Wanawake, kama huwezi mtunza mtoto pelekeni kwa Baba zao. Msisumbue watu kwa upuuzi wenu

We si ununue mkaa kuni za nini utaharibu mapafu.
 
Una matatizo ya Akili kimbia kwa Madaktari bingwa haraka sana
 
Mkuu hawatup hasa sisi wachaga wanawapa watoto na kuwajaza sumu na mwisho watoto wanakuw na chuki mpaka wanafikia hatua ya kutukana kama wa kwangu tayar nishamwachia radhi
 
Huo unyenyekevu ni pamoja na kumpa kitumbua? Nilishawahi kushuhudia dada mmoja analea mtoto kwa tabu wakati baba wa mtoto maisha yake wala sio mabaya. Nikaambiwa kumbe mwanaume anataka kumfanya mkewe wa pili, akija kusalimia anataka apewe vyote akikataliwa anamsusa na mtoto.... mwanaume mpumbavu kama huyo umnyenyekee ili iweje?
 
Rizoni hiyo ndo mnatengana.
 
Endelea na kiburi chako
 
Yaani wewe unamfundisha mkeo kuosha vyombo? Huna mambo mengine? Baada ya kumuelekeza ukaona hakuelewi ungeachana nalo hilo jambo....unapoingia ndoani unatakiwa ujue kuwa mnakutana watu wawili wenye malezi tofauti na ujifunze kukubaliana na hizo tofauti
 
Kongole mkuu umemaliza
 
Mimi ni mtu wa saikolojia ilikua ni lazima nione mwonekano wako kujiridhisha fikra zangu juu yako pasipo kukuonea mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23] dada, hapa usiingize psychology au academic issues, huo ni utumiaji mbaya waakili. Yaani social forum kama hii uanze kufanya kama FBI, sasa hapo ndipo tunaposema mnatumia emotions sio logic kufikiri. SERIOUSLY!
 
Mleta mada wewe jinsia gani ? Kutwa kuleta habari za wanawake wakati jina lako ni la mtoto wa kiume

Ndugu wa mleta mada hebu kaeni naye

Muongee naye kuna shida au ana Genes za kike au shoga labda?
Sasa chakumtukania nini[emoji23][emoji23][emoji23], jibu hoja kwa hoja. Mpaka mtukane[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Shule ni tatizo kwako eeh, hujui hata kuandika vizuri unategemea nani akuelewe
 
Si mpikie mkaaa kumtesa mtoto wa watu buree kisa nini??? Kama hukuwa na hela hata ya kununua mkaa so usingemsumbuaa tu kuja kumtesaa
 
Af umejiunga jf juzi najuta hata kukujibu looks like hujui hata kilichomo umejaa mihemko na ushamba unanuka maziwa komaa kidogo ndo urudi humu fool
Duh! Sister, punguza matusi.
 
Kuna binti juzi kati amegombana na boyfriend wake kisa ni kuwa walienda hospital binti alikuwa anajiskia kuumwa ikaonekana ana issue ya kupungua damu.

Sasa kijana akamwambia dokta tena dokta umwambie mwenyewe maana mimi nimesema nimechoka kuhusu swala la kuchagua chagua chakula. Hapendi matunda anachagua sana matunda ya kula na mboga za majani pia huwa hapendi na maji anakunywa akijiskia yeye ni soda, chips na majuisi ya dukani.

Binti akatoka amemnunia kabisa. Na akasusa na hataki tena mazoea. Jitu kubwa kabisa miaka 26 unamnunia mwenzako kwasababu ya comment kama hiyo tena ya utani kwa daktari jambo ambalo lilikuwa ni la kucheka tu na kusema sawa nitabadilika.

Nikasema huyu anazoea vibaya muache afanye anachoona ni sawa kwa umri huo hatakuwi kuwa mtu wa kususa vitu vya kipumbavu achana nae tafuta mtu serious anayejitambua kiakili huyu atakuja kukusumbua sana kulea watoto kama hata yeye mwenyewe kujitazama ni mtihani watoto watalelewa na house girl.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua shida ya watu waliozaliwa nje ya ndoa huwa hamna heshima kabisa na mahusiano na mnachukulia mambo ya msingi ya kimahusiano kama vile ni jambo binafsi.

Mleta uzi hapa anazungumza maswala ya mahusiano ndipo swala la kulea mtoto lifuate. Sasa unaleta mtoto wa nini Duniani kama hauna haja ya mahusiano?! Tatizo mnahisi mahusiano ni entertainment kama entertainment zingine za kuburudisha nafsi na moyo.

Ila mnazahau kuwa mahusiano ni taasisi ya malezi na ndipo taifa hujengwa. Sasa mtu mliachana kwa dharau na kejeli unategemea mtoto atalelewa vipi hapo?!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana ndugu....

Kinachotazamwa hapa ni namna ambavyo vijana wa kiume au baba anapaswa kuwajibika katika suala la malezi ya mtoto wake........

Kugombana na kurushiana maneno machafu na mama wa mtoto hakumnyimi mtoto stahiki kwa baba yake.... ugomvi wa wazazi haufai kuhusishwa na watoto.......

Hata kama umegombana na mzazi mwenzako basi angalia namna ya kumtunza mtoto wako.......

NB;
Huu ni mjadala tu na kila anaweza kutoa maoni na mtazamo kwa kadri anavyotafakari.......hata wewe unaweza ukachangia na kutafautiana na wengine pasi na kutoa lugha za matusi au kuvunjiana heshima........
 
Kwahiyo wewe ulicholewa kuwa kuzaa kwa uchungu huwa inaishia pale umeshamtoa mtoto katika tumbo lako la uzao then basi?!

Pale picha la kuzaa kwa uchungu ndipo linapoanzia. Utaanza kuwajibika kuwa mama kwa mtoto, mke kwa mwanaume anayetafuta kwa jasho ili apate faraja kupitia wewe na watoto wenu, lakini pia kuwa mkwe kwa wazazi ww huyo mwanaume na wifi kwa dada zake na shemeji kwa kaka na wadogo zake wa kiume.

Jambo la kisaikolojia kuhusu mwanamke wa ulimwengu wa sasa ni ile tabia ya kupenda kuhisi yeye ana privilege inayokuja na jinsia yake jambo ambalo huwa linawapotosha sana na miaka ya hivi karibuni limeanza kutumika vibaya kumrubuni mwanaume na kumtumia vibaya ili mwanamke aneemeke.

Haya manyanyaso ni matokeo ya kutosimamia kile kiapo cha kuzaa kwa uchungu. Kwasababu tazama mfano wewe hapa unasema huwezi nyeyekea mwanaume ina maana umetafsiri kuwa kunyenyekea ni utumwa kwa mwanamke kufanya. Mimi nitakuuliza swali la msingi je unaelewa maana ya neno kunyenyekea (submission)?

Maana unaweza sema ni kitu haukifanyi ila unakifanya kila uchao bila kujijua. Nitakupa mifano hai.

1. Unapokuwa na rafiki zako wakakushawishi muende club kula bata na hautaki ila wakakubembeleza hadi ukaenda bila ridhaa ila kwa ushawishi hiyo ni kusubmit (kuwa submissive),kwa kiswahili kunyenyekea amri ya rafiki zako. Amri ni amri aidha kuambiwa kwa sauti ya upole, au ya ukali zote ni amri na zinafuatiwa na utii as long as upo chini ya himaya ya anayekupa hiyo amri.

2. Konda anapokwambia sogea nyuma au fanya hiki ama kile pale unanyenyekea kwa kutekeleza amri anayokupa.

3. Mnapokuwa kitandani unageuzwa mikao mbali mbali na vyote unavyokubaliana ile yote inatwa ni kunyenyekea au submission.

4. Mtoto anapolia na unakwenda ukikimbia na kumtii amri ya wito kupitia kilio chake hiyo ni kunyenyekea.

5. Kazini kwako unavyoagizwa na kuambiwa ufanye hili na lile iwe kwa kupenda ama kutopenda unatekeleza amri hiyo ni kunyenyekea au submission.

Sasa sijaelewa why unatafasiri vibaya neno kunyenyekea as if ni neno lenye maana mbaya ya kikatili hadi lionekane ni baya kwako tu. Maana hata wanaume wanalifanya sana.

Hiyo unayosema mwanaume ataoe pesa kumhudumia mtoto ambaye ni damu yake pia ni submission na tena wanaume huenda mbali zaidi na kusubmit katika kulea watoto ambao si damu zao mliwabambikia au wamejitolea kulea.

Akikusikiliza hiyo pia ni submission kafanya yaani kunyenyekea. Tatizo mnatazama tone ya sauti ambayo wanaume sisi tunatumia mnasahau matendo yanayofanyika.

Sasa tazama unasema unyenyekee kisa laki mbili au laki tatu, hivi wewe unajua pesa inavyotafutwa kwa shida halafu wewe unasema mtu anayeitoa hiyo laki mbili kumpatia mtoto ambaye baadae hata akifanikiwa na kuwa na uwezo wewe mama mtu ndie una uhakika wa kupata benefits za kuhudumiwa baba mtu akatengwa, wewe unaidharau.

Ni vema wanawake mkajitathimini mnashindana na jambo gani. Muda mwingine huwa mnahisi wanaume wanavichaa ila ni ninyi ndio mnatengeneza mazingira ya hivi vichaa kumea vichwani mwao.

Kuna wanawake ukimpatia elfu 30 anashukuru kama amepewa milioni hadi unaona huyu ananifanyia maigizo ila hapana amefunzwa kwao kunyenyekea na kuheshimu jitihada za mwingine na hii ndio tafasiri ya kuzaa kwa uchungu.

Ndio maana kuna wanawake wameolewa wakiwa na watoto wa Mwanaume aliyeshindwana nae na wakapata mwanaume mwingine na mtoto wake akalelewa vema sana na baba mpya bila shida na familia ikaendelea.

Uchawi upo katika submission. Mleta maada ametoa mfano mzuri pale kasema baba anataka mtoto aende shule A, wewe mama umeona kuna shule B. Kwann usitenge muda mzuri na maneno mazuri kuongea na baba wa mtoto kwa ushawishi na utulivu wa akili ukimpa faida ya kumpeleka shule B na hasara za shule A hadi akusikilize na kusubmit kwako. Kwann wewe usinyenyekee sauti yake ili yeye anyenyekee sauti shauri lako unalompa?

Shida ni moja, nafsi imejazwa na roho ya ushindani na kiburi cha kuwa juu a.k.a Ego. Hakuna mwanaume anayeishi na mwanamke asiyenyenyekea. Ni mawili uchague kunyenyekea ili unyenyekewe au uendelee kubishana na ukweli uishi kwa kutangatanga ukitoka kwa mwanaume huyu kwenda kwa mwanaume yule huku ukisema wewe ni kichwa ngumu hauambiliki ile hali miaka inaenda na wewe ndie unaepoteza utu wako na mengineyo katika maisha yako.

Asante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni mtu wa saikolojia ilikua ni lazima nione mwonekano wako kujiridhisha fikra zangu juu yako pasipo kukuonea mkuu
Kama kweli unaifahamu psychology then ni muda sasa utazame namna unazitazama jinsia kwa namna gani sababu watu wa psychology hawadeal tu na behavior disorder ila wanatazama na reality check zitokanazo na asili ya mwanadamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo kwa maneno yako unakiri kabisa tena wazi wazi kuwa wanawake wanakauzembe wanakofanya na kanasababisha kubemenda mahusiano. Ila unachagua kupuuza negligence ya mwanamke halafu unataka mwanaume awajibishwe kwa negligence za mwanamke?!

Hii inaelezea ni kwann sasa kunaongezeko la watoto wasio na maadili, ushoga, watoto wanaopata watoto katika umri mdogo huko uswazi, ongezeko la single mothers kwenye jamii, uvivu, ubadhirifu na aina zingine za ukosefu wa maadili.

Sababu mwanamke kaamua kulanduka kwa masilahi yake binafsi yasiyo ya kijamii. Na hii haipo Tanzania tu bali afrika na Duniani kote. WANAWAKE wa kiafrika ndio main character wa hii movie ya uharibifu. Fuatilia utakuja nambie usije sema mimi naongea kwa chuki ndugu. Mimi nafuatilia sana haya mambo nilikiwa namba one advocate wa mahusiano nikitetea mwanamke kwa kumpa benefit ya doubt bila kutazama faults zao.

Ila miaka ya karibuni nikatenga muda na kuchunguza wanawake wengine wanaopitia manyanyaso, kuvunjika mahusiano au kuwa na watoto bila ndoa au mume huwa nyuma yao kuna story ambayo inawahusu na hawapo tayari mtu yoyote ajue au iletwe public. Na jamii imewakuza ikiwaaminisha kuwa wao ni sahihi kukosea na kufukia madhambi yao na mwanaume atakaejitokeza kubeba misalaba yao basi ni wakutukuzwa kama mwanaume bora na shujaa wa jamii jambo ambalo si sahihi na jamii imeliendekeza na kuwapa sababu hawa wanawake kuendelea kukosea na wanaume waharibifu kupata ulimwengu wa kuiachia na kusababisha wanaume wachache wenye discipline ya maisha kukosa wanawake wa kujenga nao hii dunia na kuimarisha jamii ili na sisi jamii ya mtu mweusi tupige hatua kama wenzetu wachina, waarabu na wazungu.

Acheni kutetea mambo ya kishetani msiyojua hatima yake huko baadae. Hapa sisi tunapikemea hapa ili kuokoa kizazi kijacho na ushoga, umalaya, udangaji, ujambazi, usaliti, ufisadi, viongozi takataka kama Hawa wa Tozo, na aina zinginezo za ufala katika maisha ya jamii ya mtu mweusi.

Kaeni kimya kama hamna la kuchangia badala ya kuja hapa kuzima moto wa kuchoma huu uharibifu as if jamii inafaidika nao.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumkazanie apewe ukurasa gazeti litauza sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…