Shida wengi ndio mumejiwekea hio standard kwamba usipopewa hela hupendwi au mwanaume asiye na hela ni mmbabaishaji! Basi mnawakataa wasio na hela za kuhonga bila kujua kuwa upendo sio pesa tu ila ni moyo tu! Mtu kukuthamini sio lazma akupe kupe pesa tena watoa hela ndio matapeli no.1 sababu kwa njia hii anaweza kuwapanga hata mademu 16 kwa wakati mmoja...poor ladies mna kazi!Mtu anayedhani pesa ni kila kitu ni ngumu kuishi nae
Kuna muda uwepo wa mtu ni muhimu kuliko pesa
Sipatikani kiboya hivyoShida wengi ndio mumejiwekea hio standard kwamba usipopewa hela hupendwi au mwanaume asiye na hela ni mmbabaishaji! Basi mnawakataa wasio na hela za kuhonga bila kujua kuwa upendo sio pesa tu ila ni moyo tu! Mtu kukuthamini sio lazma akupe kupe pesa tena watoa hela ndio matapeli no.1 sababu kwa njia hii anaweza kuwapanga hata mademu 16 kwa wakati mmoja...poor ladies mna kazi!
Kwahio una jeuri ya kukataa dollar 100/100 weweSipatikani kiboya hivyo
Wengi wanaolalamika kuombwa hela unakuta hawana, pesa yao ya mawazo mnoo wa ivo hata laki hakupiTukianza kuomba pesa kwa wanawake wenzetu msilalamike
Mtoto wa kiume unataka mseleleko??Ni hali tete kila kona wanaume wanalalamika tabia za wanawake kuomba pesa. Siku hizi kumpata mwanamke asiyeomba omba pesa ni kama kuokota embe bolibo chini ya mchungwa. Wanawake wastaarabu wasiyo omba pesa ni kama wameshaisha siku hizi.
Wanaume wanalalamika unakutana na dada unampenda unafahamiana nae baada ya siku tatu unaorodheshewa matatizo gesi imeisha, simu imepasuka kioo, mama amekimbizwa hospital, luku imekata sasa hivi, nimepungukiwa kodi yani yote hayo unakuta anapewa boyfriend au mwanaume ambaye hata bado hajatamka nakupenda.
Kwa kweli ni janga wanaume wanaogopa wanawake, hawajui yupi ni wa kuoa vijana wanashindwa kupata wife materials kisa mizinga. Wamebaki kutoa hela ili wapate huduma ya ngono na wakitosheka wanakimbia mizinga wanahamishia kwa wanawake wengine kutafuta utamu mwisho wa siku kina dada wanalalamika siku hizi hakuna waoaji.
Dada angu ka ujaolewa pole saana maana hio ndo sampuli ya wanaume walio baki....Mwongozo sasa haujatoa, nini kifanyike?
Huyo ni mimi kabisa,lol!Na nyie wanaume baadhi muache tabia ya kufikiri kila mtu unampata ukimpa pesa
Kuna mmoja hajatongoza
Yeye asubuhi anatuma pesa ya breakfast,mchana atatuma ya lunch na usiku anatuma ya dinner...nafikiri hapo ndio anaona anatongoza
Kimsingi hakuna asiyependa pesa lakini inakera,husemi kitu wewe unatuma pesa tu!
Naam alwatanPesa imeongea na ndio maana ukaelewa kuwa hajatongoza, kitendo cha kuipokea tu kinahakikisha kuwa wewe umeafikiana na nia yake njema ya kukujali na upendo anaokuonesha...
Anyways ni tabia ambayo KE wengi mmeijenga sikuhizi kuona kwamba mtu anayekupa pesa ndio mwenye mapenzi ila anayetoa maneno matupu ni tapeli tu.
Pesa inazungumza hapo, unataka haseme nini wakati kisha maliza hapo!!!!!Na nyie wanaume baadhi muache tabia ya kufikiri kila mtu unampata ukimpa pesa
Kuna mmoja hajatongoza
Yeye asubuhi anatuma pesa ya breakfast,mchana atatuma ya lunch na usiku anatuma ya dinner...nafikiri hapo ndio anaona anatongoza
Kimsingi hakuna asiyependa pesa lakini inakera,husemi kitu wewe unatuma pesa tu!
Hawa ndio wanaume waliobaki....Dada angu ka ujaolewa pole saana maana hio ndo sampuli ya wanaume walio baki....
Kaka madenge waambie vijana bora kulala gerezaniNi hali tete kila kona wanaume wanalalamika tabia za wanawake kuomba pesa. Siku hizi kumpata mwanamke asiyeomba omba pesa ni kama kuokota embe bolibo chini ya mchungwa. Wanawake wastaarabu wasiyo omba pesa ni kama wameshaisha siku hizi.
Wanaume wanalalamika unakutana na dada unampenda unafahamiana nae baada ya siku tatu unaorodheshewa matatizo gesi imeisha, simu imepasuka kioo, mama amekimbizwa hospital, luku imekata sasa hivi, nimepungukiwa kodi yani yote hayo unakuta anapewa boyfriend au mwanaume ambaye hata bado hajatamka nakupenda.
Kwa kweli ni janga wanaume wanaogopa wanawake, hawajui yupi ni wa kuoa vijana wanashindwa kupata wife materials kisa mizinga. Wamebaki kutoa hela ili wapate huduma ya ngono na wakitosheka wanakimbia mizinga wanahamishia kwa wanawake wengine kutafuta utamu mwisho wa siku kina dada wanalalamika siku hizi hakuna waoaji.
Ingia kwenye mahusiano na mtu anayeelewa na kuendana na kiwango cha uchumi wako ili kuepuka kuzima simu ukiombwa 10000
UWABATA hatutaki kuelewa
Punguzeni njaa nyie watuNa nyie wanaume baadhi muache tabia ya kufikiri kila mtu unampata ukimpa pesa
Kuna mmoja hajatongoza
Yeye asubuhi anatuma pesa ya breakfast,mchana atatuma ya lunch na usiku anatuma ya dinner...nafikiri hapo ndio anaona anatongoza
Kimsingi hakuna asiyependa pesa lakini inakera,husemi kitu wewe unatuma pesa tu!