pesa Kwa wengine.

Wapo Watu ni mashuhuri na maarufu na Hawana Pesa na mifano ukitaka nakupa.

Wapo Watu wanamamlaka na Cheo lakini Hawana Pesa.

Tuseme hivyo nilivyotaja na Bahati ndivyo vinampa MTU utajiri au Pesa
🤣🤣🤣🤣🤣Hapo kwanza Ncheke!huwezagi kukubali jambo Robert hata kama liko wazi.
 
Having formula hataki kidogo, kuna wapenda pesa, wanaopenda smart guys, wanaoshikwa mkono and that's it.

Nimesoma hapo jamaa kawa mcheshi kwenye daladala na mtoto kamuelewa, it happens sana. Sie wenye aibu hatuwezi kushika mkono njiani na kutupia vocals, ila usawq huu nadhani sihitaji hizo vocals, tumerahisishiwa maisha sana.

Bottom line, wadada wa kizazi hiki hakikisha tu una pesa, iwe nyingi au ya kubadilisha nyama wewe uwenayo tu, kama azma yako ni kuwalala mbona utawachoka, ila kama azma yako ni kutafuta mwenza, that's a vert different story.
 
Having formula hataki kidogo, kuna wapenda pesa, wanaopenda smart guys, wanaoshikwa mkono and that's it.

Nimesoma hapo jamaa kawa mcheshi kwenye daladala na mtoto kamuelewa, it happens sana. Sie wenye aibu hatuwezi kushika mkono njiani na kutupia vocals, ila usawq huu nadhani sihitaji hizo vocals, tumerahisishiwa maisha sana.

Bottom line, wadada wa kizazi hiki hakikisha tu una pesa, iwe nyingi au ya kubadilisha nyama wewe uwenayo tu, kama azma yako ni kuwalala mbona utawachoka, ila kama azma yako ni kutafuta mwenza, that's a vert different story.

Sasa utakuwa na Pesa bila kuwa smart?
 
Hatupendi mwanaume anaejifanyia mambo bila kutuuliza na kutushirikisha....tunahisi katudharau,na hana future na sisi
Sio kila jambo la kumshirikisha mke/mwanamke. Muelewe hivyo.
 
Wanaelewa vitendo zaidi kuliko maneno.
Maneno haya hawapendi.
.Kuna Dili nategemea
. Vumilia tu ipo siku
.Haya ni maisha tu yatapita
 
Nzuri sanaaa hii leo ntajaribu kumpiga ngwala ya kizamani mdada mmoja nione.
 
Having formula hataki kidogo, kuna wapenda pesa, wanaopenda smart guys, wanaoshikwa mkono and that's it.

Nimesoma hapo jamaa kawa mcheshi kwenye daladala na mtoto kamuelewa, it happens sana. Sie wenye aibu hatuwezi kushika mkono njiani na kutupia vocals, ila usawq huu nadhani sihitaji hizo vocals, tumerahisishiwa maisha sana.

Bottom line, wadada wa kizazi hiki hakikisha tu una pesa, iwe nyingi au ya kubadilisha nyama wewe uwenayo tu, kama azma yako ni kuwalala mbona utawachoka, ila kama azma yako ni kutafuta mwenza, that's a vert different story.
Ukimtajia pesa ana allergy huyu.
 
Nina uhakika mwanamke anayeweza kuishi na wewe ni mkeo tu...MTUNZE SANA....akimuacha huyo utapata tabu sana!
Kwa hivi vi saikolojia na vimisimamo,na UBAHILI wako hapana,hakuna mtu anakuweza, Trust me😁

😀😀😀
Unafikiri nimeanza mapenzi juzi au nikiwa mkubwa?
Hizo kauli wanaambiwaga walioyajua mapenzi wakiwa chuoni Huko, au Baada ya miaka 20.

Hata hivyo Kwa habari za MKE ulichosema ni Sahihi kabisa Kwa sababu, hakuna Mwanamke mwenye Sifa ya niliyenaye, na kikawaida Watibeli tunaoa mara moja tuu.

Ikitokea Talaka au kifo, wanaofuatia hawawi wake Bali washirika tuu.
Kwa Watibeli.
Mungu ni mmoja
Mama ni mmoja.
Baba ni mmoja.
Mke ni mmoja.

Hakuna wa ku-replace nafasi zao hata Baada ya Kifo (Kwa hao binadamu).
So upo right.
 
Back
Top Bottom