Wanawake hawapendi kuulizwa maswali. Fanya tu watakuona wewe ndiye dume

Taikuni huwezi mjua mwanamke hizo ni assumption tu siku ukimjua unakaribia kifo
 
Ni Bora ulifuata hiyo utibeli,maana usingepata replacement.
 
Hamjui vile mnaumiza wake zenu,waume wa staili yenu tuna story zenu za malalamiko huko saloon.

Mke ni lazima Ajue kila kitu Kwa Mumewe na kinyume chake Kwa Mume anatakiwa Ajue kila kitu Kwa Mkewe.
Watibeli ndivyo tulivyo.
 
Iwekwe kwenye jalada nakala nyingine zibandikwe stand zote za mikoani.Nzuri.
 
Jo hakuna mwanaume wa kukushirikisha kila kitu, hayupo.
Najua,ila ni tabia mbaya na ya kishenzy ndio maana Kuna mapagale mengi hayana muendelezo Eroni,,Tushirikisheni wake zenu tafadhali๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Ni Bora ulifuata hiyo utibeli,maana usingepata replacement.

๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Kwa Dunia Hii labda iumbwe upya.
Sifa zote muhimu ambazo Wanawake wenye Akili wanazitaka Kwa mwanaume ninazo.

Ninachagua na kamwe sichaguliwi. Na nikisema ninachagua tambua yapo machaguo mengi.
 
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Kwa Dunia Hii labda iumbwe upya.
Sifa zote muhimu ambazo Wanawake wenye Akili wanazitaka Kwa mwanaume ninazo.

Ninachagua na kamwe sichaguliwi. Na nikisema ninachagua tambua yapo machaguo mengi.
Kujipakulia minyama inaruhusiwa sio mbaya๐Ÿ˜
 
Kujipakulia minyama inaruhusiwa sio mbaya๐Ÿ˜

๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

Ni miongoni wa Vijana ambao Wanawake wengi hukosa uvumilivu na kutufuata na kutuambia yanayowasibu mioyoni mwao. Wanatupenda.
Na ni Haki Yao Kwa sababu Sisi ni wachache Mno kwenye huu Ulimwengu
 
Siwezi kuridhika nafsi yng bila kuuliza maswali, nisimuulize maswali yeye km Nani km hataki maswali asepe akaishi na bubu ataenjoy zaid
 
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

Ni miongoni wa Vijana ambao Wanawake wengi hukosa uvumilivu na kutufuata na kutuambia yanayowasibu mioyoni mwao. Wanatupenda.
Na ni Haki Yao Kwa sababu Sisi ni wachache Mno kwenye huu Ulimwengu
Kiukweli Mimi wanaume wa type Yako ni hell NO......ukiona mwanaume unajifanya mwanasaikolojia huyo atakusumbua,Mimi napenda watu simple awe na AKILI timamu za kujua kutafuta pesa na kuzitunza ananitosha.....Nyie Maproffessor wa theology, philosophy, psychology siwaweziii maana humo ndani itakuwa ubishi tu
 
Siwezi kuridhika nafsi yng bila kuuliza maswali, nisimuulize maswali yeye km Nani km hataki maswali asepe akaishi na bubu ataenjoy zaid

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mkuu unahasira Sana.

Yeye si Mkeo,
 
Siwezi kuridhika nafsi yng bila kuuliza maswali, nisimuulize maswali yeye km Nani km hataki maswali asepe akaishi na bubu ataenjoy zaid
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐ŸคฃUmenichekesha ujue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ