Brigadier Isaac
JF-Expert Member
- Jan 2, 2021
- 495
- 1,436
Dream😀Aiseee Kuna manz sikuwahig kuonana nae for the first time ilikuwa chatng tu za simu Kama miez sita hv Zaid ya kuona picha zake Mara ya kwanza kaomba 50k nikamtumia ikawa destur nikawa namtumia mazaga kila kitu.
Siku niliyokutana nae alikuwa Yuko good saana beautiful flan tukapata dinner moja matata Sana nikaenda mchekecha maini na Figo swafi.
Siku nisio itarajia yule manz aksema leo nakufanyia surprise nikawait Aiseeee nashangaaa muamala 1.5m imeingia bimdada alikuwa serious na mm Ila mm mambo yalikuwa meng
hivi wewe jamaa ni unawatoa wapi hawa ?Kawaida TU mzee baba Hawa viumbe sio Kama hawawez kutoa pesa wanatoa saana sema timing yako ukiwa na haraka nao wanakufiris wew huwa wanatoa bila kulazimishwa kwa hiar yao.kama naweza kabidhiwa ATM CARD na inavyuma vya kutosha na Sina muda wa kwenda kutoa mpaka naulizwa mbona hutoi pesa kidogo ya matumiz kila siku unatoa kwako leo katoe katika akaunt yangu
Mimi sina mambo ya kuoshewa vyombo wala kupikiwa dem akija geto ni miti akimaliza anatembea mbele .Mkuu kwani kabla ya kuwa na mwanamke nani huwa anakupikia na anakufulia? Kwanini ukiwa na mwanamke unataka akufanyie hayo yote?
Sasa mimi wa kulia njaa kweli ? Labda umenifananisha.Tafuta hela acha kulia lia njaa ni hilo tu
Hapa hapa bongo mzee Ni kufanya uchaguz mzuri tu si wanawake wote Ni wahovyo ila kundi la wahuni wachache wa kike ndio linalo waharibu walio weng kuwa na akili za kipumbavu.hivi wewe jamaa ni unawatoa wapi hawa ?
kama ni hapa duniani tena bongo itakuwa chai
Tupo kwenye kikao na Mello muda huu tunaandaa barua kwa mama upate ulinzi wa vijana wa siro wale wa ukonga na vijana wa mabeyo wale wa ngerengereWanawake wa karne hii tuna shida sana.Kwani mwanzo tunaishi vipi mpaka ukipata mwanaume ndio akuhudumie shida zako?Wanawake/wasichana inabidi wabadilike tabia mapenzi sio pesa,ni vyema ukisimama na kujitegemea siku zote hata wanaume watakuheshimu haya mambo ya kujilizaliza ni kujivunjia heshima,na inakufanya unaonekana cheap kama bidhaa vile.
Na hapo napo wanaongezewa afu wanakimbiwaTamaa zao za kutaka pesa wengi wameishia kuwa single mum wakiona hawana soko hapa wanatafuta yoyote awe anapumua tu
Mnunulie tu afu umchane aache tabia ya kikeWanawafundisha mpaka Kakazao, unakuta dume nzima na afya yake imetulia baa inaomba inunuliwe bia.
Hakuna mwenye hela anayeomba helaAnapoomba usifikirie kuwa hana, ni katabia tu anaweza kuwa na pesa nyingi kuliko zako
Kama ni restaurant na unaomba ununuliwe chakula,naapa kwa jina la mwenyezi mungu hata kama ni noti yangu ya mwisho ntatoa kwa roho safi bila kumchana.Mnunulie tu afu umchane aache tabia ya kike
Mnsemaga hela ya mwanaume tamu nyieWanawake wa karne hii tuna shida sana.Kwani mwanzo tunaishi vipi mpaka ukipata mwanaume ndio akuhudumie shida zako?Wanawake/wasichana inabidi wabadilike tabia mapenzi sio pesa,ni vyema ukisimama na kujitegemea siku zote hata wanaume watakuheshimu haya mambo ya kujilizaliza ni kujivunjia heshima,na inakufanya unaonekana cheap kama bidhaa vile.
ha ha haWanaume wenye njaa nao mmekuwa wengi mnoo...unakuta mwanaume amekamilika anasema alimpa demu efu20 sjui 15 ya matumizi kheeee afu anajisifu amehudumiaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ooh basi kama ni hivyo bado una wajibu wa kumpa helaMimi sina mambo ya kuoshewa vyombo wala kupikiwa dem akija geto ni miti akimaliza anatembea mbele .
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanatuambia Mashairi ya Shaban Robert HAWAHITAJINa nyie wanaume baadhi muache tabia ya kufikiri kila mtu unampata ukimpa pesa
Kuna mmoja hajatongoza
Yeye asubuhi anatuma pesa ya breakfast,mchana atatuma ya lunch na usiku anatuma ya dinner...nafikiri hapo ndio anaona anatongoza
Kimsingi hakuna asiyependa pesa lakini inakera,husemi kitu wewe unatuma pesa tu!
Shida sio kutoa hela, kiuhalisia wanaume tunapenda sana kuwapa hela wanawake tunaowapenda.Malalamiko hayo yamechagiwa pia na wanaume wa siku hizi kupenda kitonga(slope)wengi wanaolia lia hawana pesa yaani pesa ni ya kubangaiza hawataki kutimiza majukumu yao kitu kinachofanya malalamiko yazidi kuongezeka