Wanawake kuomba pesa kwa wanaume kimekuwa kilio cha kitaifa

Wanawake kuomba pesa kwa wanaume kimekuwa kilio cha kitaifa

Mtu anayedhani pesa ni kila kitu ni ngumu kuishi nae

Kuna muda uwepo wa mtu ni muhimu kuliko pesa
Shida wengi ndio mumejiwekea hio standard kwamba usipopewa hela hupendwi au mwanaume asiye na hela ni mmbabaishaji! Basi mnawakataa wasio na hela za kuhonga bila kujua kuwa upendo sio pesa tu ila ni moyo tu! Mtu kukuthamini sio lazma akupe kupe pesa tena watoa hela ndio matapeli no.1 sababu kwa njia hii anaweza kuwapanga hata mademu 16 kwa wakati mmoja...poor ladies mna kazi!
 
Shida wengi ndio mumejiwekea hio standard kwamba usipopewa hela hupendwi au mwanaume asiye na hela ni mmbabaishaji! Basi mnawakataa wasio na hela za kuhonga bila kujua kuwa upendo sio pesa tu ila ni moyo tu! Mtu kukuthamini sio lazma akupe kupe pesa tena watoa hela ndio matapeli no.1 sababu kwa njia hii anaweza kuwapanga hata mademu 16 kwa wakati mmoja...poor ladies mna kazi!
Sipatikani kiboya hivyo
 
Wanaume wa siku izi mnapenda kitonga, toka zamani mwanamke ni wa kupewa! Msipo ombwa hamtoi ndo kujidai kusifia nina mwanamke wa tofauti😂😂😂😂 unangoja umuite hata nauli humpi, mara mmekula uanze kumkopa eti umalizie bill, kodi hujalipa lakini unataka umlale mwanamke nyumbani kwake alikopanga, pesa hujampa Ila utataka umtembelee akupikie, 😏😏😏😏 kipindi iko nadate na mpenzi jamani ela unapewa adi unanunua kiwanja bila kuomba omba wanaume walikuwa wanayajua majukumu yao vizuri........ila wanaume wengi mnaolalamika kuombwa ela nahisi pesa zenu za mawazo sana! Kuna wanaume bado wanajua kutoa pesa
 
Wala hata msiwalalamikie wanawake tu! Siku hizi mapenzi hakuna!

Wanaume wanataka ngono tu kupiga na kusepa halafu baadaye waanze kuwacheka wanawake waliopita nao kuwa ni malaya kwa kuwa wao wanaume hawana cha kupoteza! Mwisho wa siku wanawake wanaona angalau wawapotezee na ninyi pesa zenu!

Kuna mmoja niliwahi muuliza kama wanawake wakiacha kuomba pesa ndiyo wanaume watawaoa! Akanijibu eti inategemea (kwahiyo nikajua kwamba wanawake kuomba pesa siyo sababu kubwa na pekee ya wanaume kutokuoa)!
 
Ni hali tete kila kona wanaume wanalalamika tabia za wanawake kuomba pesa. Siku hizi kumpata mwanamke asiyeomba omba pesa ni kama kuokota embe bolibo chini ya mchungwa. Wanawake wastaarabu wasiyo omba pesa ni kama wameshaisha siku hizi.

Wanaume wanalalamika unakutana na dada unampenda unafahamiana nae baada ya siku tatu unaorodheshewa matatizo gesi imeisha, simu imepasuka kioo, mama amekimbizwa hospital, luku imekata sasa hivi, nimepungukiwa kodi yani yote hayo unakuta anapewa boyfriend au mwanaume ambaye hata bado hajatamka nakupenda.

Kwa kweli ni janga wanaume wanaogopa wanawake, hawajui yupi ni wa kuoa vijana wanashindwa kupata wife materials kisa mizinga. Wamebaki kutoa hela ili wapate huduma ya ngono na wakitosheka wanakimbia mizinga wanahamishia kwa wanawake wengine kutafuta utamu mwisho wa siku kina dada wanalalamika siku hizi hakuna waoaji.

Mtoto wa kiume unataka mseleleko??
Nunua mdoli uwe unajipooza... Hao they don't live.

Alafu mtoto was kiume ni provider sasa huku kulilia kwenu sijui mnata mpewe haki sawa na wanawake??
 
Na nyie wanaume baadhi muache tabia ya kufikiri kila mtu unampata ukimpa pesa

Kuna mmoja hajatongoza
Yeye asubuhi anatuma pesa ya breakfast,mchana atatuma ya lunch na usiku anatuma ya dinner...nafikiri hapo ndio anaona anatongoza

Kimsingi hakuna asiyependa pesa lakini inakera,husemi kitu wewe unatuma pesa tu!
Huyo ni mimi kabisa,lol!
 
Pesa imeongea na ndio maana ukaelewa kuwa hajatongoza, kitendo cha kuipokea tu kinahakikisha kuwa wewe umeafikiana na nia yake njema ya kukujali na upendo anaokuonesha...

Anyways ni tabia ambayo KE wengi mmeijenga sikuhizi kuona kwamba mtu anayekupa pesa ndio mwenye mapenzi ila anayetoa maneno matupu ni tapeli tu.
Naam alwatan
 
Na nyie wanaume baadhi muache tabia ya kufikiri kila mtu unampata ukimpa pesa

Kuna mmoja hajatongoza
Yeye asubuhi anatuma pesa ya breakfast,mchana atatuma ya lunch na usiku anatuma ya dinner...nafikiri hapo ndio anaona anatongoza

Kimsingi hakuna asiyependa pesa lakini inakera,husemi kitu wewe unatuma pesa tu!
Pesa inazungumza hapo, unataka haseme nini wakati kisha maliza hapo!!!!!
 
Ni hali tete kila kona wanaume wanalalamika tabia za wanawake kuomba pesa. Siku hizi kumpata mwanamke asiyeomba omba pesa ni kama kuokota embe bolibo chini ya mchungwa. Wanawake wastaarabu wasiyo omba pesa ni kama wameshaisha siku hizi.

Wanaume wanalalamika unakutana na dada unampenda unafahamiana nae baada ya siku tatu unaorodheshewa matatizo gesi imeisha, simu imepasuka kioo, mama amekimbizwa hospital, luku imekata sasa hivi, nimepungukiwa kodi yani yote hayo unakuta anapewa boyfriend au mwanaume ambaye hata bado hajatamka nakupenda.

Kwa kweli ni janga wanaume wanaogopa wanawake, hawajui yupi ni wa kuoa vijana wanashindwa kupata wife materials kisa mizinga. Wamebaki kutoa hela ili wapate huduma ya ngono na wakitosheka wanakimbia mizinga wanahamishia kwa wanawake wengine kutafuta utamu mwisho wa siku kina dada wanalalamika siku hizi hakuna waoaji.

Kaka madenge waambie vijana bora kulala gerezani

57F589B6-4B0E-47D7-A8BD-E2D7EDFFFDEE.jpeg
 
Na nyie wanaume baadhi muache tabia ya kufikiri kila mtu unampata ukimpa pesa

Kuna mmoja hajatongoza
Yeye asubuhi anatuma pesa ya breakfast,mchana atatuma ya lunch na usiku anatuma ya dinner...nafikiri hapo ndio anaona anatongoza

Kimsingi hakuna asiyependa pesa lakini inakera,husemi kitu wewe unatuma pesa tu!
Punguzeni njaa nyie watu
 
Back
Top Bottom