Wanawake kuomba pesa kwa wanaume kimekuwa kilio cha kitaifa

Wanawake kuomba pesa kwa wanaume kimekuwa kilio cha kitaifa

Nilitaka nikujibu vibaya ila nimefahamu kitu kimoja kuwa nitakuonea.

Wewe ni mshamba wa wanawake, sema haujijui kama mshamba wa wanawake. Okay endelea kuwamwagia mipesa mzee.
Mjukuu Wangu tatizo unataka U.M.A.L.A Y.A na hela huna!

Oa tulia na mke wa hali yako... Mengine subiri utobboe kimaisha
 
Ukiwa ombaomba mwanaume anakuchukulia poa. Hela utapewa si una njaa ila utapigwa utaachwa sababu thamani yako ipo kwenye pesa sio wewe.
Wanajua kabisa kwamba tunawapiga na kuwaacha ndo Mana unatakiwa utoe hell kijana
 
Mpe pesa mpenzi wako,mambo ya nipo tayari kufa na wewe waachie wanajeshi!![emoji1]

Alisikika mlevi akisema
 
Na nyie wanaume baadhi muache tabia ya kufikiri kila mtu unampata ukimpa pesa

Kuna mmoja hajatongoza
Yeye asubuhi anatuma pesa ya breakfast,mchana atatuma ya lunch na usiku anatuma ya dinner...nafikiri hapo ndio anaona anatongoza

Kimsingi hakuna asiyependa pesa lakini inakera,husemi kitu wewe unatuma pesa tu!
Mmmm mwanaume kama huyo hayupo nchi hii atume pesa tu??
 
Shida wengi ndio mumejiwekea hio standard kwamba usipopewa hela hupendwi au mwanaume asiye na hela ni mmbabaishaji! Basi mnawakataa wasio na hela za kuhonga bila kujua kuwa upendo sio pesa tu ila ni moyo tu! Mtu kukuthamini sio lazma akupe kupe pesa tena watoa hela ndio matapeli no.1 sababu kwa njia hii anaweza kuwapanga hata mademu 16 kwa wakati mmoja...poor ladies mna kazi!
Nikwel nilikuwa na piga story na mzungu mmoja nika mwambi Nina ma girlfriend wa tatu, aka nishangaa kwel,, akasema kwao kuwa na madem Zaid ya mmoja ni ngum wanawake wakwao wana akili Sana tofaut na wanawake waki Africa, wanawake wa aki Africa unaweza kuwa nao wengi kwasababu wana uwezo mdogo kichwani.
 
Kama hautaki kuombwa pesa basi usiwatongoze mkuu ,wewe ubaki na pesa zako na yeye abaki na utelezi wake hapo itakuwa ngoma droo.
 
Ukiwa ombaomba mwanaume anakuchukulia poa. Hela utapewa si una njaa ila utapigwa utaachwa sababu thamani yako ipo kwenye pesa sio wewe.
Nyie mnasema wanaachwa lakini kila leo ndoa zinafungwa asa wanaoolewa ni wa wapi
 
Nikwel nilikuwa na piga story na mzungu mmoja nika mwambi Nina ma girlfriend wa tatu, aka nishangaa kwel,, akasema kwao kuwa na madem Zaid ya mmoja ni ngum wanawake wakwao wana akili Sana tofaut na wanawake waki Africa, wanawake wa aki Africa unaweza kuwa nao wengi kwasababu wana uwezo mdogo kichwani.
Hahahah ameshangaa unawezaje kumiliki mademu wa 3 kwa wakati mmoja 😅😅😅 maana mzungu wazo la kumpanga tu linahitaji akili ya ziada! Nafikiri sababu wanajitosheleza kiuchumi...Huku mahusiano ni backup plan ya kudhibiti njaa 😅😅😅
 
natoka mafiga saiv nkitulia nita reply vizuri
wakuu kati ya tabia mbaya na ya kifedhuri ni hii ya kuomba omba hela,kumbka nimesema kuombaomba hela sio kuomba hela.

Mdada sio mpenzi wako kisa ushawahi msaidia mara moja basi anataka kukugeuza kuwa kitega uchumi.

Kuna mdada mara anipigie aombe hela ya mtoto wake mdogo mara hajisikii kula chakula fulani anataka hale hichi as if mie ndo nlimpa mimba wakati baba mtoto yupo hai

Wadada kuombaomba hela kuna shuhia mtu heshima the same applies tu wakaka, mtu uko serious unaomba 30k ya kusuka kwa mtu ambae sio mpenzi wako. Shame on you!!! my answer is simple SINA.
 
Na nyie wanaume baadhi muache tabia ya kufikiri kila mtu unampata ukimpa pesa

Kuna mmoja hajatongoza
Yeye asubuhi anatuma pesa ya breakfast,mchana atatuma ya lunch na usiku anatuma ya dinner...nafikiri hapo ndio anaona anatongoza

Kimsingi hakuna asiyependa pesa lakini inakera,husemi kitu wewe unatuma pesa tu!

Pesa INAONGEA.

Kabisa unakereka na PESA? Umetoka Pluto juzi juzi wewe!
 
Back
Top Bottom