Wanawake kuomba pesa kwa wanaume kimekuwa kilio cha kitaifa

Wanawake kuomba pesa kwa wanaume kimekuwa kilio cha kitaifa

Hahahah ameshangaa unawezaje kumiliki mademu wa 3 kwa wakati mmoja [emoji28][emoji28][emoji28] maana mzungu wazo la kumpanga tu linahitaji akili ya ziada! Nafikiri sababu wanajitosheleza kiuchumi...Huku mahusiano ni backup plan ya kudhibiti njaa [emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Eeh una kismati mzee baba
Kawaida TU mzee baba Hawa viumbe sio Kama hawawez kutoa pesa wanatoa saana sema timing yako ukiwa na haraka nao wanakufiris wew huwa wanatoa bila kulazimishwa kwa hiar yao.kama naweza kabidhiwa ATM CARD na inavyuma vya kutosha na Sina muda wa kwenda kutoa mpaka naulizwa mbona hutoi pesa kidogo ya matumiz kila siku unatoa kwako leo katoe katika akaunt yangu
 
Kawaida TU mzee baba Hawa viumbe sio Kama hawawez kutoa pesa wanatoa saana sema timing yako ukiwa na haraka nao wanakufiris wew huwa wanatoa bila kulazimishwa kwa hiar yao.kama naweza kabidhiwa ATM CARD na inavyuma vya kutosha na Sina muda wa kwenda kutoa mpaka naulizwa mbona hutoi pesa kidogo ya matumiz kila siku unatoa kwako leo katoe katika akaunt yangu
Hahahahah mtoi anakuwa kajijabidhi mazima kwa muhuni😝😝😝! Sema ukiwa real nao ndio inakuwaga namna hio ila ukijifanya mtu wa kuvimba vimba ndio wanawapasuaga washamba wale!
 
Na mimi nataka nitume saizi nipe namba ya M pesa
Na nyie wanaume baadhi muache tabia ya kufikiri kila mtu unampata ukimpa pesa

Kuna mmoja hajatongoza
Yeye asubuhi anatuma pesa ya breakfast,mchana atatuma ya lunch na usiku anatuma ya dinner...nafikiri hapo ndio anaona anatongoza

Kimsingi hakuna asiyependa pesa lakini inakera,husemi kitu wewe unatuma pesa tu!
 
Hahahahah mtoi anakuwa kajijabidhi mazima kwa muhuni[emoji13][emoji13][emoji13]! Sema ukiwa real nao ndio inakuwaga namna hio ila ukijifanya mtu wa kuvimba vimba ndio wanawapasuaga washamba wale!
Mm kujivimbisha siwez kwa Hawa watu.ukiwa unavimba wanakutumbua saana mpaka unachanganyikiwa
 
kuanzia leo ntakua natuma maneno tu maana pesa zinakukera.
Utaambulia manyoya tu. Nyama watakula wengine wenye kutuma hela. Usimsikilize huyo anajaribu tu kupangua hoja za hiki kikao cha wanaume kujikwamua kutoka kwenye makucha ya mizinga iliyokithiri.
Yaani mmetoka kubadirishana namba ya simu tu,ameenda hatua 10 mbele tu sms hiyo,niungie kivuruzi cha wiki.

Wanawake eleweni sio kwamba wanaume hawataki kuwahonga pesa ila ziwe na utaratibu. Unajua inakera tu,kuona hapo hapo mmefahamiana tu tayari mizinga. Moyoni naanza kujenga picha kwamba huyu anafanya biashara.

Kwa hiyo ile thamani yako kama mwanamke inaanzia kushuka kwa kasi pale.
Tena mwanamke asie na kawaida ya kuomba omba pesa anapata zaidi ya zile ndogo ndogo anazoomba omba mara kwa mara
 
Ndio maana wanaomba omba hela kiboya na wanaona wanastahili kabisa kupewa[emoji13][emoji13][emoji13] ukiwanyima wanakutukana kabisa
Mm huwa nawachana tu unaniomba pesa umenipa wazo lolote la kuingiza pesa tangu tumefahamiana mm Nina principal zangu yaani nimekutoa mtoko Mara 3 zote hata Mara moja husemi Leo wacha nikuhudimie aisee napiga chini
 
Hahahah ***** unakuta mtoto njaa ila anataka muende viwanja vya Masaki auze sura snapchat!
Hapo ndio utajua Sasa ukimtosa tu hzo status zake whatsap[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mungu pekeee anaejua tunavyonangwa****** kuna mdada mmoja nilimpeleka mtoko flani hv usku baada ya matumiz ya hapa na pale bill ikaja 100k nika clear ile mambo huko njian Sasa naambiwa Nina matumiz mabaya Sana ya pesa Ni Bora hyo pesa ungenipa nipate kamtaji kidogo nikupunguzie gharama hata siku ukikwama nikusaidie hata kidogo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mwanamke ukijidai eti huombi pesa ili uonekane wife material itakucost, labda kwa mwanaume anaejielewa, kwa upande wangu Sina jadi kabisa ya kumuomba pesa mmwanaume hata Kama Nina shida Hadi makalioni,

But ilishanitokea Nilikuwa na mtu ambaye nilimpenda kwa moyo wangu wote ,simuombi pesa Wala Nini, lakini hakua anajiongeza ata nauli, ila ukienda mtenbelea anataka ufanye kazi zite za mke ,kufua ,usafi ,kupika,nk, lakini hajiongezi ata sumni.nilikuwa naona kawaida coz nilikuwa nampenda, kumbe mwenzangu ananichukulia Kama sex partiner na mm namchukulia Kama husband to be, imagine.

Saanyingine unawaza Ni Bora kuexchange goods
 
Mwanamke ukijidai eti huombi pesa ili uonekane wife material itakucost, labda kwa mwanaume anaejielewa, kwa upande wangu Sina jadi kabisa ya kumuomba pesa mmwanaume hata Kama Nina shida Hadi makalioni,

But ilishanitokea Nilikuwa na mtu ambaye nilimpenda kwa moyo wangu wote ,simuombi pesa Wala Nini, lakini hakua anajiongeza ata nauli, ila ukienda mtenbelea anataka ufanye kazi zite za mke ,kufua ,usafi ,kupika,nk, lakini hajiongezi ata sumni.nilikuwa naona kawaida coz nilikuwa nampenda, kumbe mwenzangu ananichukulia Kama sex partiner na mm namchukulia Kama husband to be, imagine.

Saanyingine unawaza Ni Bora kuexchange goods
Njoo kwangu Sasa utulie tuleane
 
Back
Top Bottom