Wanawake kuomba pesa kwa wanaume kimekuwa kilio cha kitaifa

Wanawake kuomba pesa kwa wanaume kimekuwa kilio cha kitaifa

Wanaume wa siku izi mnapenda kitonga, toka zamani mwanamke ni wa kupewa! Msipo ombwa hamtoi ndo kujidai kusifia nina mwanamke wa tofauti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unangoja umuite hata nauli humpi, mara mmekula uanze kumkopa eti umalizie bill, kodi hujalipa lakini unataka umlale mwanamke nyumbani kwake alikopanga, pesa hujampa Ila utataka umtembelee akupikie, [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57] kipindi iko nadate na mpenzi jamani ela unapewa adi unanunua kiwanja bila kuomba omba wanaume walikuwa wanayajua majukumu yao vizuri........ila wanaume wengi mnaolalamika kuombwa ela nahisi pesa zenu za mawazo sana! Kuna wanaume bado wanajua kutoa pesa
Mbona wanawake wa huku mnatokwa povu hivyo? Kiujumla mimi nikishaanza kukutongoza ukileta habari za hela na block namba haijalishi ni pisi kali namna gani. Mimi kwangu utakula mistari kama hujaelewa basi, unaniomba hela kwani mimi baba yako ? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Malalamiko hayo yamechagiwa pia na wanaume wa siku hizi kupenda kitonga(slope)wengi wanaolia lia hawana pesa yaani pesa ni ya kubangaiza hawataki kutimiza majukumu yao kitu kinachofanya malalamiko yazidi kuongezeka
We mpare em tulia majukumu kwani mimi mzazi wako. Kabla ya mimi nani alikua anabeba haya majukumu? Hivi ni kujilemaza kiakili, kimwili na kifikra.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona wanawake wa huku mnatokwa povu hivyo? Kiujumla mimi nikishaanza kukutongoza ukileta habari za hela na block namba haijalishi ni pisi kali namna gani. Mimi kwangu utakula mistari kama hujaelewa basi, unaniomba hela kwani mimi baba yako ? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Huna pesa ya kutosha
 
Hahahah ameshangaa unawezaje kumiliki mademu wa 3 kwa wakati mmoja 😅😅😅 maana mzungu wazo la kumpanga tu linahitaji akili ya ziada! Nafikiri sababu wanajitosheleza kiuchumi...Huku mahusiano ni backup plan ya kudhibiti njaa 😅😅😅
Hapo ulipozungumzia 'backup plan' nakubaliana na wewe 100%
 
Huna pesa ya kutosha
Ningekua sina ningeshakufa siku mingi. Ki ukweli mimi nikiombwa pesa ndo sitoi kabisa ila napenda kutoa bila kuombwa. Wanawake wengi wamegeuza kutongozwa ndo mtaji alafu cha ajabu zaidi hamna hata maendeleo anayofanya. K inachakazwa wee mwisho wa siku ndo anakuja kumbuka blanket kumeshakucha. Hapo anatafuta bwana anayepumua tuu [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni hali tete kila kona wanaume wanalalamika tabia za wanawake kuomba pesa. Siku hizi kumpata mwanamke asiyeomba omba pesa ni kama kuokota embe bolibo chini ya mchungwa. Wanawake wastaarabu wasiyo omba pesa ni kama wameshaisha siku hizi.

Wanaume wanalalamika unakutana na dada unampenda unafahamiana nae baada ya siku tatu unaorodheshewa matatizo gesi imeisha, simu imepasuka kioo, mama amekimbizwa hospital, luku imekata sasa hivi, nimepungukiwa kodi yani yote hayo unakuta anapewa boyfriend au mwanaume ambaye hata bado hajatamka nakupenda.

Kwa kweli ni janga wanaume wanaogopa wanawake, hawajui yupi ni wa kuoa vijana wanashindwa kupata wife materials kisa mizinga. Wamebaki kutoa hela ili wapate huduma ya ngono na wakitosheka wanakimbia mizinga wanahamishia kwa wanawake wengine kutafuta utamu mwisho wa siku kina dada wanalalamika siku hizi hakuna waoaji.

Elfu30 imekuwa wimbo wa taifa wa wanawake wa uchumi wa kati Tanzania nyanja zote
 
Aiseee Kuna manz sikuwahig kuonana nae for the first time ilikuwa chatng tu za simu Kama miez sita hv Zaid ya kuona picha zake Mara ya kwanza kaomba 50k nikamtumia ikawa destur nikawa namtumia mazaga kila kitu.

Siku niliyokutana nae alikuwa Yuko good saana beautiful flan tukapata dinner moja matata Sana nikaenda mchekecha maini na Figo swafi.

Siku nisio itarajia yule manz aksema leo nakufanyia surprise nikawait Aiseeee nashangaaa muamala 1.5m imeingia bimdada alikuwa serious na mm Ila mm mambo yalikuwa meng
Hahahahah aisee kweli uliokota Mfilipino Manzese mzee baba🤓🤓🤓
 
Malalamiko hayo yamechagiwa pia na wanaume wa siku hizi kupenda kitonga(slope)wengi wanaolia lia hawana pesa yaani pesa ni ya kubangaiza hawataki kutimiza majukumu yao kitu kinachofanya malalamiko yazidi kuongezeka
Na wanawake kwa ujumla kuanza ukahaba usio rasmi maana kutaka upewe hela ili utoe penzi ni sawa na kuwa hooker tu!
 
Hahahahah aisee kweli uliokota Mfilipino Manzese mzee baba[emoji851][emoji851][emoji851]
Mzee baba hyo bahat nikaichezea kweli mwana Alie oa anakula good time Sana Sasa wako mbweni TU hapo bimdada Yuko ofs za karibu na magereza makao makuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mzee baba hyo bahat nikaichezea kweli mwana Alie oa anakula good time Sana Sasa wako mbweni TU hapo bimdada Yuko ofs za karibu na magereza makao makuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We jamaa bana mie ningekamata fursa mazima! Naogopa sana kutapeliwa kimapenzi na waganga njaa ila manz ka huyo alikuwa anajielewa na anajua nini love! She appreciates your concern
 
Wanaume wa siku izi mnapenda kitonga, toka zamani mwanamke ni wa kupewa! Msipo ombwa hamtoi ndo kujidai kusifia nina mwanamke wa tofauti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unangoja umuite hata nauli humpi, mara mmekula uanze kumkopa eti umalizie bill, kodi hujalipa lakini unataka umlale mwanamke nyumbani kwake alikopanga, pesa hujampa Ila utataka umtembelee akupikie, [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57] kipindi iko nadate na mpenzi jamani ela unapewa adi unanunua kiwanja bila kuomba omba wanaume walikuwa wanayajua majukumu yao vizuri........ila wanaume wengi mnaolalamika kuombwa ela nahisi pesa zenu za mawazo sana! Kuna wanaume bado wanajua kutoa pesa
naomba nikutumie pesa please nicheki DM, niko serious
 
We jamaa bana mie ningekamata fursa mazima! Naogopa sana kutapeliwa kimapenzi na waganga njaa ila manz ka huyo alikuwa anajielewa na anajua nini love! She appreciates your concern
Kipindi hiko ujana mwingi saana ila namshukuru Mungu saana sijawah pataga wanawake Lia Lia saana nakutana na wanawake mnaenda dinner anakuuliza una shingapi mnajichanga mnaenda na mzigo wote ana kukabidhi gar haina mafuta anachukua anaweka maisha yanaenda
 
Kipindi hiko ujana mwingi saana ila namshukuru Mungu saana sijawah pataga wanawake Lia Lia saana nakutana na wanawake mnaenda dinner anakuuliza una shingapi mnajichanga mnaenda na mzigo wote ana kukabidhi gar haina mafuta anachukua anaweka maisha yanaenda
Eeh una kismati mzee baba
 
Nikwel nilikuwa na piga story na mzungu mmoja nika mwambi Nina ma girlfriend wa tatu, aka nishangaa kwel,, akasema kwao kuwa na madem Zaid ya mmoja ni ngum wanawake wakwao wana akili Sana tofaut na wanawake waki Africa, wanawake wa aki Africa unaweza kuwa nao wengi kwasababu wana uwezo mdogo kichwani.
huu si ubaguzi wa wazi kabisa
 
Back
Top Bottom